NJOO VIZURI
Kuna bwana mmoja aliniijia akanikuta mahali napata moja ya baridi,wenyewe husema kuchamba koo....
Sasa yule bwana akanishambulia kwa maneno unakunywa pombe ni dhambi,
Nikatulia kumsikiliza.
Akasema tena walevi wote mwisho wao motoni...
Mimi: Nikamuuliza nani mlevi ?
Yeye: Wewe hapo...