vifurushi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyankurungu2020

    Waziri Ndugulile kama hapo awali ulibaini watanzania wanaibiwa kwa nini urudishe vifurushi vya awali?

    Ndugu Faustine Ndugulile hapo zaidi ya miezi minne ulikuwa unashughulikia kero zinazo wakabili watanzania hasa juu ya wizi wa vifurushi vya simu. Maana watu wengi walikuwa wakilalamika kuwa wakinunua vifurushi hata kama hawajatumia sana vilikuwa vinateketea kama karatasi inachomwa moto...
  2. kiduni

    Siasa imetumika kwenye vifurushi

    Nafikiri sote tunakumbuka kilichofanyika baada ya kupanda kwa gharama za mawasiliano, tulilalamika waziri akijitokeza na kutulaghai yuko pamoja na sisi gharama zitashushwa ifikapo mwezi April cha kushangaza vilibaki vilevile na sisi tukaridhika. Mwezi April ndo huu gharama zimeongezwa mara...
  3. M

    Makampuni ya simu yadharau agizo la Serikali (TCRA)

    Mpaka sasa hivi makampuni ya simu yanaendelea kuuza vifurushi kwa bei ileile onevu ambayo ililalamikiwa na wananchi hapo jana. Licha ya Serikali kupitia TCRA kuagiza usitishwaji wa viwango hivyo, bado makampuni hayo yamekaidi na yanaendelea 'kuwaibia' wananchi kwa kuuza bando kwa bei ambazo...
  4. Kasomi

    Vifurushi vya Intaneti: Asante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu

    VIFURUSHI; Ahsante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu Nani kama Mama? Hakuna. Hakika hakuna kama mama. Kilio chetu cha kutwa moja tu kimemfanya mama atoe maagizo fasta kwa TCRA kushughulikia kupanda kwa gharama za vifurushi. Awali, changamoto kama hizo zilikua zikishughulikiwa baada ya...
  5. S

    Hivi Watanzania mnaamini uamuzi wa kupandisha bei ya vifurushi ni ya Waziri peke yake?

    Naomba niseme nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa uamuzi wa kupandisha vifurushi ulikuwa ni wa Waziri labda na TCRA tu kwasababu hili ni jambo kubwa ambalo siamini kama Waziri anaweza kulifanyia maamuzi peke yake. Hili jambo halina tofauti na lile la kikokotoo ila tatizo watanzania ni wasahaulifu...
  6. Mboka man

    Pengo la Magufuli limeanza kuonekana kwenye hili swala la vifurushi

    Nina imani angekuwepo mzee hili swala la vifurushi kupanda bei na viwango kuna watu saivi angekuwa tiyali kashawatumbua na wengine wameshaondolewa mpka sasa nimeshanga serikali imetoa tamko swala la vifurushi kurudishwa kama zamani ila naona wahusika wa mitandao bado hawajarudisha vifurushi
  7. Cannabis

    Baada ya Malalamiko ya wananchi, Serikali yasitisha bei mpya za vifurushi

    Dar es Salaam. Saa chache baada ya kutangazwa kwa bei mpya za vifurushi, Serikali imetangaza kusitisha kutumika kwa gharama hizo hadi hapo itakapotangazwa baadaye. Uamuzi huo unaweza kuwa habari njema kwa watumiaji wa mitandao ya simu ambao, tangu kutangazwa kwa bei hizo mpya mapema leo Ijumaa...
  8. OLS

    Tuziangalie bei za Vifurushi kiuchumi na matokeo yake kwenye ukuaji wa 'Services'

    Bei za virushi hazijaongezeka, zimepaaa, thus ukipima percentage change ni zaidi ya 200%. Je kutakuwa na matokeo gani kiuchumi 1. Ikumbukwe kuwa 'services' imekuwa ikiongezeka kila uchao na huku 'production' ikiwa katika hali fulani tofauti. Kikubwa ni kuwa kulikuwa na huduma na hata wanaouza...
  9. E

    Hafadhari vifurushi vimepanda ndoa zetu zipumue sasa

    Nimefurahi sana vifurushi kupanda ndoa zetu zipumue weeeee, Maana mimi na shemeji yenu hapa maelewano yalikua ni zero. Alikua haambiliki mara facebook, mara Instagram, mara Twitter. Watu walikua kila sekunde wanatongozana tu mpaka ndoa zetu zinayumba.
  10. J

    Hakuna uratibu kati ya Wizara na Wizara ndio maana Dr Ndugulile anapandisha vifurushi na Dr Mwigullu anataka kukusanya sh 2 trillion!

    Jana nilimuelewa sana Katibu mkuu Kiongozi balozi Katanga. Hakuna mafanikio ya serikali kama kila wizara itatenda kivyake na kutafuta sifa binafsi. Ni lazima pawepo coordination baina ya wizara na wizara. Watu watapunguza matumizi ya mawasiliano na kwa kufanya hivyo kodi itapungua sasa huyo...
  11. Randy orton

    Bei ya Vifurushi itamuondoa mtu next week..

    Nafahamu kwamba huu mchakato wa kupandisha gharama za vifurushi ulianza tangia zamani, nafahamu pia moja ya mbinu za kisiasa ni kutengeneza tatizo na kulitatua mwenyewe hata kama ulikuwepo kwenye jopo la waliofanya maamuzi kufikia kupatikana kwa tatizo hilo. Serikali ina kiongozi mpya ambaye...
  12. heartbeats

    Acha kulalamika vifurushi kupanda, anza kuwa na data plan

    PUNGUZA MATUMIZI YA MTANDAO YASIYO NA TIJA. 👉🏿 Punguza kutizama video za kuchekesha na zisizofundisha chochote. 👉🏿Punguza na Acha kutizama video zenye maudhui ya NGONO hapa MB zinakwenda sana bila faida 👉🏿Punguza na futa magroup ya telegram yenye maudhui yasio na faida, mfano magroup ya...
  13. B

    Wito kwa Dkt. Faustine Ndugulile na Mhandisi Kilaba; Semeni ukweli kuhusu vifurushi

    Hii trend ya hivi sasa ya gharama za vifurushi hatukuiona ikipigiwa kelele awamu iliyopita, lakini ninyi mlikuwa hapohapo kwenye nafasi mlizonazo Sasa. Ukiona kelele zinakuja kwa kiasi hiki ndani ya saa 24 tambua aidha Wapo watu hasa watoa huduma wameamua kwa makusudi kutingisha kiberiti kwa...
  14. T

    Watanzania tuwe wavumilivu, hili la kupanda bei vifurushi tutavumilia pia

    Tulishaambiwa mapema kuwa MB1 itauzwa kati ya Tsh. 2 hadi 9 lakini kwa kuwa wengi wetu tuliikimbia hesabu, hatukuliona hili. Mfano: MB 1 ikiuzwa kwa Tsh. 2 maana yake GB1 yenye MB 1000 itauzwa sh. 2000, MB 1 ikiuzwa kwa Tsh. 3 ni kwamba GB1 itauzwa Tsh. 3000 na kuendelea kulingana na hesabu...
  15. KENZY

    Tamko la UWABATA juu ya vifurushi

    Ndugu zangu wa (UWABATA),Chama Cha wanaume bahiri Tanzania hili swala tusiliache lipite hivihivi!,moja kwa moja Kama UWABATA limenishika na kuniteteresha kiuchumi! Ktk pitapita nimeona kweli vifurushi vimepanda bei tena ya kutupwa!. Kwa kufuata kauli aliyoitoa mama yetu samia rais wa jamhuli...
  16. Kibosho1

    Chonde chonde Mh. Faustine Ndugulile tunaomba uturudishe Misri tu,sio kwa kipigo hiki kwenye vifurushi

    Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu. Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka...
  17. Kasomi

    Tanzania tupaze sauti kupinga mfumo wa vifurushi vipya

    Wananzengo na members wote JF na nje ya JF, yatupasa kupaza sauti kukinzana na utaratibu huu mpya wa vifurushi huu utakandamiza masikini. Haiwezekani vifurushi vipande hivyo. Inaonekana hayo si mabadiliko bali ni ukandamizaji. Serikali lione hili. SAUTI YA WATANZANIA
  18. beth

    TCRA kudhibiti utoaji huduma za vifurushi kwa kampuni za simu

    Katika kukabiliana na malalamiko juu ya huduma ya vifurushi zinazotolewa na kampuni mbalimbali za simu nchini, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetengeneza kanuni ndogo zitakazoratibu utoaji wa huduma hizo. Kuandaliwa kwa kanuni hizo kumekuja kufuatia maoni 3278 yaliyotolewa na...
  19. Chief-Mkwawa

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kutokana na Uhaba wa Vifurushi kwa sasq, vifurushi vizuri vinapatikana Tigo postpaid na Airtel Sme. Airtel SME. Tigo postpaid Namna ya kupata official hivi vifurshi, tembelea wakala wa mtandao husika wa karibu ukiwa na Tin no, leseni na kitambulisho. Kama huna details hapo juu wapo...
Back
Top Bottom