Tangu nizaliwe na kujitambua nilikuta kuna madhehebu makuu matatu au manne ya kikristu.
1:waroma.
2:Waprotestanti
Hiyo ni miaka ya 70 lkn kufikia miaka ya 90 hadi 2000 kumezaliwa makanisa chungu tele hapa Tanzania.
Ukifuatilia kwa ukaribu utagundua kila anaye anzisha kanisa lake lazima kwanza...
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Masanja Mkandamizaji anamsisitiza Diamond awape mimba wanawake kutoka nchi zote Africa Mashariki.
Huyu mchungaji chenga sana, anaacha kuhubiri toba na kuacha dhambi yeye anasisitiza Diamond awape mimba haraka huko nchi ambazo Bado Kisha aoe.
Dini imevamiwa
WACHUNGAJI NA MASHEIKHE WA MISHAHARA WANAOSHINDWA KUKEMEA WANASIASA WAOVU, NDIO WANAOFANYA DINI IDHARAULIKE.
Kwa Mkono wa Robert Heriel.
Kazi hudhaulika pale uasi unapotamalaki, hata ile kazi iliyonjema na halali hudharaulika na kuwa ya aibu pale waovu wanaposhika kazi hizo. Zama hizi, kazi...
Mchungaji anasema toa upate baraka, utanyeshewa baraka za kukuinua, hutakua mtu wa magengeni tena, hutakua mtu wa kununua mitumba tena utanunua nguo kwenye ma shoping mall na mahitaji yako yatatoka supermarket.
Hizi hela tulizonazo tungeamua kuwa watu wa manunuzi ya supermarket na shopping...
Kwa upande wa kanisa kunavituko vingi sana vya ajabu makanisani lakini hakuna mahara pa kusemea kwa sisi waumini labda kubadilisha kanisa lakini kwa wanasiasa na taifa kwa ujumla kila baada ya miaka 5 kuna sehemu ya kusemea hivi kwanini na hawa wanasiasa wa upinzani nao wapewe kinga kama ya...
Hi haijakawa sawa hata kidogo.
Una masumbuko yako, unaamua kwenda kuombewa.
Unamkuta mchungaji ofisini kwake, unalia, unamuelezea matatizo yako weeee.
Gafla unaanguka miguuni pake namna hi...
Halafu hicho kinguo kilivyo chepesi, kinaangaza, ndani hujavaa kitu.
Mchungaji wa watu unamuweka...
Shalom walokole wenzangu na wana JamiiForums wote kwa ujumla.
Sisi walokole wengi tumekuwa kama manyumbu, Nadhani wengi mliona ile video iliyo leak ya baba askofu, ambayo baadae kitengo cha Forensic cha Polisi na UDOM vikatutonya kuwa eti sio video halisi ila fabricated.
Askofu alipiga show...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.