Geremi Njitap: ''Mimi sio Eto'o, pesa zangu ni zangu
Yeye ni yeye, mimi ni mimi. Sikuteseka kwa miaka mingi kuokoa ulimwengu wote. Familia yangu imekuwa ikinilalalmikia lakini sijali.
Pesa zangu ni zangu tu, nisingecheza mpira nani angekuwa tayari kunisaidia?
Sinunui huruma. Hutasikia kwamba...