vladimir putin

  1. DALA

    Asante Sana Urusi, Asante sana Vladimir Putin kwa kusimama kiume dhidi ya Mafedhuli

    Hivi umewahi kufikiria dunia ya leo ingekuwaje bila Urusi? Kwamba Marekani na washirika wake ndo wangekuwa na nguvu ya kusema na kutenda wanavyotaka ingekuwaje? Kwamba kila azimio kwenye baraza la Usalama wa UN turufu angekuwa nayo Marekani peke yake ingekuwaje? Hivi bila nguvu ya kijeshi...
  2. A

    Putin Atuma Ujumbe kwa India Baada ya Kumtusi Mtume Mohammad. Je, Biashara ya Mafuta Kati ya Urusi na India Kukwama?

    Niliwahi kuandika humu kwamba hapa JF asilimia 90 ya wanaomuunga mkono Putin ni Waislam na nikatoa na sababu ila moderators walifuta ule uzi. Wengi wanaamini hivyo kwamba Putin analipiza madhira ambayo muslims na nchi za kiislamu wamekuwa wakiyapata wanyaodai chanzo chake ni Marekani na...
  3. J

    Rais Putin aihakikishia Afrika kuilinda kwa Chakula na Mbolea. Asema Russia na Afrika ni marafiki wa Kufa na Kupona!

    Rais Sall wa Senegal ambaye ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Leo amekutana na Rais Putin nchini Urusi. Rais Putin amesema Afrika ni rafiki wa kweli wa Russia hivyo wasiwe na hofu wataendelea kupata nafaka na mbolea kutoka Russia Leo ni siku ya 100 tokea vita ya Russia na Ukraine ianze Source...
  4. I

    Vladimir Putin today declared that Russia will 'conduct a lightning strike' against countries supporting Ukraine with 'means and tools'

    Yeah, yeah, we’ve heard that before. 1944, the alleged “Wunderwaffen” of the Nazis. Didn’t work then, won’t work now. It’s propaganda directed at the Russian population, drawing attention away from the war that’s not going as planned. The worst he can do, short of annihilating the world, is...
  5. A

    Rais wa Urusi, Vladimir Putin 'Chupuchupu' kuuawa

    Habari kutoka Shirika la habari la Reuters zinaeleza kwamba Jasusi mbobezi, Rais wa Urusi, Vladimir Putin alinusirika Kuuawa mwanzoni kabisa mwa mgogoro wa Vita ya Ukraine. Kwa sasa Putin inawezekana ndiye Rais anayeishi kwa wasiwasi mkubwa kuliko Marais wote wa nchi nyingine duniani. Putin...
  6. A

    CIA inamtesa Putin vikali, yaanza maandalizi ya kumtoa rasmi Kremlin

    Hiki ndicho unachoweza kusema, Marekani sasa yaanzisha propaganda za kwamba Putin ana mpango wa vita ya muda mrefu ili waendelee kupeleka misaada ya kivita na kifedha, lengo likiwa ni kuyakomboa maeneo yote ya Ukraine yaliyotekwa na Urusi na hatimaye kuingia Moscow moja kwa moja na kumfurusha...
  7. beth

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Urusi vyawalenga watoto wa Rais Putin

    Marekani imesema inaamini Mali nyingi za Rais wa Urusi, Vladimir Putin zimefichwa na Wanafamilia. Kauli hiyo inakuja kufuatia vikwazo vipya vilivyotangazwa dhidi ya Watu wa karibu wa Putin wakiwemo Mabinti zake wawili Taarifa ya Marekani imemtaja Katerina Vladimirovna Tikhonova kama Mkurugenzi...
  8. beth

    Putin: Vikwazo vya Magharibi vimepelekea janga la chakula duniani

    Rais Vladimir Putin amesema Urusi inalazimika kuangalia kwa karibu mauzo yake ya chakula kwa nchi zisizo rafiki kwani vikwazo vya Magharibi vimechochea janga la chakula duniani na kuongezeka kwa bei za Nishati. Vikwazo vya Nchi za Magharibi kutokana na uvamizi wa Putin mnamo Februari 24, 2022...
  9. Analogia Malenga

    Rais Joe Biden apinga kuomba radhi baada ya kutoa kauli ya kutatanisha kumuhusu Rais Vladimir Putin

    Rais wa Marekani Joe Biden Jumatatu amesema hataomba radhi baada ya kutamka hivi karibuni kwamba rais wa Russia Vladimir Putin “hawezi kusalia madarakani”, akisisitiza kwamba “alionyesha hasira ya kimaadili”, na sio wito wa kuondoa utawala wa Moscow. “Watu kama hao sio wa kuongoza nchi, lakini...
  10. Analogia Malenga

    Zelensky: Kufeli kwa mazungumzo kutamaanisha 'Vita vya Tatu vya Dunia'

    Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa anaamini kushindwa kufanikisha mazungumzo ya kumaliza uvamizi wa Urusi kutamaanisha "vita vya tatu vya dunia". Akizungumza na CNN Jumapili, Zelensky alisema yuko tayari kuzungumza moja kwa moja na Rais wa Urusi Vladimir Putin, akiongeza kuwa...
  11. SNAP J

    Putin anaonya nchi za Magharibi: Urusi itaibuka kama taifa lenye nguvu zaidi

    Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema mwisho wa siku Urusi hatimaye itaibuka na nguvu na uhuru zaidi baada ya kukabiliana na matatizo yaliyosababishwa na kile alichokiita vikwazo haramu vya nchi za Magharibi. Putin alisema hakujawa na mbadala wa kile Urusi inachokiita operesheni yake maalum ya...
  12. Mathanzua

    Vladimir Putin didn’t just invade the Ukraine on 24/02/2022, he officially ended the petrodollar system!

    Vladimir Putin didn’t just invade the Ukraine on 24/02/2022, he officially ended the petrodollar system. How? Remember, Russians don’t do anything without a plan. They & China have been prepping for this moment for years & are now ready. Russia has stated NATO expansion into Ukraine was a...
  13. Kasomi

    Kumbukumbu: Vladimir Putin alivyokutana na Kim Jong UN

    Je, Kim Jong Un atasimama upande wa Putin? Unaonekana kuna uswahiba kati yao. Video ikirejea Siku ambayo Rais wa Urusi Vladimir Putin alivyokutana na Rais wa Korea kaskazini Kim Jong Un.
  14. Sky Eclat

    Does Russia's Vladimir Putin have a wife and kids? Everything you need to know

    Russia's president Vladimir Putin was married to former flight attendant and they share two daughters together. Vladimir Putin tends to keep his personal life away from the spotlight which means not much is known about him, aside from his political life. The 69yrs old President of Russia was...
  15. M

    "Mpishi wa Putin" naye awekewa vikwazo vya uchumi na Serikali ya Marekani

    Mzuka wanajamvi! Sankshen zinabite kichiz kwa Putin. Biden sasa hivi ameamua kuendelea kupiga vikwazo vya kiuchumi kwenye inner circle ya Putin na familia zao. Kampiga vikwazo vya uchumi mpishi mkuu wa Putin Yevgeniy Prigozhin mwenye utajiri wa dola za kimarekani million 30. Hataweza tena...
  16. beth

    Rais Biden: Putin alikosea kufikiri Mataifa ya Magharibi hayatojibu alipoishambulia Ukraine

    Rais Joe Biden amesema Bungeni kuwa Rais wa Urusi, Vladimir Putin alifikiri vibaya kuhusu hatua ambazo Mataifa ya Magharibi yangechukua alipoivamia Ukraine. Amesema Vita ilipangwa bila kuchochewa, na Rais Putin alikataa juhudi za mara kwa mara za Kidiplomasia akifikiri Nchi za Magharibi na NATO...
  17. Kasomi

    Mfahamu Vladimir Putin; Rais wa Russia (Urusi)

    Vladimir Vladimirovich Putin (kwa Kirusi Владимир Владимирович Путин; amezaliwa 7 Oktoba 1952) ni mwanasiasa nchini Urusi. Mara tatu alichaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Urusi, mara ya mwisho tarehe 7 Mei 2012; awamu za kwanza zilikuwa kutoka 2000 hadi 2008. Kuanzia Agosti 1999 hadi Mei 2000...
  18. sky soldier

    PICHA: Putin aliishi Tanzania 1973 hadi 1977 akiwa kama mkufunzi kwa wapigania uhuru

    Pana swala gumu kidogo, Picha ilikuwa ya 1973 lakini google wameandika Putin alimaliza chuo 1975, huenda ni maisha ya kijasusi labda chuoni ilikuwa ni zuga tu huku anaendelea na majukumu mengine. Anyway, nanyi mnaweza kutoa maoni yenu.
  19. S

    Ukurasa Maalumu wenye picha za Rais wa Urusi, Vladimir Putin

    Yuko kikazi zaidi. Kama wanadhani ana-beep, basi wasubiri kupigiwa. Russian Prime Minister Vladimir Putin rides a horse during his vacation outside the town of Kyzyl in Southern Siberia on August 3, 2009. AFP PHOTO / RIA-NOVOSTI / ALEXEY DRUZHININ (Photo credit should read Alexsey Druginyn/AFP...
  20. John Haramba

    Vita ya Urusi na Ukraine: Putin aonya “Yeyote atakayeingilia atapata pigo la kihistoria”

    Rais wa Urusi, Vladimir Putin mara baada ya kutangaza mashambulizi dhidi ya Ukraine, ametoa onyo kwa mataifa ya Magharibi kuwa yeyote ambaye atajaribu kuingilia kinachoendelea baina ya mataifa hayo mawili atakutana na kitu ambacho hajawahi kukutana nacho. Milipuko ilisikika Mji Mkuu wa Ukraine...
Back
Top Bottom