Fast and Furious 9 'F 9' imetangazwa kuwa filamu iliyoingiza pesa nyingi zaidi kutoka kwenye majumba ya sinema toka kuanza kwa janga la Corona Virus duniani. Mpaka sasa F9 Imetengeneza dola milioni 700, huku dola milioni 200 zikitoka kwa watazamaji nchini China.
Studio za Universal...
Wakuu habari, samahan kuuliza si ujinga na kama ni ujinga basi ukinipa jibu utakuwa umenipunguzia ujinga.
Tunashauriwa kunawa mikono kwa maji tiririka. Iman yangu naamini tukinawa virus wanaondoka na maji, hiyo sawa.
Tukitumia sanitizer, tunapaka kwenye mikono na kuhamin virus wamekufa. Sasa...
Wataalamu wa Afya Nchini humo wamethibitisha kisa cha kwanza cha Marburg katika Ukanda wa Afrika Magharibi. Ugonjwa huo umetajwa kuwa jamii moja na Virusi vya Ebola. Mgonjwa aliyekutwa nao amefariki dunia.
Imeelezwa, Ugonjwa huo unasambaa kwa binadamu kupitia majimaji. Jitihada za kutafuta watu...
Wakuu habari za siku nyingi,
Nimeshtukia hii kitu sana mtu kupata virusi vya corona kupitia vinywaji Kama soda au bia kupitia njia ya wahudumu.
Umevaa barakoa vizuri kabisaaa, una nawa mikono n.k,
Ukienda bar unavua barakoa una agiza bia ata ukiwa peke yako. Muhudum akija anakufungulia ile...
Jerusalem Post Health & Science
Coronavirus in Israel: What do we know about the 143 hospitalized people?
By MAAYAN JAFFE-HOFFMAN JULY 21, 2021 18:07
Of the 143 hospitalized patients, 58% were vaccinated, 39% were not at all, and 3% were partially vaccinated.
Some 143 Israelis were...
Wadau,
Kama mnavyokumbuka kuna kipindi viliibuka aina mpya za virusi vya korona vya kutoka South Africa, Brazil and UK.
Virus hivi hasa kile cha SA vilisemekana kuwa hatali zaidi na kuna baadhi ya nchi zilifikia hatua ya kisotisha safari zote kwenda SA
Muda umekwenda kwa sasa hatusikii...
Naombeni msaada wenu wakuu,namna ya kuondoa hawa virus.Ni takribani wiki moja sasa tangu nivamiwe na hawa viruse,niliwapata baada ya kuingia website kadhaa.
Wamefunga files zangu zote za kwenye computer(documents, videos na movie's).
Cc CHIEF MKWAWA
Tanzania's coronavirus response is getting serious, two months after the death of the country's Covid-denying president.
Before he died in mid-March, former leader John Magafuli repeatedly dismissed the seriousness of Covid-19 in his country and urged his citizens to "pray coronavirus away."...
Israeli company 'SaNOtize' invented a life-saving nasal spray that protects and prevents viral infections.
Israel is at the forefront of finding medical solutions that are blessing humanity.
---
A nasal spray that will be marketed as capable of killing 99.9 percent of virus particles has started...
TAARIFA KWA UMMA Maalim Seif Apumzishwa Baada ya Kupata Maambukizi ya Covid 19
Chama cha ACT Wazalendo kinawajuilisha wanachama wake, Wazanzibari, pamoja na umma wa Watanzania, kuwa Mwenyekiti wake wa Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad, Mkewe, Bi Awena, pamoja na Wasaidizi wake kadhaa wa karibu...
Tunaweza tukasikilizwa au hapana, ukweli ni kwamba rais anatakiwa kusaidiwa jinsi ya kuchagua maneno ktk majukwaa ya kisiasa. Tunaona jinsi Rais anavyotumia jukwaa na kujisahau kwamba maneno ya rais hutafsiriwa na ofisi zote nchini na kuvuka mipaka.
Ni vibaya kwa rais kutoonesha imani na chanjo...
No matter how much we love our lives, some nastiest viruses will always surround us which could be horrifying and deadly. Regardless of the era humans have always had to deal with diseases like dengue and Ebola. Recently coronavirus adds up to the list like Pestilence. We have compiled 10 most...
Priest who volunteered for COVID vaccine – dies suddenly — Pregnant Women Spontaneously Abort Babies; become INFERTILE
HAL TURNER RADIO SHOW
Fr. John Fields, the Communications and Religious Education Director for the Archeparchy of Philadelphia, which is part of the Ukrainian Greek-Catholic...
UPDATES:
05:55 Asubuhi: Viongozi wa vyama vya ACT na CHADEMA wakiongozwa na Freeman Mbowe, Tundu Lissu na Zitto Kabwe wanaingia kwenye ukumbi ambapo watafanya mkutano na waandishi wa habari.
MNYIKA: Viongozi wakuu wa vyama vyetu tumekuwa kwenye vikao vya mashauriano na vimeendelea leo asubuhi...
Trump na mke wake Melanie wakutwa na virus vya Corona.
Rais wa Marekani Donald Trump na mkewe wakutwa na #CoronaVirus, amesema ataanza kukaa karantini haraka iwezekanavyo
Rais Trump alipima baada ya msaidizi wake, Hope Hicks KUkutwa na maambukizi na kufanya maambukizi ya #COVID19 kuingia...
COVID-19 is the cause of every death across the World in 2020 and beyond…
It’s a smart virus, highly virulent in parks, gyms, churches, schools, mosques etc.etc.
It has no effect on the thousands of employees who work in mega stores worldwide like Walmart, Kmart, Home Depot, Lowe’s, Target...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.