vitambulisho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    NIDA wasitisha kutoa nakala ya vitambulisho online

    Nakusogezea hii taarifa mpya kutoka Mamlaka ya Vitambulisho Taifa NIDA ambapo wamesitisha zoezi la kutoa nakala ya Vitambulisho kupitia mtandao.
  2. J

    Watu 900,000 wameshafungiwa line zao za simu, ni wale wenye vitambulisho lakini hawakuvitumia kusajili line zao

    Serikali imesema zaidi ya watu 900,000 ( laki tisa) wameshafungiwa line zao za simu baada ya kushindwa kujisajili kwa alama za vidole. Serikali imesema zoezi la ufungaji simu limegawanywa katika makundi matatu; Kundi la kwanza ambao tayari wameshafungiwa ni wale wenye Vitambulisho vya taifa...
  3. othiambo

    Hivi vitambulisho vya Askari/ Wanajeshi vina kazi gani kwa raia?

    Hali zenu waungwana. Hili swali huwa najiuliza sana na sipati majibu, hivi hawa watu vitambulisho hivi vimekua ndio kimbilio na nguzo ya utemi kwa wananchi? Sababu ya swali langu ni jana kipindi narudi nyumbani kufika kituoni magari hakuna; ghafla ikaja daladala ikitangaza nauli 500 katikati...
  4. beth

    Naibu Waziri: Serikali itatumia hekima kuwasaidia ambao wameshindwa kujisajili

    Serikali ya Tanzania imesema itatumia hekima kuwasaidia wananchi walioshindwa kusajili laini za simu kwa sababu ya kukosa kitambulisho cha Taifa na namba licha ya kuanza mchakato wa kupata kitambulisho hicho. Imesema wananchi hao taarifa zao zipo katika Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)...
Back
Top Bottom