🐓S&Q_GROUP_INTERNATIONAL LIMITED🐓
AGIZA NASI VIFARANGA BORA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA
0781647066
____________________________________________
📠☎️ 0781647066
WAZALISHAJI WAUZAJI NA WASAMBAZAJI WA VIFARANGA BORA VYA KUKU WA NYAMA PAMOJA NA KUKU WA MAYAI
TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM , DODOMA NA...
Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4
Bei:7500
Location Sae Mbeya, 0676692082
SIFA
Wana stahimili magonjwa
Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea
Wanaweza fugwa kienyeji hivyo hupunguza gharama za ufugaji
Nyama na mayai ya kloila yana ladha...
Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4
Bei:7500
Location Sae Mbeya, 0676692082
SIFA
Wana stahimili magonjwa
Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea
Wanaweza fugwa kienyeji hivyo hupunguza gharama za ufugaji
Nyama na mayai ya kloila yana ladha...
AINA YA VIFARANGA VINAVYOPATIKANA HAPA S&Q NIKAMA IFUATAVYO
1.VIFARANGA VYA KUKU WA MAYAI -BRAND NI HY-LNE- MIEZI 4- WANATAGA..BOX 280,000 WANAKAA 100
2.VIFARANGA VYA KUKU WA NYAMA - BRAND ZIKO MBILI ROSE WA MWEZI MMOJA...PRICE CHANGES
PIA KUNA BRAND YA BROILER TS.900 HAWA NI CHOTALA MIEZI...
broiler
broiler t-s900
chakula cha kuku
chanjo ya kuku
hyline
kuku chotara
kuku wa kisasa
kuku wa mayai
kuku wa nyama
mashine ya vifaranga kutotoleshea
s&q
vifaranga
Mifugo plus Tunauza vichanja vya kufugia kuku wa mayai,kuku wa nyama pamoja na za kulelea vifaranga.
■BEI ZA CAGE'S/VIZIMBA
■KUKU 96 BEI 650,000/=TSH.
■KUKU 128 BEI 850,000/=TSH.
■VIFARANGA 400 BEI 550,000/=TSH.
■KUKU WA NYAMA 120 BEI 950,000/=TSH.
MAWASILIANO
#0656446991
#0774608608...
Karibuni kwa huduma ya ufugaji wa samaki na mbegu bora ya samaki sato na kambale.
Tunapatikana Bunju B Darajani (mingoi), njia ya kwenda bagamoyo karibuni sana.
Wateja wetu ambao mliweka oda ya incubator za body ngumu [hardboard] za mayai 120,528 hadi 10000 mzigo tayari umefika karibuni mifugo plus mjipatie wahi material ya sasa ni imara na magumu yakudumu.
-Body nzuri na imara yenye uwezo wa kudumu kwa muda mrefu
-Controller yenye uwezo wa kuleguleti...
KWA BEI YA 170,000/=TSH TU TUNAKUPATIA INCUBATOR YAKO YA MAYAI 30 YENYE SIFA YA KUTOTOLESHA MAYAI YOTE BILA KUBAKISHA HATA MOJA.
#SADAKALAWE
●SIFA YA MASHINE YETU YA MAYAI 30
■Inageuza mayai yenyewe.
■Inamfumo wa kupima yai lenye mbegu.
■Inakuja na warranty ya mwaka mmoja.
■Inacontrol joto...
Kheri kwenu wapendwa nimeamini kila kitu ni nia na kujituma.
Mwezi wa saba nilinunua tetea 30 na jogoo 3 wanaotetea mwezi wa nane nikapata vifaranga 280 na mwezi huu wa tisa 220.
Na bado naendelea kuatamishiae. Lengo kufika mwezi wa kumi na mbili niwe na kuku 1000 wa kienyeji pure.
NJIA...
JF salaam 🙏
Bila shaka Kwa wafugaji wa kuku aina hizo mbili mtakubaliana na Mimi kuwa Tangu mwaka Jana katikati kumekuwa na uhaba sana wa vifaranga vya sasso na kroiler
Sijajua changamoto ni Nini hasa. Mwaka Jana nilidhani huenda umeme ulichangia kuwa na uzalishaji hafifu au usio kidhi...
Habari wana jamvi, natumai mko salama kabisa. Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Vifaranga wanahitaji uangalizi mkubwa sana hasa katika hatua za mwanzo za ukuaji wao, na moja ya njia zinazoweza kuhakikisha usalama wa maisha yao kwanza wao kwa wao (yaani vifaranga) na usalama wa mayai hapo...
Wakubwa nisaidieni Je, unaweza kuwaweka kuku wa 4 wenye vifaranga kwenye chumba kimoja na watoto wao?
Maana kuku wangu wameatamia wapo wa 4 so nataka kuwatenga na hawa wengine ambao bado hawajaanza kutaga so ni sahihi kuwaweka kwenye chumba kimoja maana chumba kipo?
CAM STORE INCUBATORS - KIATAMISHI
MAYAI 60 / TREY 2
BEI 350,000 TU.
SIFA ZA MASHINE ZETU.
KITU CHA ZIADA UTAKACHOPATA KWETU.
■Elimu buree ya kitaalamu ya ufugaji.
■Usimamizi wa mradi wako.
■Utafutiwaji wa masoko
■Mayai ya kutest mashine
■Nakama haitoshi tutakupa zawadi kemu kemu...
Asalaam wana JF,
Well, as most of y'all knows, i am very dedicated kwenye ufugaji kuku and recently nimeingiza vifaranga 1000 vya layers and yeah, i will be sharing experience ya namna ya kuvilea with less mortality. This will be like my Diary so keep yourselves updated
11/04- nilivifata kwa...
(Dead in shell cases)😔⁉️
▪️Hii ni changamoto kubwa ambayo, wafugaji wanaotumia viangulizi (Incubators) hukumbana nayo siku 21 baada ya kuweka mayai kwenye Incubators.
▪️Wafugaji na watumiaji wengi wa incubators hudhani kwamba, vifo vya vifaranga ndani ya mayai hutokana na maambukizi ya...
TUNAUZA TAA ZA JOTO ZA KULELEA VIFARANGA.
(HEAT INFRARED LIGHT BULB)
●Hutoa mwanga mwekundu ambao husaidia kupunguza stress kwa vifaranga na kufanya ale vizuri.
●Taa moja hulea vifaranga 100 hadi 150.
●Huzalisha joto la kutosha hivyo humfanya kifaranga wako kufurahia maisha.
●Hudumu muda mrefu...
Nina kuku wakubwa ambao nawatumia kama wazazi,pia nina vifaranga wa takriban miezi 3 na nusu,mara mwisho niliwapa chanjo ya kideri tar. 20.8.2023 na hapa kati nilikuwa na vifaranga wengine wapatao 40 wenye umri wa mwezi moja ambao niliwapa chanjo ya kideri juzi tar. 4.12.2023 ikiwa ni pamoja na...
Habari wanajf,ningependa kujua ni lini vifaranga vinatakiwa vitolewe kwenye BRUDA au lile Duara la silingi bodi linalotumika kuhifadhi joto kwa vifaranga ,ninaomba mnielimishe.Nimeambatanisha na kielelezo hapa chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.