viwanda

  1. K

    Msaada jamani mwenye connection na Ma HR wa viwanda anisaidie kuniunganisha

    Nawasalimu sana mim ni kijana mwenyeji wa mikoa ya kanda ya ziwa nlizaliwa miaka ya 90's baba yangu alikuwa ni mfanyakazi wa idara ya maji miaka hiyo ila tulivoambiwa na mama yetu kuwa aliachaga kazi yey mwenyew baada ya kuacha kazi...
  2. Chizi Maarifa

    Serikali: Ni wakati sasa ya kuviweka hadharani Viwanda 4,000 tulivyojenga Wapinzani waone haya

    Najua wapinzani walipiga sana kelele kuwa serikali haijafanya kitu. Na Waziri akajikuta anatoa siri ya kujenga viwanda 4000 na ajira zaidi ya milion 3. Sasa nadhani tunapoenda kwenye uchaguzi Serikali iviweke wazi viwanda hivyo watu wajionee.hawa wapinzani wana ujinga wa kupinga kila kitu...
  3. Kennedy

    Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli achukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania Ofisi za NEC

    Kumekucha salama, Leo tarehe 06.08.2020 mgombea nafasi ya kazi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa Chama cha Mapinduzi, atachukua fomu kwenye ofisi ya NEC makao makuu ya Dodoma. Baada ya kuchukua fomu ataongea na wananchi pia wanachama wa CCM kwenye ukumbi wa White House...
  4. kimsboy

    Je, Tanzania ya Viwanda imeshakamilika?

    Ni muda sasa Rais akihutubia bila kusikia neno "viwanda" kama ilivyokua kawaida yake Na pia hakuna update yoyote ya viwanda vinavyojengwa Labda niwaambie kitu tu nchi kuwa ya kiviwanda mnatakiwa muwe na viwanda kama utitiri yaani vya kutosha mfano kwa ukubwa wa Tanzania na watu wake ili...
  5. mkiluvya

    Miradi ya Uwekezaji katika Viwanda Unaangazia Sera ya Tanzania ya Uchumi wa Viwanda - Mwambe

    Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania(TIC), Geoffrey Mwambe amesema kuwa Miundombinu iliyojengwa na Serikali imewezesha kituo hicho kupiga hatua kubwa na kulete wawekezaji wengi katika Sekta ya uwekezaji hasa kwenye sekta ya Viwanda. Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari Jijini...
  6. mkiluvya

    Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Ataka Ujenzi Wa Kiwanda Kipya Cha Viatu Cha Karanga Kukamilika Kwa Wakati

    Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Prof. Riziki Shemdoe ameitaka kampuni ya Tanelec – Arusha kuharakisha utengenezaji wa vifaa vya umeme ikiwemo (switch gears ) ambazo zinasubiriwa kufungwa kwenye kiwanda cha kuzalisha bidhaa za ngozi cha Karanga kilichopo Mkoani Kilimanjaro. Prof...
  7. Mwamuzi wa Tanzania

    Uchaguzi 2020 CCM mkituonyesha hivyo viwanda 8477 kura zote zenu

    Habari waungwana! Ni dhahiri shahiri kuwa siasa za Afrika zina utofauti na mataifa mengine nje ya Afrika. Kuna dhihaka na kebehi moja inafanywa na viongozi wa CCM juu ya wananchi. Dar es salaam ndio mji wa kibiashara lakini kila nikizunguka sioni hivyo viwanda vipya. Ukikaa pale Mbezi Mwisho...
  8. Sky Eclat

    Tanzania ya viwanda katika picha

  9. Environmental Security

    Bajeti inayothibitisha azma ya kuwa na Tanzania ya viwanda na taifa linalojitegemea

    Habari wanaJF, Sina shaka na weledi wa wanaJF wengi humu jamvini, ndio maana nina ujasiri wa kuleta thread hii njema kabisa kwa mustakabali wa taifa letu. Tukiondoa tofauti zetu za kiitikadi na kuja pamoja kama taifa tutatambua kuwa kwakweli bajeti hii ya 20/21, imelenga moja kwa moja...
  10. chiembe

    Wizara ya viwanda na Biashara itangaze tarehe ya kuanza kwa maonyesho ya kimataifa ya biashara-sabasaba 2020

    Ni muda umefika tarehe itangazwe kuanza maonyesho ya kimataifa ya biashara sabasaba Wizara itoe mialiko kwa wafanyabiashara ndani na nje ya nchi kwa haraka #hapakazitu #MATEGE
  11. M

    Uchumi wa ajira na ukweli kuhusu Tanzania ya viwanda

    Anaandika John Sm Mgejwa Kuna kipindi nchini Kenya hasa mwaka 2009/10 kwenye mapato yaliyokuwa yanakusanywa kwa mwaka, 47.3% ya Fedha zilizokusanywa zilikuwa zinatumika kulipa mishahara ya watumishi, kiwango hiki lilikuwa juu ya kile Cha kimataifa ambacho ni 35% ya makusanyo yote. Hii ina...
  12. T

    Kuanzisha kikundi cha Ujasiriamali

    Ndugu habari, Nimemaliza chuo mwaka jana sasa nina shahada ya kwanza ya Ualimu katika masomo ya Hisabati na Kompyuta. niliporudi nyumbani mwaka huu niligundua kuna fursa ya kuzoa taka katika mitaa ya kata yetu. Hivyo sikuchelewa nikachapa barua fasta na kuipeleka kwa mtendaji wa kata nikiomba...
  13. Zillion

    Uzi wa kuunganishana na viwanda nje na ndani ya Tanzania vinayouza bidhaa za jumla kwa bei nafuu

    Wandugu nimeona nilete uzi huu ili tupate kujuzana viwanda mbalimbali tunakoweza kununua vifaa/ bidhaa mbalimbali kwa bei za jumla. Bidhaa mfano: Vifaa vya ujenzi Vyombo Vifaa vya simu Vifaa vya usafi Pembejeo za kilimo Furniture Nguo Simu Spair parts Nk Nawakaribisha wenye viwanda na...
  14. B

    Halima Mungereka: Hii pesa inayotumika kuwanunua/kuwatesa wapinzani Haiwezi saidia viwanda vya sukari kukidhi mahitaji na kuzalisha ziada?

    Hii pesa inayotumika kuwanunua wapinzani na inayotumika kisiasa kuwatesa wapinzani Je, haiwezi kusaidia viwanda vya sukari kuzalisha kukidhi mahitaji ya ndani na kuzalisha ziada? Nchi kama Uganda ndio ya kuisaidia Tanzania Sukari na hawajawahi kuwa na uhaba wa sukari, je wao ndio wanayo...
  15. Parabora

    Ifahamu nchi ya Japan na jiji lake lenye viwanda vingi la Nagoya

    Kama nilivoahidi toka mwanzo kipindi hiki ambacho nipo lock-down nitakuwa na-share hapa taarifa mbalimbali za baadhi ya nchi nilizowahi kuishi na kufanya kazi ili kwa wale walio na ndoto za kufika wapate japo ufahamu kidogo kuhusu hizo nchi na fursa mbalimbali zinazopatikana katika mataifa hayo...
  16. OLS

    RIPOTI BoT: Hali ya uchumi ya sasa ni mbaya zaidi ya miaka 5 iliyopita

    Moja kati ya kitu cha kuangalia ili kujua kama tuna uchumi wa viwanda ni kuangalia kiwango ambacho tunazalisha ndani ya nchi, ambacho kwa kupitia viwanda tunaweza kuwa na uuzaji mkubwa wa vitu hivyo nje ya nchi na kufanya uchumi kukua kwa kasi. Awamu hii ilikuja na kauli ya Tanzania ya viwanda...
  17. M-mbabe

    Serikali lugha gongana: Wizara ya Afya inakataza matumizi ya barakoa za nguo kujilinda na COVID-19, Wizara ya Viwanda yahimiza zitengenezwe kwa wingi

    Yaani nchi hii ni pasua kichwa. Makosa yaliyofanywa na kina JK, Oktoba 2015 ni dhambi kubwa sana ambayo sidhani kama Mungu atawasamehe. Pathetic!!
  18. Mikopo Chefuchefu

    Sakata la Sukari: Ni bora viwanda vya ndani vife, mwananchi apone

    Deregulation of sugar industry will see the economies of scale and market competitiveness transfer relief that results into lower prices to final consumers. In order to protect local industries, govt have been placing quotas or embargoes to the importation of sugar something that has resulted...
  19. M

    Kwa nini sukari kwa upande wa zanzibar haizidi Tsh 1,800/= kwa kilo, Wao wana viwanda vingapi?

    Zanzibar kuna viwanda vingapi vya sukari wakuu, mbona wao bei iko chini.. huku kwetu chai imeshakuwa anasa sasa...
  20. L

    Tanzania ya Viwanda: Zaidi ya wafanyakazi 90% wafutwa kazi kwenye kiwanda cha Mihogo kwa Nape

    Wassalam wana-JF, Mwezi Machi mwaka 2019, waziri Mkuu wa JMT Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa alizindua kikubwa na inawezekana cha pekee Mkoani Lindi maeneo ya Mbalala jimboni Mtama kinachojulikana kwa jina la CASSAVA STARCH OF TANZANIA CORPORATION. Kiwanda ambacho kinajishughulisha na uzalishaji...
Back
Top Bottom