vifaranga

  1. rr4

    Vifaranga wa bata bukini wa mwezi na nusu

    Habari, Ninauza vifaranga wa Bata BUKINI wa MWEZI na nusu. Wamebaki watatu... Dume moja na jike mbili. Bei Ni tsh. 30,000@ kwa rejareja na tsh. 25,000@ kwa jumla. Wapo maeneo ya kiboriloni, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
  2. Kitabu

    Kunguru na Mwewe wanashambulia sana vifaranga wangu

    Wakuu kunguru na mwewe wanashambulia sana vifaranga wangu wa kienyeji. Je kuna mbinu yeyote ya kudhibiti? Msaada tafadhali.
  3. My Joash

    Naomba ushauri kuhusu tatizo la vifaranga kushusha mabawa

    Wakuu salam kwenu, Nimeanza kufuga kuku wachache ,ila shida imekuja walipoanza kutotoa, vifaranga wanashusha mabawa na kufa, nimeuliza nikaambiwa ni pumba inawakaba, mwingine akaniambia ni gombora au baridi. Naombeni ushauri wa mawazo na utaalamu nini nifanye ili vifaranga wapone. Ni kuku wa...
  4. Victor Mlaki

    Jinsi ya kulea vifaranga wa kuku wa kienyeji kwa lengo lako ni kuwa na kuku wengi?

    Leo natamani kutoa elimu juu ya malezi ya vifaranga wa kuku wa kienyeji ili kupata tija. Napenda niwatoe wasiwasi kwa kuwajulisha kuwa haya mafundisho nitakayoyatoa nimeyasomea ( Agricultural science) na pia nimeyafanyia uchunguzi.Natamani yale mafupi sana ila yenye ubora Kwanza kabisa napenda...
  5. Rion Jr

    Natotolesha mayai ya kuku, tunauza vifaranga

    Habari za jioni wakuu, kama kichwa cha habari kinavyosema. Natotolesha mayai ya kuku 10000 kwa trei, tunauza vifaranga vya kuroiler na pure kienyeji, pia nakukua wanyama 200 wako tayari kwa biashara, nauza bata (Muscovy) Napatikana Chanika kwa Singa, namba zangu ni 0746696878. Karibu sana
  6. alphonce.NET

    Vifaranga wa kuku chotara wa kuloiler

    Tunazalisha na kuuza vifaranga wa kuku chotara aina ya kuloiler Vifaranga wanapatikana mara mbili kila mwezi na wanakua wameshapatiwa chanjo ya Mareks Tupo Busweru, Mwanza tunasafirisha kwenda maeneo jirani kama Shinyanga, Nzega, Musoma, Geita, Sengerema, Magu nk Bei za vifaranga: Umri wa...
Back
Top Bottom