Habari GStar publishers ni kampuni inayojihusisha na uchapaji wa vitabu, mabango, brochures na business cards kwa bei nafuu. Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Jangwani au tupigie kwa simu. 0719682352.
Unapata kazi kwa uharaka na kwaubora wa hali ya juu, vitabu tunaprinti kuanzia kopi 10 na...
Hii ni video inayosambaa mitandaoni inayoonyesha Mwanamke mmoja wa kizungu akiwa amekamatwa na Wananchi kwa shutuma za kusambaza vitabu vyenye kueneza tabia ya Ushoga kwa watoto.
ANGALIA VIDEO HAPA
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
Nimeandika kitabu cha hisabati Kwa shule zinazotumia lugha ya kingereza, lakini changamoto ni Soko. Naomba mwenye uzoefu wa kufanya na kutangaza biashara mtandaoni anipé uzoefu au namna bora ya kufanya biashara ya academic books. Nipo Arusha.
366 meditation on wisdom- stoicism, law of universal n.k
nimejaribu kusoma baadhi ya vitabu lengo ni kuongeza maarifa zaidi kwenye nature law na kujua kwa undani kuhusu akili inafanyaje kazi na vipi naweza kuisaidia jamii yangu kupitia elimu yangu ila by then I was dumb na haswa kuhusu mambo ya...
Nimejaribu kufuatilia nimegundua pamoja na maendeleo makubwa ya sasa na njia za mawasiliano kuboreshwa, bado kuna kitu watu wa elimu wameyumba sana.
Zamani vitabu viliandikwa vinyimbo nyimbo na takribani kila sehemu uliyokwenda ungekuta watu wanajua toni ya wimbo husika lakini siku hizi...
Katika sherehe za kukabidhiwa kazi leo, Askofu Malasusa amesema;
"Kumekuwa na majadiliano mengi kuhusu suala la ndoa za jinsia moja na kwamba jambo la ndoa za jinsia moja tuachieni viongozi wa dini kwasababu ni letu, sisi tunajua vitabu vimesema ndoa ni mume na mke full stop. Tunahitaji...
Kuna wanafunzi ambao au ndio wanaingia Secondary, au wanavuka kutoka kidato kimoja kwenda kingine. Katika hali zote, kuna mahitaji ya kununua vitabu vipya vya masomo kwa wale wanaoendelea na shule.
Kutokana na bajeti ya vitabu kuwa kipengele, ingekuwa bora kwa yule anayeenda kidato cha juu...
Nimekuwa nina desturi ya kushirikisha orodha ya vitabu ninavyosoma kila mwaka. Desturi hii inaonesha juhudi za kushirikisha maarifa, ukuaji wa kiakili, na kuhamasisha utamaduni wa kusoma ndani ya jamii. Kila mwaka, nikusanya mkusanyiko tofauti wa vitabu vinavyojumuisha mada mbalimbali, ikiwa ni...
Zaidi ya Vitabu 100 vya masomo mbalimbali vimetolewa na Umoja wa Wazawa wa Kyela Mkoani Mbeya waishio ndani na Nje na Nchi, Kyela Ibasa Festival kwa ajili ya kuwawezesha Wanafunzi kuanzia Kidato cha kwanza hadi cha nne kusoma kwa utulivu na kumaliza mada zote kwa wakati ili kujiandaa na...
Binafsi napenda sana kujisomea. But, bado sijawahi elewa kwanini wasomaji wenzangu wana huu utamaduni wa kuset malengo ya kusoma Idadi fulani ya vitabu kwa mwaka. I find the whole idea as flawed sababu unaufanya usomaji kuwa racing and not grasping the knowledge!
Mfano, ukiweka malengo ya...
Tatizo letu binadamu ni moja, vitabu vya dini tunataka tuvisome kama vitabu vya hadithi vya akina Nyemo, tunataka kuvielewa kama vilivyoandikwa, yaani hatutaki kujua walikuwa na maana gani. Tatizo huwa hapo tu.
Sina uhakika na Kurani kwa kuwa sijaisoma sana, ila kwa Biblia, imeandikwa kimafumbo...
Habari wakuu, nina hitaji hasrd copy ya vitabu vya Alex rider by Anthony Horowitz.
List ya vitabu vyenyewe ni hivi.
Stormbreaker (2000)
Point Blanc (2001)
Skeleton Key (2002)
Eagle Strike (2003)
Scorpia (2004)
Ark Angel (2005)
Snakehead (2007)
Crocodile Tears (2009)
Scorpia Rising (2011)...
Kwa wanafunzi na wale wanaoanza practice ya criminal, hizi zinatumiwa kama checklist kwenye trial Subordinate na High Court na appeals High Court na Court of Appeal. unaweza kuokota kitu.
Kwa miaka kadhaa nimesoma vitabu vya uchumi, biashara, mahusiano, saikolojia na namna ya kukabiliana na changamoto za maisha.
Nimesoma vitabu vya wakina Kiyosaki, Brian Trecy, Robert Green, Ralph Waldo Emerson, Tsu Nzu, Napoleon Hill, Donald Trump, Shoga Yuval Noah Harari n.k
Hii ndio...
Sababu ya kukataza.
1Timotheo 2:12 >> Simruhusu mwanamke yeyote kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya wanaume (ibadani). Mwanamke anapaswa kukaa kimya.
Wasabato hawaruhusu mwanamke kufundisha kanisani au kuwa mchungaji cha ajabu wanatumia mafundisho ya moja wa waanzilishi wa kanisa hilo Hellen...
vitabu vitano vitakavyobadilisha maisha yako totally! How you think, act and behave towards undertaking any business venture.
Hellow Ladies and Gentlemen. Hope you are excited as I am!!.. what a great day in a positive mindset!! My pleasure, this thread finds you well.
Kama ulifanikiwa kusoma...
According to the Koran;
Koran 2;191
"Slay the unbelievers wherever you find them."
Koran 3;28
"Muslims must not take the infidels as friends."
Koran 3;85
"Any religion other than Islam is not acceptable."
Koran 5;33
"Maim and crucify the infidels if they criticize Islam."
Koran 8;12...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.