vitu

Vitus (), according to Christian legend, was a Christian saint from Sicily. He died as a martyr during the persecution of Christians by co-ruling Roman Emperors Diocletian and Maximian in 303. Vitus is counted as one of the Fourteen Holy Helpers of medieval Roman Catholicism.
Saint Vitus' Day is celebrated on 15 June. In places where the Julian Calendar is used, this date coincides, in the 20th and 21st centuries, with 28 June on the Gregorian Calendar.
In the late Middle Ages, people in Germany celebrated the feast of Vitus by dancing before his statue. This dancing became popular and the name "Saint Vitus Dance" was given to the neurological disorder Sydenham's chorea. It also led to Vitus being considered the patron saint of dancers and of entertainers in general.Vitus is considered the patron saint of actors, comedians, dancers, and epileptics, similarly to Genesius of Rome. He is also said to protect against lightning strikes, animal attacks and oversleeping. Vitus is the patron saint of the city of Rijeka in Croatia; the towns of Ciminna & Vita in Sicily, Forio on the Island of Ischia, in Campania, Italy; the contrada of San Vito, in Torella dei Lombardi, in Avellino, Italy; the town of Rapone, Italy; the town of Winschoten and the Gooi region in the Netherlands, the Italian colony of San Vito in Costa Rica, and the town of St. Vith located in Belgium.
Various places in Austria and Bavaria are named Sankt Veit in his honour.

View More On Wikipedia.org
  1. proxy

    Vitu ambavyo hupaswi kuvifanya kwenye maisha ya kila siku

    Hivi ni kaadhi ya vitu ambavyo hutakiwa kuvifanya kwenye maisha. 1) Kamwe usiruhusu heshima yako ishuke,kwa namna yeyote ile .Jiheshimu na hakikisha heshima yako inabaki kwa kiwango kile kile. 2) Usimdharau yeyote yule kwa sababu ya umbile , rangi yake, kabila, jinsia hata ulemavu wake. Maana...
  2. Harrykany

    Wazoefu wa mambo ya kuchezesha games, mtaani naomba msaada

    Nafikilia kufungua pes game ya mtaani, vitu gani niandae kwa jili ya kuanzia sina mtaji mkubwa, naomba mwenye uzoefu anishauri nitumie nini hasa au pc za ukubwa upi ili niwe na mwanzo wenye uangalau, na PC izo nataka nitafute mtaani, sio shop, coz Huku kwetu wanapenda PES so FIFA
  3. Mzee Mwanakijiji

    Swali Fyatu la Jumamosi: Hili Soko la Bilioni 32 litakuwa na Vitu Gani Ndani?

    Soko la Kariakoo litajengwa upya; inakadiriwa na kudaiwa kuwa serikali itatenga bilioni 32 kulijenga upya. Hili si jambo baya. Ila naomba kuuliza kwa hizo bilioni 32 Watanzania watarajie nini kwenye soko hilo kubwa na maarufu zaidi nchini... Japo hii bilioni 32 kwenye hela yetu inaweza kuwa ni...
  4. KENZY

    Kwenye mapenzi hivi vitu viwili havifundishiki

    Naona kuna tabia imezuka Sana humu mtu akiumizwa huko akaleta uzi humu watu wanakimbilia kuandika "ACHANA NAYE!!". Mnafikiri kuacha ni kitu chepesi tu? Msichokijua KUPENDA na KUACHA hivi ni viti visivyofundishika bali ni maamuzi na utashi wa mtu, itakapofikia mtu kupenda huridhia kwa nafsi na...
  5. SAYVILLE

    Kwanini vitu vyangu vinapotea katika mazingira ya ajabu?

    Wakuu, Kuna mambo ambayo nimekuwa napambana nayo kwa muda mrefu sana katika maisha yangu. Nimejaribu njia nyingi, hasa za maombi hadi chumvi. Wakati mwingine naona kuna unafuu unakaribia kuja halafu ghafla narudi kule kule. Niliwahi kuleta uzi humu kuelezea hali yangu. Kwenye masuala ya...
  6. T

    Mwanaume hakikisha hukosi vitu kama hivi kwenye hazina yako

    Kesho nasafiri kwenda Nyanda za Juu Kusini na kisha nitakwenda Kigoma, mojawapo ya vitu vya muhimu siwezi kuacha ni hivi hapa chini. Mwanaume hakikisha hukosi hivi vitu kwenye hazina yako uendapo popote. NB: KY ni kwaajili ya kulainisha kuhakikisha hakuna mchubuko na sina matumizi nayo zaidi...
  7. Liverpool VPN

    Let's have man talk:- Hivi ndio vitu mnavyofata kwenye ndoa?

    Wajumbe igweee..... Wale mnaosema sijui nahitaji mwanasaikolojia, hebu Njooni hapa muone Hawa mabaharia wanavyoteseka. Wale mnaosema soon naoa, aisee kilicho bora kwasasa ni KUTAFUTA HELA. Hawa ni wanaume wenzangu NAWAONEA SANAA HURUMA. Ukute wengine nawajui sema ni ID tu ndio zimetufanya...
  8. KAGAMEE

    Wanasimba naomba mpite hapa niwaambie kitu (vitu)

    Hakuna timu inayojielewa inayofurahia draw hvyo poleni sana watani.Nimefatilia mchezo wenu toka sekunde ya kwanza mpka dk ya mwisho na nmegundua yafuatato; 1. Timu haina muunganiko kama mnavyotamba mtaani 2. Kuna wachezaji wengi wana DEGREE na wengne wana MASTERS hvyo tangu ibainike KOCHA ana...
  9. D

    INAUZWA Nahama nauza vitu vya ndani

    Niko Dar es Salaam - Upanga Kabati la vyombo 180,000 Kabati la nguo 180,000 Sofa watu 7 - 400,000 Meza watu 4. call/sms 0752140000, 0787215011
  10. Msumbufu1953

    Nauza Banda la biashara pamoja na bidhaa

    Ni banda la chuma ambalo lina ukubwa wa futi 8 kwa 6. Unaweza kuendelea kufanya biashara hapohapo au uhamishe, kwasasa ni duka/kibanda cha bidhaa za nyumbani pamoja na genge(meza za genge zipo) Mali zilipo ndani Mizani Bidhaa Kreti za soda Location: Ubungo Tanesco Bei 1.65mil WhatsApp/Call...
  11. Kasomi

    Ulirudisha au kurudishiwa vitu mlipoachana?

    Hakuna kitu kinaumiza kama mkiachana harafu mwenzio alete madoido. Je, wewe ilikuwaje mlivyo achana. Rejea STAN BAKORA alicho sema yeye.
  12. Nedlloyd

    SoC01 Vitu wasivyokuambia

    Niwasalimu woote kwa niaba ya Jamii Forums. Leo naomba tuelekee kwa wakuu wetu waliopo kutuwakilisha na kuamua hatma ya nchi ( Wawakilishi/ Viongozi ) . FIKRA ZANGU: Afrika kwa ujumla hatuna viongozi Bali watu wanaocheza na hofu na hisia zetu. Viongozi wamekuwa watu wanaotafuta njia fupi ya...
  13. Crocodiletooth

    Nashauri ziwepo fomu maalum zinazotambuliwa na Serikali kwa ajili ya manunuzi wa vitu vidogo

    Napendekeza hili kwa sababu nayaona maafa mbalimbali yanayowapata watu kila siku hasa pale wanaponunua vifaa vyao vidogovidogo kutoka kwa watu binafsi kama simu na kadhalka. Nashauri pawepo na fomu maalum zitakazokuwa zinapatikana katika vituo vya polisi ambazo zitakuwa zikiuzwa kwa shs 5000 na...
  14. sky soldier

    Ni vitu gani vinahitajika kusajili line ya Safaricom ili niwezi kutumia Paypal?

    Habari majirani, Huku kwetu Tz Paypal inaruhusu malipo tu, Haiingizi pesa, Hivyo nimeona mbadala ni kuja hapo mpakani ili nisajiliwe line ya Safaricom ambayo hata huku kwetu inafanya kazi maana wana undugu na Vodacom. Je, ni vitu gani vinatakiwa ili niweze kupata hio simcard? Asanteni
  15. aka2030

    Vitu kupewa jina la Nyerere imetosha tuvipe na majina ya viongozi wengine

    Pamoja na kuwa baba wa Taifa ila vitu vingi sana vimepewa jina lake Nashauri imetosha tuwape na wengine maana sasa historia inakuwa kwa mtu mmoja kama wengine hawakuwepo tu hebu tazama Mwalimu nyerere memorial academy Mwalimu nyerere international airport Nyerere hydroelectric power Nyerere...
  16. K

    Kati ya vitu vifuatavyo, nini kifuliwe/kuoshwa kabla ya matumizi

    Suti Blanketi Shuka Suruali Shati Underwear Mtumba(wowote) ONGEZEA tafadhali!
  17. Craig

    Vitu gani unavyovihofia zaidi maishani ambayo ni vya asili?

    Habari za Majukumu Wana JF kichwa cha habari kinahusika kama mnavyojua maisha yamejaa kuogofya kiasi kwamba hata uwe na mabaunsa lakini huwezi KUKOSA hofu moyoni. Binafsi woga nilionao MAISHANI ni Uzee na Kifo maana najua hakuna aliwahi kwepa. Uzee unakuja bila hodi mdogo mdogo kadri umri...
  18. Dr Restart

    Changamoto ya Malezi: Watoto kuharibu vitu

    Wasalaam Wakuu!. Watoto ni baraka kubwa sana na kila mzazi angelipenda kuwa na watoto ili kujenga familia yenye furaha na amani. Watoto ni faraja kubwa sana kwa wazazi lakini muda mwingine ni changamoto sana. Je, umewahi kukutana na changamoto ya watoto kuharibu mali na vitu vya thamani katika...
  19. Kilenzi Jr

    Vitu 5 vya kuzingatia ukiwa unataka kufanya udahili wa chuo au Chuo Kikuu

    Ni jambo moja kuamua usomee nini, na ni jambo la pili kuamua ukasomee wapi. Tanzania Kuna vyuo vikuu na vyuo vya kati zaidi ya 100 Lakini utalazimika kuchagua kimoja tu katika hivyo vingi ili uweze kusomea unachotaka kusomea. Hivyo ni muhimu sana kuwa na sababu ya kwanini unachagua chuo...
  20. S

    Ukosefu wa ajira, ugumu wa maisha na Katiba Mpya ndio vitakavyoiondoa CCM madarakani

    CCM wafanye yote wanayofanya ikiwemo kutumia propaganda na dola kubaki madarakani, ila waeleze tatizo la ajira na ugumu wa maisha pamoja na Katiba hii mbovu tulionayo, ndio vitu vitavyokuja kuwaondoa madarakani. Hata hivyo, ili yatimie, lazima kwanza litokee jambo ambalo litatumika kama...
Back
Top Bottom