wadada

Nicholas Wadada Wakiro (born 27 July 1994) is a Ugandan professional footballer who plays as a right-back for Azam F.C. of Tanzania and the Uganda national team.

View More On Wikipedia.org
  1. Lady Whistledown

    Rwanda: Mwanamke akabiliwa na kifungo cha Miaka 2 kwa kuvaa nguo za Utupu

    Mwanamke mwenye umri wa miaka 24 ambaye alikamatwa kwa kuvaa mavazi ya "aibu" anakabiliwa na kifungo cha miaka miwili jela kwa kuvaa “uchafu hadharani” Wendesha mashtaka wameomba azuiwe rumande kwa siku 30 Liliane Mugabekazi alikamatwa Agosti 7 baada ya kuhudhuria tamasha la mwanamuziki maarufu...
  2. Poker

    Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

    Hebu wadada wa humu tutongozeni ili tupime misimamo yetu. Shusheni vocal hizo nasisi tuanze kutafuna majani na kung'ata kucha! 🔥
  3. Teko Modise

    Kwanini wadada wengi hawapendi Basketball?

    Ni mchezo mzuri sana ukiujua... ni muda sasa wa kujifunza na kuanza kuucheza.
  4. Mpwayungu Village

    Wadada wengi wanaouza mihogo mibichi mitaani wanatongozeka kirahisi sana

    Mtanisamehe kama kuna mtu dada yake ni mlengwa ila hapa tupo kupeana uzoefu. Iko sawa kabisa siku ukishikwa na ashki naunataka kuosha rungu chap kwa haraka wewe chukua contact za hawa wadada, ukimtext akuletee mihogo ya buku mbili nazi na karanga hamalizi dk 3 keshafka. Muungishe hata ya buku...
  5. N'yadikwa

    PICHA: Wadada mkiwa mnapiga deki muwe makini mnaleta dhahama

    Sasa unapiga deki umevaa kimini umekaa kihasarahasara tu ndo nini kutufanyia hivo watoto wa wenzenu...hafu beki tatu tu.
  6. royal tourtz

    Ni kweli wadada wa kazi wana madhaifu yao ila na maboss muwe na busara

    Leo nimetoka zangu kutafuta mkate wa kila siku maeneo ya kisesa, nikasema nishuke kwa rafiki yangu hapo kanyama huwa namuita kaka kwa jinsi tunavyoishi. Nikamkuta shemeji kama kawaida tukasalimiana na kutaka kujua mtoto na dda wa kazi hali zao maana sikuwaona. Kumbe ndio nawasha moto. Shem...
  7. H

    Msaada wangu umeniponza...

    Habari wanaJF, Katika harakati zozote za binadamu changamoto hazikosekani katika maisha, nimesema hivyo kwasababu kuna mdada mmoja jirani hapa nimefamiana naye kidogo sana. Siku moja akanifuata akaniomba nimsaidie chochote nilichonacho akaniambia yeye anadaiwa kodi na mwenyumba wake na pia hana...
  8. Teko Modise

    Siku hizi Wadada wanaenda kupiga picha na mabegi Airport

    Yaani ukipita huko Instagram ndio utajua matatizo ya ajira pamoja na afya ya akili ni makubwa sana. Wadada wa mjini a.k.a Maslay Queen wameibuka na kamtindo ka kwenda airport na mabegi makubwa kupiga picha na kupost Instagram ili kutafuta attention na aonekane yeye ni wa hadhi ya juu ili...
  9. American Dream

    Mahusiano miaka 10 hata harufu ya engagement ring hamna na Bado upo tu

    Hello Wadau!! Huu ujumbe kwa waleee wanajijua wenyewe nasubiri comments zenu za makasiriko. Yani mpo kwa relationship Toka upo chuo ulivyokuwa na 22 Hadi Leo uko na 32 na eti wamsubiria mtu. Ikifika weekend huyoo kwenda kupika, kufua nguo na kusafisha mazingira ya kwa msela Ili uonekane wife...
  10. H

    Wakwepeni wadada wapiga vizinga

    Habari wanajf Kumekuwa na tatizo kubwa la wadada wengi kupiga vizinga wanaume nakushauri ndugu zangu usikubali hii hali hata kidogo inaweza kuharibu mipango yako maisha maana hapo inakuwa sio mapenzi Tena kwamaana nyingine unageuzwa wewe mwanaume kuwa sponsor. Kuna demu fulani hivi niliwahi...
  11. Teko Modise

    Ila kuna wadada wana makusudi

    Hili pozi la picha linaitwaje sasa?
  12. Aris Saolanica

    Tabia ya Wadada wa mitandaoni kuomba bando imekaaje?

    Wanajamvi habarini za majukumu. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu. Hivi karibuni nilifanya utafiti wangu mdogo na katika utafiti wangu niligundua asimilia 50% au 60% ya Wadada mitandaoni wanauza papuchi. Ingawa baadhi yao ni vigumu kuwagundua kirahisi. Picha zao zimekuwa...
  13. L

    Naomba uzoefu na wadada wanaofanya kazi Benki, wanaona kama maisha wameyapatia

    Kwema ndugu zangu? Nipo kwenye mahusiano na mdada mmoja anafanya kazi bank. Hawa wadada wanaona maisha washayapatia sanaa najiuliza sana nataka kujua kama kuna mtu humu kaoa mdada wa bank wanaishije huko makwao? Wanaolewa kweli hawa wadada?
  14. The only

    Ushauri kwa wadada ambao ni michepuko ya waume za watu

    Kwanza kabisa nianze kwa kuwapongeza kwa huduma ya penzi lenu mwanana hakika mna mahala penu mbinguni. Ushauri niliowaitia hapa ni kuwa dada zangu mnajisahau sana: 1. Unapokuwa mchepuko tambua kuwa wewe ni wa mda mfupi kwa msela, hivyo kaa kijanja ,uwezekano wa mchepuko kuzidi miaka mitano...
  15. luangalila

    Mliowahi ku-date na wadada wa Kiganda njooni hapa

    Kupitia dating site moja popualr sana hapa Afrika mashariki imenikutanisha na mdada mmoja toka kaskazin mwa Uganda toka, mji unaitwa LIRA ila anaishi Kampala coz anafanya kazi hapo Kampala. Dada huyu yupo serious sanaa, ktk mipango yetu ya kuonana face to face ndipo nikaropoka mm ntakuwa wa...
  16. L

    Nioe yupi kati hawa wadada wawili

    Kwema humu... naombeni ushauri nichague yupi kati ya hawa wadada wawili,,,wa kwanza nilikutana nae mwaka 2010 kipindi hicho bado nilikua mdogo but tulianzisha mazoea na yeye mpaka sasa bado tunawasiliana vizuri tu japo tupo mikoa tofauti,,wa pili nimeonana nae mwaka huu mwanzoni kanivutia sanaa...
  17. Mia saba

    Swali kwa wadada, hivi kinachowaliza siku za harusi huwa ni nini?

    Unakuta haamini Kama kaolewa? Anajua anaenda kulala uchi (popo) kila usiku? Anajua msela atabandua papuchi Bila malipo? Au Huwa nimaigizo? Maana nimeshindwa kuelewa machozi yanahusikaje pale
  18. Chizi Maarifa

    Kuna wadada wengine sijui wakoje! Huyu nimeshindwa kuelewa nimfanye nini

    Huyu dada rafiki yangu wa muda toka tukiwa chuo. Jana alipenda tuonane tuweze ongea mawili matatu sababu ilikuwa ni weekend. Nilichukuana naye tukawa sehemu tunapata viburudisho then akaomba tunapoondoka tupitie somewhere nimchukulie kuku wa kuchoma. nikasema haina shida. So we went there...
  19. M

    Nimegundua akaunti za wadada ndio zina fedha nyingi hapa ofisini

    Watanzania wengi hawana utamaduni wa kutunza pesa, Wazungu wanaita saving, imefika wakati Yani mtu akisimama kazi ndani ya wiki mbili anaanza kuomba msaada wakati amefanya kazi kwa muda mrefu sana. Ni vema kila unapopata mshahara basi angalau asilimia 30 kafiche mahali, watumishi wa umma Wana...
  20. Balqior

    Private life ya mzee Mengi: Kumbe alikuwa anahonga wadada wengi wa mjini maelfu ya Dola za Kimarekani

    Nimeona video ya dokii YouTube alipelekwa na mzee Mengi hadi south Afrika kusomeshwa akapewa na u$d 8500 (tshs million 17) ya ada na matumizi achilia $2000(tshs milioni 4) au $4000(tshs milioni 8) zingine alizopewa kabla ya kupewa ada, baada ya kupewa izo hela dokii alisema mzee mengi alimsahau...
Back
Top Bottom