wadau

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    RPC aliyetamani cheo cha IGP huenda kuna kitu kakiona kuwa hakipo sawa

    Wadau wametoa maoni yao juu ya kauli ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera (RPC), Wankyo Nyigesa kumuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumteuwa kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania haliyakuwa (IGP) Simon Sirro bado anaihudumia nafasi hiyo. Baadhi wamesema siyo jambo baya kwa mtu kutamani cheo fulani...
  2. U

    Mfahamu kwa mrembo Roza Georgeyevna Shanina, mdunguaji bora kabisa wa Jeshi la Urusi aliyeua watu 54

    Mfahamu kwa picha Bi Roza Georgeyevna Shanina Mdunguaji Bora Kabisa wa Jeshi la Urusi aliyeua watu 54 Hamjamboni wadau Ni mdada mrembo kabisa kwa muonekano aliyehudumu kwenye kikosi maalumu cha Wadunguaji (Snipers) wa Jeshi la Kisoviet mwaka 1943 Alikuwa ndiye mdunguaji bora kabisa (one of...
  3. Q

    Wadau wapendekeza mambo 12 mabadiliko ya Mfumo wa Uchaguzi na Vyama vya Siasa

    Kwa kifupi; 1. Matokeo ya urais kuruhusiwa kupingwa mahakamani. 2. Mfumo kuruhusu Mgombea binafsi. 3. Kuwepo kigezo cha 50 + 1 kwa mshindi. 4. Kuwe na uwakilishi sawa wa 50/50 kwa jinsia zote. 5. Jeshi la polisi kutoingilia shughuli za vyama vya siasa kabla, wakati na baada ya uchaguzi. 6...
  4. Baraka Mina

    Ikulu, Dar es Salaam: Rais Samia apokea taarifa ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya wadau wa Demokrasia ya Vyama vingi vya Siasa

    Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anapokea taarifa ya kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa leo tarehe...
  5. mwandende

    Steve Nyerere asema bado ni Msemaji wa Shirikisho la Wanamuziki Nchini, hajaondelewa na hajajiuzulu

    Michango ya misiba/Mambo mbali mbali yanayohusu wasanii. Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
  6. F

    Nipeni ushauri wadau

    Wakuu, Leo ni Ijumaa? Kama kawa nimetoka..nipo na Pic kali nakumbukia ujana. Kama kawaida yangu napiga bia zangu za buku sh tano...ila pic I napiga savana. Pic ishakunywa kama savana 4 afu tushapata mbuz choma yaani mambo ni fresh...ila muda huu kuna savana mbili zimekuja mezani..sijajua...
  7. John Haramba

    SIKU YA WANAWAKE: Wapaza sauti, uongozi, ukatili kingono kwa wanawake

    Wakati wanawake wakiadhimisha siku yao leo, wadau wamesema rushwa ya ngono ni tatizo linalotafuna ndani kwa ndani, huku wakitaka wanawake zaidi kuongoza katika sekta mbalimbali nchini. Baadhi ya wadau hao ni Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA) na Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini...
  8. M

    Asilimia 90 ya Wanaume niliokuwa nao kimapenzi waliniomba hela

    Kweeema? Sijui shida itakuwa nini Mimi siyo tajiri nina maisha yangu ya kawaida but uongo dhambi ninajipenda, nanajua kupendeza ata kama nguo ni ya bei ndogo, ninajua kupangilia, inshort ninajipenda. Sina tabia ya kuomba pesa kwa mwanaume nae date nae, lakin asilimia 90 ya wakaka nilio date...
  9. Gotze Giyani

    Kwanini wasomi wengi ni masikini tena waliopo sekta za umma

    Wadau habari za mida naomba mchango wenu wa mawazo kwanini wafanyakazi wengi wa umma ni masikini unakuta mtuu ana bachelors degree ila unakuta anaishia kumiliki nyumba na gari moja tuu ambapo ukiangalia ni vitu vya kawaida sana yani hata hakuna maajabu wanauofanya kama wenzetu ukichukulia...
  10. Kamanda Asiyechoka

    Wadau tupunguze bajeti ya pombe, tusaidie ndugu na majirani wasio na uwezo. Hali mtaani ni ngumu sana

    Hali imekuwa ngumu sana maana maisha yamekuwa tight. Utakuta jirani yako au ndugu yako hana chakula, mavazi hata watoto wake hawana mahitaji ya shule. Lakini unakwenda baa unazungusha round za kibabe. Mbaya zaidi inakuwa kila siku. Kwa hiyo kama kwa wiki unatumia laki kwenye pombe basi...
  11. The Sheriff

    Serikali, wadau waombwa kuwasaidia wanaohudumia watoto wenye kiharusi na kupooza

    Mkurugenzi wa Sadeline Health Care, Bi Sara Kitainda akizungumza katika Mchana wa Tabasamu, leo Februari 26, 2022. Serikali na wadau wameombwa kuwawezesha na mitaji ya kibiashara akina mama na walezi wenye watoto wenye kiharusi na waliopooza kwani hutumia muda mwingi kuwahudumia watoto hao na...
  12. M

    Hivi Urusi na Ukraine zipo bara moja?

    Nisaidieni wadau sijawa mzuri sana kwenye jiografia ukweli ni kwamba sina majibu juu ya hayo mataifa mawili kwamba yapo bara moja au mabara tofauti?
  13. K

    Wadau wa Kigoma tupeane mrejesho. Twatarajia kuja huko.

    Eee batama, mwakeye mwalaye? Vipi mambo ya batabata kumekuchaaa? Kibirizi, Airport, Stand mpya, Manyovu, Kazura mimba, Mwandiga, Bagwe, mulakomeye mwesaaa!!!? Ebu tupeane updates bana, Nina jamaa zangu hawajawahi kufika huko!
  14. JanguKamaJangu

    Hili la Mugalu kutolipwa fedha zake za tuzo lina ukweli gani wadau? Bodi ya Ligi ina cha kujibu

    Asubuhi ya leo nimeamka na taarifa niliyoikuta mitandaoni kuwa Bodi ya Ligi inayosimamia Ligi Kuu kwamba haijamlipa mshambuliaji wa Simba, Chriss Mugalu fedha zake za Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi wa Ligi Kuu. Nimejaribu kupekenyua sijajua hasa ni ipi inayozungumzia lakini niliyoiona labda ni...
  15. Tony254

    Wadau, tuweke vita kando kidogo tusherehekee habari njema kwamba Biashara kati ya Kenya na Tanzania inakaribia kufika 1 billion dollars

    Wadau huwa tunapigana vita sana huku lakini ukweli usemwe kwamba nchi hizi mbili zikiweka vita kando tunaweza kufanya biashara nzuri sana. Baada ya miezi 11, biashara kati ya Kenya na Tanzania imefikia 905 million dollars na hapo ikumbukwe kuna mwezi moja bado haujahesabiwa. Rais wenu yule...
  16. M

    Ushauri wa haraka na Dharura wadau

    Mimi ni kijana na hadi leo nimetazama nakala ya Cheti changu cha kuzaliwa nitatimiza miaka 31 mapema mwezi March lakini jambo la kushangaza mipango yangu inazunguka nainuka kwa muda kisha narudi tena kuanza moja maisha yangu hayaendi mbele. Ipo hivi. Nilihitimu Chuo cha Mafunzo ya ualimu kwa...
  17. John Haramba

    Presha yawa kubwa kwa Luis Miquissone, benchi lamtesa, Simba watajwa, wadau Al Ahly waja juu

    Vigogo wa Afrika, Al Ahly wamepoteza mchezo wa nusu fainali ya Klabu Bingwa Dunia kwa kufungwa mabao 2-0 na Palmeiras ya Brazil, usiku wa kuamkia leo. Kwa maana hiyo AL Ahly sasa wanasubiri kucheza mechi ya kutafuta mshindi wa tatu dhidi ya Al Hilal ya Saudi Arabia au Chelsea ya England ambazo...
  18. T

    Wadau wa Sporty Hero naomba tujuane!

    Hivi unawezaje kuvumilia odds zinapopanda ghafla bila ya ku-cashout? Binafsi nawapongeza sana jamaa wanaoweza kuvumilia odds zinapopanda kufika mpaka 10 with in a second bila ya kucashout aiseee. Unaweza ukazimia kwa presha.
  19. data

    Mwalimu auawa kikatili tena Dodoma wadau, hii inaogopesha

    Mwenye ripoti kamili ndugu zangu. Tuna shida. Tunahitaji uponyaji. Hii inaogopesha.
  20. w0rM

    Mabadiliko ya Sheria mbalimbali kufanyika Bungeni: Wananchi waalikwa kutoa maoni yao (Pitia mabadiliko hapa)

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria inawaalika wadau kutoa maoni ya wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 7 wa Mwaka 2021 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No. 7) Act, 2021. Mkutano wa kupokea na kusikiliza maoni ya wadau (Public Hearing)...
Back
Top Bottom