wadudu

  1. Niache Nteseke

    Hivi Virusi vya UKIMWI vinaonesha Idadi ya wadudu waliopo mwilini?

    Habari zenu wakuu. Natumai mnaendelea vyema kabisa. Well, swali langu ni kutaka kufahamu mtu anapoenda kupima Virusi vya UKIMWI, huwa vinaonesha Idadi ya wadudu waliopo ndani ya mwili wakuu? Na je, Idadi hiyo ikiwa kiasi gani ndio huwa na madhara zaidi kwa mwili na katika kupungua Idadi ya...
  2. Suley2019

    Yajue mambo muhimu ya kufanywa pindi unapoumwa au kung'atwa na wadudu au viumbe wengine wenye sumu

    Salaam Wakuu, kama mnavyojua kama binadaamu tuwapo hai basi kuna uwezekano wa kupata ajali au tatizo lolote muda wowote. Baadhi ya matatizo yanaweza kutupata kwa kutarajia na mengine yanaweza kutupata kwa bahati mbaya. Miongoni mwa ajali za kawaida tunazoweza kukutana nazo katika mazingira yetu...
  3. Timtim

    Fahamu mambo mbalimbali kuhusu Kilimo cha Korosho

    Naomba niwasilishe kutaka kuelezwa zaidi juu ya kilimo cha Korosho kwa Mkoa wa Pwani. Naomba mwenye kuelewa atufahamishe mimi na wengine gharama toka awali za kupanda mikorosho katika shamba la ekari 20. Gharama na takwimu hadi kuvuna na kiasi cha mavuno kwa mwaka. Natanguliza shukrani zangu...
  4. T

    Wapi napata ile mifuko maalumu ya kuhifadhia mahindi inayozuia yasibunguliwe na wadudu?

    Hello, Natafuta mifuko/magunia maalumu ya kuhifadhia mahindi. Hiyo mifuko imekuwa maarufu kwa madai kuwa ina uwezo wa kuhifadhi mahindi na kuyazuia kubanguliwa na wadudu. Kama unafahamu naipata wapi Dar, nipe taarifa. Nataka nishuke nayo kijijini mara moja. tf.
  5. X

    Huduma ya fumigation

    Kwa yeyoteanaesumbuliwa na wadudu mbali mbali tuwasiliane kupitia +255758899901. au tembelea tovuti yetu ya Xfrey kufanya booking ya huduma kutoka kwetu.
Back
Top Bottom