Ndugu zangu wa (UWABATA),Chama Cha wanaume bahiri Tanzania hili swala tusiliache lipite hivihivi!,moja kwa moja Kama UWABATA limenishika na kuniteteresha kiuchumi!
Ktk pitapita nimeona kweli vifurushi vimepanda bei tena ya kutupwa!.
Kwa kufuata kauli aliyoitoa mama yetu samia rais wa jamhuli...