vifaa

  1. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Halima Mdee apelekwa kupekuliwa nyumbani kwake na Jeshi la Polisi baada ya kwenda kuripoti matukio ya kutishiwa amani

    Jeshi la Polisi limemkamata mgombea ubunge wa jimbo la Kawe Dada Halima Mdee na sasa wanakwenda naye kumpekua nyumbani kwake Mbweni. Halima Mdee alikwenda kuripoti Polisi juu ya Matukio ya kutishiwa Amani lakini cha kushangaza alipofika amewekwa chini ya Ulinzi. ===== Mdee ahojiwa kwa tuhuma...
  2. Mwamuzi wa Tanzania

    Kangi Lugola alikuwa sahihi kuagiza vifaa kazi vya kisasa vya kuzimia moto, lakini akatumbuliwa kwa sababu zisizo na msingi

    Tukichukulia tukio moja tu la moto uliotikisa au unaotikisa hifadhi ya Mlima Kilimanjaro tunapata jibu moja kwa moja kuwa ni vyema Jeshi la Zimamoto na Uokoaji likawa na magari na ndege za kisasa za kuzimia moto. Tanzania tuna hifadhi nyingi, hivyo lolote linaweza kutokea kwenye hizi hifadhi...
  3. Singo Batan

    Uchaguzi 2020 Ushauri wa bure kwa John Mnyika kuhusu mzabuni wa NEC

    Nimefuatilia Press ya Katibu Mkuu wa CHADEMA Bw. John John Mnyika, akiitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuhusisha vyama vya siasa juu ya manunuzi ya vifaa vyote vya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020. Mnyika anakiri kwamba Tume imeitisha zabuni ya manunuzi ya vifaa vya Uchaguzi zikiwemo Karatasi za...
  4. U

    Daraja La Muda Kwa Ajili Ya Kupitishia Vifaa Mbalimbali Vya Ujenzi Wa Daraja La Kudumu La Kigongo - Busisi

    Ujenzi huu ni maalumu na wa kimkakati ili kurahisisha Ujenzi wa Daraja la Kudumu la Kigongo - Busisi lenye urefu wa Kilometa 3.2 Matumî sahihi ya Rasilimali huleta Matokeo Mazuri Kwetu Sote
  5. MchunguZI

    Ni uzembe kuendelea kuipamba Dar kwa flyovers wakati shuleni na hospitalini hakuna nyumba na vifaa vya kutosha

    Nimeona clip ya Polepole akimsifu Magufuli wakati akisoma kitabu ambacho nadhani ni ilani ya chama. Anachokitaja ni idadi ya flyovers zinazopangwa kujengwa; Moroko, Tazara, Magomeni, Mwenge, Chang’ombe na uhasibu, fire, Kinondoni, etc. Huu ni uhuni na ushenzi wa matumizi ya pesa ya taifa hili...
  6. B

    Serikali ya Wanyonge, bei ya vifaa vya ujenzi yapaa maradufu, kunani?

    Ewe Serikali ya wanyonge nini kinajiri huko kwenye viwanda vya vifaa vya ujenzi? mbona Bei inapaa sana na hatusikii tamko la serikali kuhusu kupaa huku kwa bei? Mathalani, kanda ya ziwa Cement ilikuwa inauzwa sh. 18500, baadae ikapaa hadi 19000, baada ya siku 5 ikapaa hadi 19500, baada ya siku...
  7. Erythrocyte

    Mbarali: Dogo aliyepanda juu ya mti ili kumuona Tundu Lissu apewa zawadi ya vifaa vya shule

    Ama hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani . Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno ! Unaweza kumsikiliza dogo...
  8. M

    Kukosekana kwa ruzuku ya dawa na vifaa tiba kutoka Serikalini kwenda kwenye akaunti ya MSD ya Vituo vya Umma

    Nimejaribu kufanya tafiti kidogo juu ya ukosefu wa dawa na vifaa tiba kwenye vituo vya afya vya umma asilimia kubwa imechangiwa na serikali. Leo ukiandikiwa dawa tatu basi ujue utapata dawa moja au usipate kabisa. Kwenye majukwaa ya siasa inaongelea kuongezeka kwa bajeti ya dawa kutoka bil 30+...
  9. P

    Vifaa vya electronics vinahitajika!

    Wakuu habari ya asubuhi,vinahitajika vifaa hivi VARISTOR(32D431K) ,THERMISTOR(CT5D-11).mawasiliano yangu 0769164906
  10. Cannabis

    Kenya: KEMSA yashutumiwa kufanya ununuzi wa vifaa kinga dhidi ya Corona kwa mara mbili ya bei halisi

    Kenya Medical Supply (KEMSA) ambayo inahusika na ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa vituo vyote vya Afya vilivyopo Kenya imeingia katika kashfa nyingine kutokana na ununuzi wa vifaa vya dharura dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Taarifa zinasema vifaa hivyo vilinunuliwa kwa gharama ya juu sana...
  11. CUF Habari

    Mbunge wa Viti Maalum CUF akabidhi Computer na Printer kwa ajili ya Uchaguzi Handeni Mjini

    MHE. SONIA MAGOGO AKABIDHI VIFAA COMPUTER NA PRINTER KWA AJILI YA KUSAIDIA SHUGHULI NA UCHAGUZI WILAYANI HANDENI MJINI #HandeniMjiniNiSoniaMagogoSasa. #SoniaMagogoTenaMjengoni
  12. Analogia Malenga

    UNODC: Janga la COVID-19 limesababisha ongezeko la vifaa tiba bandia duniani

    Ongezeko la ghafla la mahitaji ya dawa na vifaa tiba vya kukabiliana na janga la virusi vya corona au COVID-19 limesababisha ongezeko la usafirishaji haramu wa dawa na vifaa visivyo na viwango vinavyostahili au bandia kwa mujibu wa ripoti ya utafiti iliyochapishwa na ofisi ya Umoja wa Mataifa...
  13. D

    Vifaa vya mziki/studio vinauzwa

    nauza vifaa vyote vya mziki na studio, vifaa vyangu ni mtumba toka uk /us /dubai na sa. nina speaker za mid na bass, busta, mixers, mic, monitor speaker, sound card na vinginevyo vingi..... napatikana dar es salaam, mikoani tunatuma kwa uaminifu au kukuletea kwa makubaliano! Bei ni kuanzia...
  14. L

    Je, vifaa vya utawala wa Trump ni “Ubaguzi” na “Kuwajibisha pande nyingine”?

    Rais Donald Trump ametoa tena hoja ya ubaguzi ambayo imeleta ufuatiliaji wa vyombo vya habari. Katika mkutano mkuu wa kampeni uliofanyika jimboni Oklahoma, rais Trump ameipatia virusi vya Corona jina la ubaguzi “Kong Flu”, ambalo limeleta swali kwamba je, vifaa vya utawala wa Trump ni “Ubaguzi”...
  15. peno hasegawa

    Uchaguzi 2020 Kule Moshi manispaa diwani wa CCM kata ya pasua na boma mbuzi wagawa vifaa vya covid 19 ikiwa no sehemu ya rushwa kampeni za ubunge

    Kuelekea uchaguzi mkuu October Moshi yametokea mengi kupitia wanaotaka kugombea ubunge Jimbo la Moshi mjini.kule kata za pasua na boma mbuzi madiwani wanaogawa vifaa vya kujikinga na corona wakati huo huo wakiomba Kura za ubunge .wakati huo huo wafuatao wako mitaani kuomba Kura na kugawa rushwa...
  16. Alex Hamadi Hamis

    Nahitaji kununua vifaa hivi vya production (USED)

    Camera: Canon 5D Mark III Lens: Canon EF 24-70mm f/2.8L Camera Gimbal: DJI Ronin S Laptop: MacBook Pro 15’inch 500GB Hard Drive: 1TB Transcend Camera mic: Rode VideoMic Pro Headphone: Sony MDR7506 Kama unavyo, tuchekiane hapa direct call: +255683018095 | WhatsApp: +255676095799
  17. M

    Vifaa vya ujenzi kwa kukodisha

    Habari zenu humu ndani. Mimi nina mashine ambazo naweza kukodisha au nikipata tender nifanye. mashine nilizokuwa nazo ni kama ifuatavyo 1) mashine ya kutengeneza pavers 2) mashine yakutengeneza matofali yale ya south africa 3) concrete mixer 4) tipa kubwa kwa tender za kokoto 5) mashine ya...
  18. No_Worries

    Vifaa vya kufanyia grafting vinapatikana wapi?

    Wakuu, Tafadhali kama unajua vifaa kwa ajili ya ku-graft miti michanga ya maembe/parachichi vinapatikana wapi hata nchini Tanzania basi fanya uungwana wa kunitaarifu. Nimekuwa nikisoma/ kuangalia mtandaoni namna ya ku-graft nimeona kuwa ni kazi ninayoweza kuifanya mwenyewe na kupata miti...
  19. RockBom

    Soko la vifaa vya kielectronic vya mtumba

    Habarini za majukumu! Naomba kufahamu masoko nafuu ya vifaa vya kielektronik vya mtumba mfano TV, Laptops nk. Nataka nianze kufanya biashara ya vifaa vya kielektronik vya mtumba.
  20. 100 others

    Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

    "Tunatangaza leo kwamba popote Wamarekani walipo, tuko karibu nao, na watahisi uwepo wetu hata zaidi katika siku za usoni" yalikuwa ni maneno ya mkuu wa walinzi wa maji wa Iran bw Alireza Tangsiri katika sherehe huko kusini mwa Iran. Pia alieleza kwa msisitizo kuwa "Iran hatamwabudu adui...
Back
Top Bottom