wajinga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Ni wajinga tu wanaomuhusisha Chama na Yanga, tabia yake kipindi cha usajili inajulikana

    Hizi porojo tulishazizoea, mchezaji ana mkataba na timu yake wa mwaka mmoja alafu wajinga wajinga wanatembea na upepo kuihusisha yanga na mchezaji husika. Ni lini vilabu hivi vikauziana wachezaji wenye mikataba? Uyo chama keshazoea kufanya icho anachokifanya uwa anapenda kucheza na fursa pindi...
  2. UMUGHAKA

    Kuongezeka kwa watu wajinga katika taifa ni matokeo ya kuzaa na mwanamke/mwanaume mjinga

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!. Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako. Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi...
  3. Carlos The Jackal

    Wakili Msomi Pascal Mayalla, umemsikia Prof. Shivji? Bado unatuita watanzania Wajinga?

    Pengine Prof. Tibaijuka unaona labda anazeeka haraka, Pengine Lissu unamuita Mwanaharakati, Pengine Mbowe unamuona asiye na taaluma ya Sheria na wewe tu ndio mwanasheria, pengine Akina Dr Nshala, Akina TEC na Watanzania hawa mtaani ambao sass wanaamini Nchi imeuzwa, wanahoji kwanini Mkataba...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Wajinga ndio wanadhani utawala wa Putin utaanguka

    Kwema Wakuu! Bado natafakari wanaodhani kuwa kinachoendelea Huko Urusi ati kitaangusha utawala wa Putin. Kwa kweli Akili zao hawazitumii vizuri. Na macho Yao nafikiri hayaoni wala kujua Dunia inaendeshwaje. Hivi kama Urusi imechukua miaka miwili kutaka kuangusha utawala wa Comedian Zelensky...
  5. B

    Je, ni kweli Tanzania ni nchi ya wajinga?!

    Tanzania kwa siku za hivi karibuni imedhihirisha kile ambacho Naibu waziri wa Afya Dk. Mollel aliwahi kusema; kwamba Tanzania wajinga ni wengi. Kwa bahati mbaya sana hata viongozi wakubwa na wasaidizi wa Rais, nachelea kusema kwamba na wao wamejidhihirisha kwamba ni wajinga. Hii pamoja na mambo...
  6. kavulata

    Vita ya Ukraine imetuonyesha kuwa hata Wazungu ni wajinga sana

    Kimsingi waafrika walikuwa wanawaona Wazungu kama watu wenye akili nyingi ma matajiri sana kuliko wao, lakini vita ya Ukraine imekanusha ujinga huu wa fikra hizi za inferiority/udhaifu dhidi ya Wazungu. Mpango wa Uingereza kujitoa kwenye umoja wa Ulaya ulipangwa na Marekani kupitia Uingereza...
  7. chichiboy1

    Mwanamke Mashuhuri Afutwa Katika Historia na Wajinga

    Uuzaaji wa siroli (syrup) ulikuwa heshima kwa zawadi na vipaji vya mwanamke huyu. Sasa vizazi vijavyo hawatamtambua mwanamke huyu mzuri aliyekuwepo. Ni aibu. Dunia ilimfahamu kama "Bibi Jemima," lakini jina lake halisi lilikuwa Nancy Green na alikuwa kielelezo cha mafanikio ya kweli ya...
  8. F

    Nyie Wabunge wetu Hayati Dr.Magufuli aliwahi kusema Watanzania si Wajinga! Tumepigwa na Mwarabu!

    Ebu tuelezeni kwa nini uwekezaji au ubinafsishaji wa DP World kupitia Serikali ya Dubai uwekewe fensi kupitia Azimio la Bunge!? Ikitokea Watanzania haturidhiki na kazi za DP World, je Bunge litakaa tena kuondoa Azimio la Bunge kuridhia makubaliano haya! Wabunge mmekazana huu si mkataba wa kazi...
  9. Dr Matola PhD

    Ni kitu gani kimebadilika katika elimu Tanzania? Tukiendelea kuwaacha wajinga watuongoze watu wenye akili ni hatari

    Labda niulize sisi tuliosoma miaka ya nyuma na sasa kuna kitu gani kimebadirika? Tulisoma bila kuwa na vitabu, hatukujuwa sylubus yoyote, Primary tuliwahi namba SAA 12 asubuhi na SAA 8 mchana ni mwisho wa masomo na kurudi nyumbani na wengi hatukusoma masomo ya ziada tuition lakini kulikuwa na...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Kuwaibia Wajinga ni rahisi na inafurahisha sana

    Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri;(Itikieni: Kazi iendelee). Wizi sio mzuri lakini kuna Watu watanicheka na kusema huyu anaongea nini. Anyway! Inategemea na Aina ya wizi, hapo vipi? Lakini Mimi ninajua wizi ni wizi tuu! Mmmh! Hapana wizi hauwezi kuwa wizi tuu! Upo wizi mzuri na upo wizi Mbaya...
  11. Makonde plateu

    Hivi lini hii dunia wajinga wataisha? Hivi msomi nae anaweza kuwa na vivyo hivyo ukawa mjinga! Dada Betty ujinga umekufanya upoteze maisha

    MAREHEMU BETTY AJENTA CHARLES: Hadithi ya Betty Ajenta Charles (pichani), inasikitisha. Mwili wake umefukuliwa baada ya kufunga mpaka kufa katika sakata linaloendelea nchini Kenya la Mchungaji Paul Mackenzie ambaye anawafungisha Wakenya hadi umauti ("Fasting to Death") ili wafike Mbinguni...
  12. K

    Wabunge wanaotaka kuangaliwa Ushoga watambue hakuna vifaa Maalum vya Uchunguzi

    Kama kweli hawa wabunge wanataka wabunge wote waangaliwe ushoga basi waite Daktari na wajue hakuna vifaa maalumu vya kuangalia. Madaktari wanatumia kidole cha katikati na kuvaa gloves kupima misuli hiyo. Tunawatakia afya njema na tuanze kujadili ripoti ya CAG na sio wapenda vidole na wabunge...
  13. Lycaon pictus

    Wabongo wengi ni wajinga kiasi kwamba hata sikukuu yao hawajui namna ya kuisherekea

    Nakumbuka miaka ya 90 mwishoni kuliandikwa habari kwenye magazeti kadhaa kuwa mlima Meru unaongezwa urefu. Kulikuwa na picha za Helkopta kuwa zitabeba mchanga kupeleka juu mlimani. Picha nyingine ilimuonyesha mtu ameshika sururu eti ni mtaalamu wa kuongeza milima urefu. Iliandikwa kwa namna ya...
  14. BICHWA KOMWE -

    Watanzania ni wajinga wanastahili kuibiwa

    Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi. Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha. Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea...
  15. wilsonwizzo3

    Jinsi siasa inavyowafaidisha wachache, wengi wakitumikishwa

    Ndio, wachache wanafaidika na siasa ya Tanzania na wengi wakiitumikia kwa hasara, nayasema haya baada ya kujua wenzangu wanatajirika kupitia siasa bila jasho kumbe watu mnalipwa kupitiaha agenda za wanasiasa na hamsemi? Ndio, watu manazoa malaki kwa mamilioni ili kupromo agenda za kisiasa...
  16. Tajiri wa kusini

    Usioe hawa wajinga wanaojiita feminist ni hovyo kabisa

    Hivi kuna Mwanamume mwenye akili timamu yaani kichwa cha Familia ana mke wa aina hii? Ok mtakumbuka wiki kadhaa nilieleza mambo yanayochangia ndoa nyingi kuvunjika... Mfano halisi ni aina ya wanawake kama huyu katika video. Vijana msikurupuke kuoa mwanamke kwakuangalia makalio na mwisho wa...
  17. Issakson makanga

    Tanzania ndio nchi ambayo wajinga wamepata fursa ya kuongoza werevu kwa kuwa wana 'connection'

    Ukweli utatuweka huru na kutuvusha, ukibisha na ubishe, hukatazwi. Kiuhalisia hii nchi ina mfumo mbovu na umeoza wa kupata vyeo na madaraka, yaani inakera. Huhitaji hata degree wala PhD ili ujue ili mradi uwe na connection inatosha. Hivi umejiuliza ili uwe Mkuu wa Wilaya au Mkoa inapaswa uwe...
  18. M

    Ufisadi uliotamalaki tangia aingie madarakani

    ~ Tozo kandamizi. ~ Ufisadi uliotamalaki tangia aingie madarakani. ~ Maisha kupanda bei, leo hii kula mlo mara mbili ni anasa. Maana maharage tu ni Tsh. 3,000. ~ Kufutia mafisadi makosa huku wasio na urafiki nae wakisota gerezani ~ Ndege za waarabu kushusha makontena hifadhi za taifa.
  19. Mwamuzi wa Tanzania

    Kuna vijana wajinga sana katika hii nchi

    Habari! Mimi ni mwajiriwa katika ofisi moja ya umma. Sasa hapa kazini kuna watumishi wa kudumu, wa mkataba wa muda mfupi na wanafunzi waliokuja kufanya field na wengine wamezamia mazima wakisubiri huruma za boss huenda atawaajiri. Yes. Wapo walioanza kama wanafunzi mpaka wakaajiriwa kwa...
  20. Da'Vinci

    Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

    I hope y'all are doing just fine, It has been long time since I was here[JF Inteligence] Kuna mtu alileta mada humu akiuliza kwamba picha inayotumiwa na wakristo hasa wakatoliki ya mtu mmoja mzungu kua “ndie” yesu, je hiyo picha ni ya Yesu kweli? Akaongeza kwa kusema kwamba wakati yesu akiwepo...
Back
Top Bottom