vinauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Plot4Sale Viwanja vitatu pamoja vinauzwa (6193 SQM) Morogoro

    Viwanja vitatu vipo pamoja vinauzwa Mkundi - Morogoro. Vilipo: Unaingilia Shule ya Green City ni kama 2KM. Kutoka Mjini mpaka ilipo Green City ni kama 10KM. Kwa hiyo ni kama 12KM kutokea mjini, ukiwa unaelekea Dodoma. Hilo eneo linajulikana kama Nguvu Kazi. Baadhi ya Majirani wameshajenga...
  2. M

    Plot4Sale Miliki kiwanja sasa💪

    Stuka ujanja ni ardhi new new site 2023[📍forodhani city. Viwanja vipya Kisemvule Forodhani Cit,y wahi sasa mapema ujipatie kiwanja kwenye round about ya Forodhani City kwa 1,500,000 tu. Karibuni sana katika Mradi wetu mpya 📍Forodhani City, ujipatie kiwanja kilichopimwa na chenye hati miliki...
  3. Mr.genius

    INAUZWA Vifaa vya saluni ya kike vinauzwa

    Vifaa vya saluni ya kike vinauzwa. Vifaa vilivyopo ni Drayer za kukausha 2, Drayer ya mkono 1, Drayer la stima 1, kioo kikubwa kimoja, rolas na tray ya rolas. Bei Tsh. Laki tano (500,000/=) vinauzwa vyote kwa pamoja. (As a package) Vifaa vipo Morogoro mjini. Kwa mawasiliano zaidi 0688476770.
  4. Mgalula MzTz

    Vifaa vya bomba( pipe fittings) vinauzwa kwa Tsh. 65,000/= vyote kwa pamoja.

    Vifaa vya bomba (pipe fittings) vinauzwa. Bei= 65,000/= kwa vyote Mahali= Mbezi ya kimara Mawasiliano= 0765 150672 Size= 3/4 vyote
  5. J

    INAUZWA HDD, SSD, RAM vinauzwa bei poa

    Vimeuzwa, asanteni
  6. Y

    Vitabu vya elimu ya fedha na uwekezaji vinauzwa

    Vitabu zifuatavyo vinapatikana na vitaweza kukusaidia kwa kiasi kikubwa kupata elimu ya fedha na uwekezaji. 1. Increase your Finanncial IQ by Robert Kiyosaki 2. School of money by Olumide O Emmanuel 3. Cash flow Quandrant by Robert Kiyosaki 4. Guide to Investing by Robert Kiyosaki 5. Rich Dad...
  7. Nguvuyabwana

    Laboratory centrifuge inauzwa

    Electric centrifuge Matundu sita. Model no. : 800D Bei ni 180k Dodoma ilazo
  8. baruti 1

    Nauza viwanja, nyumba na kupangisha nyumba maeneo mbalimbali Dar es Salaam

    *Mapinga- Viwanja vya makazi! Ukubwa wa sqm 500, viko km1.5 kutoka barabara ya lami. Vimepimwa tayari kwa ufuatiliaji wa umiliki kisheria. Huduma zote za kijamii zinapatikana, maji & umeme upo. Kumejengeka TAYARI Bei Tsh: 10M Lipia hadi miezi mitatu! Mawasiliano : 0753288167
  9. MrsPablo1

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbezi Msakuzi

    Ukubwa wa kiwanja sqm 400 (20 kwa 20) Kinauzwa Tshs. milioni nane 📞 +255 68 719 1472 WhatsApp +255 788 630 203
  10. M

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kimbiji, Kigamboni

    👉 Viwanja Kigamboni Kimbiji 👉 Mashamba tambalale Kwa ufupi. Eneo la ekari 3.5 beach area Lipo mkoa wa pwani Kisiju Karibia na bandari ya Kisiju Kituo ni Sotele Km 87 kutoka City Center DSM Bei ni milioni 12. (Negotiable) +255746 474849 Update** Heka zaidi ya 100 zinauzwa kisiju wilaya ya...
  11. H

    Vifaa vya saloon vinauzwa

    Habarini ndugu zangu. Kuna saloon inauzwa ipo Kimara B Kwa Komba (karibu na Stopover), kama huitaji kununua saloon yote then unaweza kununua kitu utakachohtaji. Kinyozi wangu aliekua hasumbui kweny hesabu amehamia mkoani ili kuwa karbu aweze kumuuguza mama yake, namm pia nahamia mkoani kikazi...
  12. Asheryelly

    INAUZWA Viriba vinauzwa

    Kwa mahitaji ya polythene tube(Viriba) vya size kuanzia Inch 2.5 hadi Inch 15 vya Gauge(G) zote zinazohitajika kwa uotesheaji wa miti ya matunda, mbao, maua N.k kwa Tsh 4000/= tu kwa KILO 1 Karibu sana. Piga, 0787009807.
  13. VMWare-Oracle

    INAUZWA Kitanda, godoro, kiti na meza vinauzwa

    Habari zenu. Ninauza godoro bado jipya 100,000 4*6*8 Ninauza kitanda used 100,000 4*6*8 Kiti na meza 50,000
  14. D

    INAUZWA Kitanda na Godoro vinauzwa

    Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=). Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA anaitaji ndio sababu kubwa ya kuviuza. Vinapatikana TABATA KINYEREZI Dar es Salaam maongezi kidogo...
  15. J

    Plot4Sale Tunauza Viwanja, Nyumba na Mashamba Dar es Salaam

    1- kinauzwa kiwanja mbezi ya goba kulangwa sq 400 Bei million 17 (maongezi yapo) kilipo si mbali na barabara (dk7- 10 main road) 2- kiwanja kinauzwa MBEZI GOBA sqm 1000 Bei million 57 (maongezi yapo)pia hakipo mbali na barabara 3. Nyumba ya vyumba 6 Mbezi beach Goigi (dk 10 bagamoyo road)...
  16. Z

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kibaha

    Viwanja vipo kibaha kwa mfipa,karibia na chuo kipya Cha uongozi,vimebaki viwili kila kiwanja kina square meter 400. Bei kwa kila kimoja milioni 4 na nusu. Umbali km 1 na nusu toka morogoro road, Panafaa kujenga hostel au kwa ajili ya makazi. Umeme na maji vipo jirani. Tayari Kuna walioanza...
  17. Ms Billionaire

    SOLD: Vifaa vya saluni vinauzwa vyote

    done
  18. Kulupango

    INAUZWA Viti vitano vya glocery vinauzwa laki na nusu

    ,
  19. Kulupango

    INAUZWA Kitanda cha mtoto na godoro lake vinauzwa 150000

    done
  20. Kulupango

    Vyuma vya kuanikia nguo na kamba zake vinauzwa 20,000

    ,
Back
Top Bottom