Viwanja vinauzwa Goba kulangwa
Viwanja vimepimwa hati bado.
Kutoka lami Kilometer 1.5
Viwanja vina ukubwa tofauti tofauti.
Vipo vichache
*SQM 1,000 mil 45
*SQM 800 mil 36
*SQM 700 mil 32
*SQM 600 mil 27
*SQM 900 mil 41
*SQM 550 mil 25
*SQM 490 mil 23
*SQM 1500 mil 68
*SQM 2000 mil 90
*SQM...
NYUMBA INAUZWA
MKOA: Dar es Salaam, Tanzania
WILAYA: Kinondoni
MAHALI: Bunju Beach, Moga
NYUMBA INAUZWA KAMA ILIVYO
BEI: TZS Milioni 550
MAONGEZI YAPO
UKUBWA WA KIWANJA: SQM 1600
UMILIKI: Ina hati safi
NYUMBA KALI SANA INAUZWA
SIFA ZA NYUMBA:
Vyumba 4 vikubwa vya...
MAHALI; Mwanza mjini kati
UKUBWA: Fremu moja ila ukubwa kama wa fremu mbili pamoja na ubaraza mkuubwa
Biashara zinazofaa katika hii fremu ni zile kubwa kubwa kwa sababu frem ni kubwa na ina ubaraza mkubwa....mfano vifaa vya ujenzi, restaurant, salon kubwa, mapambo ya ndani, na nyinginezo...
Jiko ni jipya nimelitumia mizi2 tu.. na mtungi una gesi kidogo ya kuanzia.
Ni dharura (nasafri mkoani kwa dharura) naomba elf70 tu! Kama upo serious hata ukipungukiwa kidogo ilimradi initoshe nauli nayohitaji!
Whatsapp/piga 0784355775 - nipo MADALE MWISHO- DAR ES SALAAM)
Jiko ni jipya nimelitumia mizi2 tu.. na mtungi una gesi kidogo ya kuanzia.
Ni dharura (nasafri mkoani kwa dharura) naomba elf70 tu! Kama upo serious hata ukipungukiwa kidogo ilimradi initoshe nauli nayohitaji!
Whatsapp/piga 0685308583 - nipo MADALE MWISHO- DAR ES SALAAM)
Habari wakuu
Kwa wanaopenda viti vizuri basi viti hivi vitakufaa Sana kwa ajili ya bustani yako au baraza yako.
Bei ya kuuzia ni Shilingi 120,000/-
Vipo Dar Es Salaam ila popote unaweza kutumiwa vikakufikia.
Karibuni
Hallow JF habari zenu Natumaini mko sawa
Kama kichwa cha Uzi kinavyosema Viatu Vinauzwa, ni vizuri havina mushkeri yoyote bado ni vipya havijatumika sana, bei ni Tsh 15000 tu ila maelekezo ya maelewano yapo,
Karibuni sana
Size no 38
Bei 15000 tu
Jinsia kike
Rejea kichwa cha habari apo juu kuna viwanja ambavyo vimekatwa vinauzwa vyenye Square mita 500 kila kimoja eneo ni zuri na viko karibu na shule ya secondary ya The new ambassador..kutoka viwanja vilipo mpaka kufika uwanja wa ndege wa JK nyerere ni dakika 5 tu..
Habari wakuu,Kwa mtu anayehitaji huduma ya mashamba ya kununua,viwanja kwa ajili ya makazi,ufugaji,kilimo, unapata maeneo,umeme upo.hekari moja inaanzia milioni 15 na viwanja kuanzia laki 8 mpaka milioni 3.maeneo yapo YOMBO MPERA WILAYA YA MKURANGA.KARIBUNI SANA.
Habari wadau.
Nauza kitanda cha chuma 5 x 6 na godoro lake.
Kwa kitanda peke yake bei 130,000
Godoro bei 80,000
Meza bei 50,000
Namba ya simu 0754 003 715
Oven la kisasa lenye jiko la gas na mtungi wa gas orxy vinauzwa kwa haraka mno .... pesa ya haraka inahitajika.. Dukani hilo jiko ni 560,000/= cc tunauza 380,000 tu
Habari wadau.
Mali tajwa hapo juu zinauzwa. Bado zipo katika hali ya upya maana zimetumika mara moja tu na baada ya mradi kukamilika hazihitajiki tena hivyo nataka kubadilisha walau nirudishe pesa kidogo zinisaidie kwenye mambo mengine.
Kwa mwenye uhitaji namkaribisha sana.
Grinder
Angle...
Nyumba inauzwa kibaha maili moja loliondo
Ina Vyumba 2 kimoja master
Jiko,public toilet, sebule
Umeme upo,eneo lina 20 kwa 20
Umiliki Mkataba wa Mauziano ya serikali za Mtaa
Nimailimoja loliondo pikipiki sh. 2000
Bei mln 19 maongezi yapo kidogo
0675 065906
Viwanja vinauzwa Mbutu Kigamboni vimebaki viwanja 7 tu kwenye mradi.
Ni mbutu mbele ya dege eco village uelekeo wa baharini(mita 400) kutoka baharini).
Viko barabarani barabara iendayo kichangani.
Ni km 22 tu kutoka ferry.
Bei ni shilling elfu 25 kwa square meter.
Habari zenu. Mimi na mume wangu tunauza vitanda 4 vya futi 3 kwa futi 6 viko 4 maeneo ya kibaha kulikuwa na mradi wa ufugaji ngombe Sasa mradi haupo Tena. Vitanda vilitumika kwa wafanyakazi kulalia.
Kila kimoja sh 30,000 na vimetengenezwa kwa mbao ya mkongo. Mgumu sana.
Mpigie mume wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.