vifaranga

  1. Madam Ritha Massawe

    CHIMBO LA VIFARANGA TANZANIA

    🐓S&Q_GROUP_INTERNATIONAL LIMITED🐓 AGIZA NASI VIFARANGA BORA KWA VIWANGO VYA KIMATAIFA 0781647066 ____________________________________________ 📠☎️ 0781647066 WAZALISHAJI WAUZAJI NA WASAMBAZAJI WA VIFARANGA BORA VYA KUKU WA NYAMA PAMOJA NA KUKU WA MAYAI TUNAPATIKANA DAR ES SALAAM , DODOMA NA...
  2. S

    NAUZA VIFARANGA VYA KLOILA

    Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4 Bei:7500 Location Sae Mbeya, 0676692082 SIFA Wana stahimili magonjwa Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea Wanaweza fugwa kienyeji hivyo hupunguza gharama za ufugaji Nyama na mayai ya kloila yana ladha...
  3. S

    Nauza vifaranga vya Kloila

    Nauza kloila vifaranga vya wiki 7 mbegu kubwa wamepata chanjo 4 Bei:7500 Location Sae Mbeya, 0676692082 SIFA Wana stahimili magonjwa Hufikia uzito wa kilo 5 kwa Jogoo na kilo 3.5 hadi 4 kwa tetea Wanaweza fugwa kienyeji hivyo hupunguza gharama za ufugaji Nyama na mayai ya kloila yana ladha...
  4. Madam Ritha Massawe

    Sehemu sahihi ya kuagiza vifaranga ni s&q group of international limited

    AINA YA VIFARANGA VINAVYOPATIKANA HAPA S&Q NIKAMA IFUATAVYO 1.VIFARANGA VYA KUKU WA MAYAI -BRAND NI HY-LNE- MIEZI 4- WANATAGA..BOX 280,000 WANAKAA 100 2.VIFARANGA VYA KUKU WA NYAMA - BRAND ZIKO MBILI ROSE WA MWEZI MMOJA...PRICE CHANGES PIA KUNA BRAND YA BROILER TS.900 HAWA NI CHOTALA MIEZI...
  5. lufungulo k

    Vifaranga vya kuku vimekufa vyote tatizo ni nini wengine hata vichwa hawana

    Nimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
  6. M

    INAUZWA TUNAUZA CAGE'S ZA KUFUGIA KUKU WA MAYAI NYAMA NA VIFARANGA

    Mifugo plus Tunauza vichanja vya kufugia kuku wa mayai,kuku wa nyama pamoja na za kulelea vifaranga. ■BEI ZA CAGE'S/VIZIMBA ■KUKU 96 BEI 650,000/=TSH. ■KUKU 128 BEI 850,000/=TSH. ■VIFARANGA 400 BEI 550,000/=TSH. ■KUKU WA NYAMA 120 BEI 950,000/=TSH. MAWASILIANO #0656446991 #0774608608...
  7. Justus wisdom

    Tunatoa huduma ya ufugaji samaki na kuuza vifaranga vya samaki

    Karibuni kwa huduma ya ufugaji wa samaki na mbegu bora ya samaki sato na kambale. Tunapatikana Bunju B Darajani (mingoi), njia ya kwenda bagamoyo karibuni sana.
  8. M

    INAUZWA Mashine za kutotolesha vifaranga (Hard body incubator)

    Wateja wetu ambao mliweka oda ya incubator za body ngumu [hardboard] za mayai 120,528 hadi 10000 mzigo tayari umefika karibuni mifugo plus mjipatie wahi material ya sasa ni imara na magumu yakudumu. -Body nzuri na imara yenye uwezo wa kudumu kwa muda mrefu -Controller yenye uwezo wa kuleguleti...
  9. M

    INAUZWA Tunauza mashine ya kutotolesha vifaranga (In

    KWA BEI YA 170,000/=TSH TU TUNAKUPATIA INCUBATOR YAKO YA MAYAI 30 YENYE SIFA YA KUTOTOLESHA MAYAI YOTE BILA KUBAKISHA HATA MOJA. #SADAKALAWE ●SIFA YA MASHINE YETU YA MAYAI 30 ■Inageuza mayai yenyewe. ■Inamfumo wa kupima yai lenye mbegu. ■Inakuja na warranty ya mwaka mmoja. ■Inacontrol joto...
  10. K

    Miezi mitatu nimetotolesha vifaranga 500 vya kuku wa kienyeji

    Kheri kwenu wapendwa nimeamini kila kitu ni nia na kujituma. Mwezi wa saba nilinunua tetea 30 na jogoo 3 wanaotetea mwezi wa nane nikapata vifaranga 280 na mwezi huu wa tisa 220. Na bado naendelea kuatamishiae. Lengo kufika mwezi wa kumi na mbili niwe na kuku 1000 wa kienyeji pure. NJIA...
  11. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Kwa Sasa kupata vifaranga chotara aina Kroiler na Sasso F1 ni kazi sana

    JF salaam 🙏 Bila shaka Kwa wafugaji wa kuku aina hizo mbili mtakubaliana na Mimi kuwa Tangu mwaka Jana katikati kumekuwa na uhaba sana wa vifaranga vya sasso na kroiler Sijajua changamoto ni Nini hasa. Mwaka Jana nilidhani huenda umeme ulichangia kuwa na uzalishaji hafifu au usio kidhi...
  12. KUKU_UFUGAJI

    Tunauza vifaranga vya kuku wa Mayai (Layers)

    Habari wana jamvi, natumai mko salama kabisa. Naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Vifaranga wanahitaji uangalizi mkubwa sana hasa katika hatua za mwanzo za ukuaji wao, na moja ya njia zinazoweza kuhakikisha usalama wa maisha yao kwanza wao kwa wao (yaani vifaranga) na usalama wa mayai hapo...
  13. K

    Ni sawa kuwaweka kuku wa 4 walioatamia sehemu mmoja?

    Wakubwa nisaidieni Je, unaweza kuwaweka kuku wa 4 wenye vifaranga kwenye chumba kimoja na watoto wao? Maana kuku wangu wameatamia wapo wa 4 so nataka kuwatenga na hawa wengine ambao bado hawajaanza kutaga so ni sahihi kuwaweka kwenye chumba kimoja maana chumba kipo?
  14. Comrade Ally Maftah

    INAUZWA Mashine za incubator zinauzwa

    CAM STORE INCUBATORS - KIATAMISHI MAYAI 60 / TREY 2 BEI 350,000 TU. SIFA ZA MASHINE ZETU. KITU CHA ZIADA UTAKACHOPATA KWETU. ■Elimu buree ya kitaalamu ya ufugaji. ■Usimamizi wa mradi wako. ■Utafutiwaji wa masoko ■Mayai ya kutest mashine ■Nakama haitoshi tutakupa zawadi kemu kemu...
  15. D

    Experience ya kulea vifaranga vya kuku

    Asalaam wana JF, Well, as most of y'all knows, i am very dedicated kwenye ufugaji kuku and recently nimeingiza vifaranga 1000 vya layers and yeah, i will be sharing experience ya namna ya kuvilea with less mortality. This will be like my Diary so keep yourselves updated 11/04- nilivifata kwa...
  16. MRBIASHARA

    Kwanini vifaranga vingi hufia kwenye mayai?

    (Dead in shell cases)😔⁉️ ▪️Hii ni changamoto kubwa ambayo, wafugaji wanaotumia viangulizi (Incubators) hukumbana nayo siku 21 baada ya kuweka mayai kwenye Incubators. ▪️Wafugaji na watumiaji wengi wa incubators hudhani kwamba, vifo vya vifaranga ndani ya mayai hutokana na maambukizi ya...
  17. MRBIASHARA

    Tunauza taa za joto za kulelea vifaranga. (heat infrared light bulb)

    TUNAUZA TAA ZA JOTO ZA KULELEA VIFARANGA. (HEAT INFRARED LIGHT BULB) ●Hutoa mwanga mwekundu ambao husaidia kupunguza stress kwa vifaranga na kufanya ale vizuri. ●Taa moja hulea vifaranga 100 hadi 150. ●Huzalisha joto la kutosha hivyo humfanya kifaranga wako kufurahia maisha. ●Hudumu muda mrefu...
  18. Suip

    Yaliyowakuta Vifaranga vyangu vya kuku baada ya Chanjo ya kideri

    Nina kuku wakubwa ambao nawatumia kama wazazi,pia nina vifaranga wa takriban miezi 3 na nusu,mara mwisho niliwapa chanjo ya kideri tar. 20.8.2023 na hapa kati nilikuwa na vifaranga wengine wapatao 40 wenye umri wa mwezi moja ambao niliwapa chanjo ya kideri juzi tar. 4.12.2023 ikiwa ni pamoja na...
  19. Snapdragon 8

    Vifaranga vya Kuroiler F1 Vinahitajika Singida

    Habari wanajamii forum nahitajo Vifaranga vya kuku aina ya kuroiler kuanzia wiki nne nipo singida
  20. U

    Vifaranga vinatolewa kwenye bruda/duara ya silingi bodi

    Habari wanajf,ningependa kujua ni lini vifaranga vinatakiwa vitolewe kwenye BRUDA au lile Duara la silingi bodi linalotumika kuhifadhi joto kwa vifaranga ,ninaomba mnielimishe.Nimeambatanisha na kielelezo hapa chini
Back
Top Bottom