Huku kwetu sabuni ya kufulia unapimiwa kwenye kikombe cha chai kama huwezi kununua ndoo au box zima. Vile vitenge vitatu vinavyouzwa Karume na Mnazi Mmoja huku vinauzwa kipande kimoja. Ukiweza kununua vyote vitatu sawa, ukiweza viwili sawa ukishindwa kabisa unanunua kipande kimoja.
Kuku...
Luguruni
Metres 500 kutoka Main Morogoro Road
Eneo ni 25 kwa 30.
Kuna Fremu tano na godown kubwa la mashine ,maji na umeme Upo .
Bei inaanzia 150M .....maongezi yapo kidogo.
Kwa maelezo zaidi piga 0682822649
kitanda na meza vinauzwa bado vipo kwenye hali nzuri.
Nauza vyote kwa pamoja bei sawa na bure tsh 160000 .
kwa atakae hitaji kitanda tu 120000
meza tu 60000.
vipo dar mbagala sabasaba .
0657 623266
0694185384
Viwanja viko vitatu.
vyote vina hati za serikali
umbali ni km 1 kutoka lami.
size ni sqr m 600 kila kimoja
(30m*20m)
Eneo lina umeme
Bei ni 25mil
0713096076
Beach plot inauzwa Nunge Beach Bagamoyo Mjini. Nunge Beach ni maeneo ya ilipokuwa Paradise Hotel and Resort. Ni eneo linalofaa kujenga Hotel za kitalii. Size ya kiwanja ni 11 acres. Bei ni $2M. Serious customers wawasiliane nami kupitia 0687320462.
Tunauza vibubu vya kisasa kabisa.
BEI TSHS 37,000
Piga 0683011003 kwa mahitaji
Tupo Dar Magomeni Kagera
Vina password maalum za kufungulia/kufunga
Vinatumia battery 3 za size ya kati
Vipo vya rangi tofauti tofauti: Red Black Pink Blue
Vimetengenezwa kwa Plastick ngumu isiyovunjika...
Viwanja vinauzwa vipo Mbezi Luois
Cha kwanza kinaukubwa wa square mitre 1,154
Bei milioni 37,000,000/=
Cha pili square mitre 900
Bei milioni 25,000,000/=
Cha tatu square mitre 850
Bei milioni 17,000,000/=
Kwa Mawasiliano piga sim 0713660178
Printer hp 7500 a wide format------laki 3
Tt560 speed lite neewer------------laki na nusu
Sigma lense 170-500----------------laki 4
Studio light na background yake laki 4
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0717 040 837 au 0767 267
664
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.