Kwa wale wote wanaohitaji kupanga Hostel karibu au jirani na maeneo ya UDSM, ARU, Chuo cha TAKWIMU mnakaribishwa. Hostel ipo Changanyikeni. Ina fensi, maji pia na umeme. Uwanja una peving na vyumba vyote vina Ceiling Board. Baadhi ya vyumba ni self contained na vina tiles. Vyumba vipo bei...
Wakati tukiendelea kumtafta mchawi aliyepandisha Cement!
Shida kubwa ya halmashauri nyingi ni kugeuza sheria kuwa vyanzo vya mapato.
Tutafakali gharama zifuatazo za kibali cha ujenzi huko halmashauri ya Kigamboni.
Bei hizi zinasimamiwa na ofisi ya Mkurugenzi kwa ajili ya kutunisha mfuko wa...
Mahali: Kifuru mwanzo mgum jirani na stend mpya ya Mbezi Luis
Vyumba bado Vipya ko havina kipengele
Vyumba ni viwili yani sebule na chumba
Self container kwa kila mpangaji
Umeme kila mpangaji mita yake poa
Maji kila mpangaji mita yake
Umbali kutoka barabara ya lami inayoenda Mbezi Luis/...
Tume ya uchaguzi imesema mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na watumishi wengine wa umma hawaruhusiwi kuingia kwenye vyumba vya kupiga, kuhesabu na kujumlisha kura isipokuwa kwa ajili ya wao kupiga kura tu.
Chanzo: Mwanahalisi Digital
Maendeleo hayana vyama!
===========
WAKUU wa...
Habari wakuu,
Ninatoa huduma ya michoro ya ramani za nyumba. Ramani zipo nyingi za aina na ukubwa tofauti, hivyo nitatoa kulingana na mahitaji ya mteja na kufanya marekebisho kidogo ili kukidhi hitaji husika. Utanipa 'details' zako kamili na maelezo ya kiwanja chako.
Marekebisho ninayofanya ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.