wadau

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    TBS yatoa mafunzo ya sumukuvu kwa wadau wa mazao ya mahindi na karanga wilayani Kiteto

    TBS yatoa mafunzo ya sumukuvu kwa wadau wa mazao ya mahindi na karanga wilayani Kiteto Na Mwandishi Wetu Serikali kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS) imeanza rasmi kutoa mafunzo kupitia Mradi wa Kitaifa wa Kudhibiti Sumukuvu "Tanzania Initiative for Preventing Aflatoxin Contamination -...
  2. kagombe

    Habari wadau wenzangu

    Wakuu nina shida na kioo cha tecno phantom 5 ila kiwe na bodi lote maana hii nilioletewa imevunjika vunjika mwenye nayo tuyajenge
  3. Analogia Malenga

    Zanzibar yatafuta maoni ya wadau kuhusu cryptocurrency

    Waziri wa Nchi, Uchumi na Uwekezaji wa Zanzibar, Mudrick Soraga amesema watakutana na wadau wa fedha za mtandao ili kupata maoni kuhusu fedha hizo Watakutana na wadau katika wiki ya tatu ya mwezi huu, ili kujua kama kuna haja ya kutumia cryptocurrency kwenye miamala Rais wa Tanzania, Samia...
  4. Frumence M Kyauke

    Oya niaje wadau?

    Oya niaje mme hamukaje humu? Nafurahia kuwa shobo wa Jamii Forums Unaweza kuniita FMKyauke mkali wa uzi motomoto
  5. J

    TBS: Warsha ya Wadau wa vipuri na karakana za kuunda na kutengeneza magari

    TBS: WARSHA YA WADAU WA VIPURI NA KARAKANA ZA KUUNDA NA KUTENGENEZA MAGARI Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Dkt. Athuman Y. Ngenya amefungua warsha kwa wadau wa Vipuri vya Magari na wamiliki wa karakana za kuunda na kutengeneza Magari. Warsha hiyo inafanyika hii leo Tarehe 4...
  6. M

    Ushauri kwa wadau na wasimamizi wa procurement & logistics

    Nimefanya utafiti nikagundua njia moja nzuri sana ya kupatia "value for money". Hatua zifuatazo zifuatwe: 1. Ichaguliwe taasisisi inayoaminika, mfano TAKUKURU 2. Izungukie taasisi zote na kupatia mahitaji Yao yote yanayohusika na manunuzi kwa mwaka mzima. 2. Itangaze Zabuni, na kufanya...
  7. J

    DC Muro: Wadau kuwekeza kwenye kilimo cha alizeti Ikungi

    WADAU KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA ALIZETI IKUNGI Serikali ya wilaya ya Ikungi imefanikiwa kuwaunganisha wadau wenye nia ya kuwekeza kwenye kilimo cha alizeti na taasisi za kifedha ikiwemo benki ya Maendeleo ya kilimo Hatua hiyo imekuja baada ya kumalizika kwa kikao maalum cha majadiliano ya...
Back
Top Bottom