wakazi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Wananchi Geita wajitokeza kumpokea Rais Samia kwa wingi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akisalimiana na wananchi waliojikusanya barabarani wakati wa ziara yake Mkoani Geita. Wananchi wa mkoa wa Geita wamejitokeza kumpokea Rais Samia Suluhu kwa wingi hii inathibitisha kua watu wananchi wanakubali kazi kubwa ya Rais Samia Suluhu. Rais Samia...
  2. N

    Wakazi wa Kigoma wainuliwa kiuchumi

    Rais Samia Suluhu anaelekea kufanya ziara ya siku 3 mkoa wa Kigoma kwaajili ya kukagua shughuri mbali mbali za maendeleo. Sasa tuangalie maendeleo mbalimbali yaliyopelekwa na serikali katika mkoa wa Kigoma 1. Tanzania ina vituo 17 vya uwezeshaji wananchi kiuchumi, 6 vipo mkoani Kigoma. Mwaka...
  3. B

    Internship bila malipo kwa wakazi wa Arusha wilaya meru

    Wana jamvi, aliye somea COMMUNITY DEVELOPMENT (Maendeleo ya Jamii), HUMAN RESOURCES MANAGEMENT, mnakaribishwa kuomba Internship kwa wale mnaotaka kujifunza kazi hapa ndio pahala penu. Internship haina incentives au malipo yoyote ni kazi ya kujitolea kwa wanaotaka kujifunza kazi. tumeni c.v...
  4. JanguKamaJangu

    Wakazi wa Mara wataka majambazi washughulikiwe kimila

    Wakazi wa Kijiji cha Nyamakobiti, Kata ya Majimoto, mkoani Mara, wametaka warejeshewe madaraka ya kutumia mila na desturi zao katika kushughulikia wahalifu sugu, wakiwamo majambazi, ikiwa polisi watatishwa na maneno ya wanasiasa. Hayo yameelezwa kupitia mkutano wa hadhara, ulioandaliwa na...
  5. APPROXIMATELY

    Naomba kujuzwa bei ya chumba na fremu Morogoro Mjini na maeneo mengine nje ya mji

    Naomba kujua bei za frem na chumba kwa morogoro, na maeneo yote ya moro,sehemu palipo chagamka. Sehemu ambapo unaweza kufanya bishara ya library ya movies,biashara ya nguo,gesi,n.k Natanguliza shukrani👏👏👏
  6. Lady Whistledown

    Wakazi wa Dar watadharishwa kukosa huduma ya Maji Septemba 23

    TAARIFA KWA UMMA KUZIMWA KWA MTAMBO WA UZALISHAJI MAJI RUVU CHINI 20.9.2022 Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia Wateja na wananchi wanaohudumiwa na mtambo wa kuzalisha maji Ruvu Chini kuwa Mtambo utazimwa siku ya ijumaa tarehe 23/9/2022 kuanzia...
  7. Idugunde

    Tungekuwa na Waziri wa Mambo ya Ndani kama marehemu Lyatonga Mrema wakazi wa Dar wasingesumbuliwa na wahalifu kama panya road

    Alipokuwa waziri wa mambo ya ndani alitumia mbinu za kishushu kupambana na uhalifu wa kila namna. Alikuwa akitoa siku saba majambazi kusalimisha silaha na walisalimisha. Kura za siri zilitumika kufichua uhalifu wa wahalifu wa kila namna. Nashangaa huyu waziri wa sasa anaongea kama vile...
  8. Pfizer

    Wakazi wa Dar kufaidi TAWA-Weekend bash ya kula Nyama Pori zilizochomwa

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) Meja. Gen. (Mstaafu) Hamis Semfuko, ameyasema hayo Mkoani Dar Es Salaam 10 Septemba 2022 alipokuwa aliongea na Wanahabari kwenye hifadhi ya pori la akiba la Pande (Pande game reserve). Amesema Wakazi wa...
  9. Nyankurungu2020

    Huku tozo kibao wakiwekewa wananchi. Wakazi wa Liwale wanunua ndoo ya maji sh 1000/-

    Hizi tozo zinatusaidia nini sasa? Tunakamuliwa na bado hata maji hatupati --- Mamlaka ya Maji safi na mazingira Wilaya ya Liwale, Mkoani Lindi (LIWASA) imeombwa kuzalisha kwa wingi huduma ya maji kwa lengo la kuwatatulia wananchi kero za upatikanaji wa huduma hiyo kwa jamii. Ombi hilo...
  10. BARD AI

    Wakazi Kimara, Mbezi ‘walia’ kutohesabiwa sensa

    Zikiwa zimesalia siku chache kuhitimishwa kwa sensa ya watu na makazi ilioanza Agosti 23, 2022, wakazi wa baadhi ya mitaa iliyopo Kimara na Mbezi katika Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wamedai kutohesabiwa hadi sasa. Hali hiyo imewafanya baadhi yao kudai kukata tamaa ya kushiriki katika...
  11. Sildenafil Citrate

    Gwajima, tekeleza ahadi yako kwa wakazi wa Basihaya

    Ukiamua kutaja maeneo ya jiji la Dar es salaam yanayo athirika na mvua za kila mwaka huwezi kusahau kutaja eneo la Basihaya linalopatikana jimbo la Kawe. Basihaya ni miongoni mwa maeneo yanayojaa maji kila mwaka pindi msimu wa mvua unapofika. Barabara (Bagamoyo road) hufunikwa kabisa, maji na...
  12. Natafuta Ajira

    Ni fursa zipi zipo Iringa Mjini?

    Matumaini yangu u mzima wa afya.. mimi ni kijana wa kiume kwa sasa naishi Iringa mjini, Kihesa ila bado sio mwenyeji sana wa hapa. Dhumuni la andiko langu ni kuwaomba wakazi na wenyeji wa Iringa mjini kunisaidia kujua fursa yoyote inayopatikana hapa Iringa mjini itakayoniwezesha angalao mkono...
  13. dubu

    Dar: Wakazi wa Nyumba za NSSF Kigamboni, watolewa kwa Mabavu

    Salaam Wakuu, Wakazi 23 wa NSSF wametolewa vyombo vyao nje Mtaa changanyikeni kata ya Toangoma. Inasemekana hakuna removal order na kuna kesi mahakamani Watu wameharibiwa vitu vyao na wengine kuumizwa. Zoezi limefanywa na YONO Auction Mart Je, itaratibu upoje kama kesi ipo mahakamani?
  14. M

    Wakazi wa mkoa wa Kagera ni washirikina sana tofauti na tunavyowachukulia

    Huu mkoa hauna tofauti na mikoa mingine maarufu kwa mambo ya kishirikina. Tofauti na watu wanavyodhani, ukienda Bukoba vijijini kuna vilinge vya Mshana JR. Matambiko, mila potofu, taboo, mizimu(enchweke)ndio kwao. Ukienda Karagwe, Kyerya usiseme, Ngara nao wako vizuri kwa ndumba mpaka walikuwa...
  15. JanguKamaJangu

    #COVID19 Wakazi wa Shanghai (China) wahofia lockdown baada ya Covid kurejea kwa kasi

    Mamilioni ya wakazi wa Shanghai Nchini China wamefanyiwa vipimo vya UVIKO-19 kutokana na kusambaa kwa Virusi vya Omicron na ikiwa maambukizi yatakuwa mengi kuna uwezekano wa kutolewa amri ya kutotoka nje bila sababu za msingi. Mkakati wa China ni kuhakikisha hakuna maambukizi kabisa, baadhi ya...
  16. CONTROLA

    Wakazi wa DAR wenye uhitaji wa Internet katika kazi zenu kuanzia Ofisini mpaka Nyumbani, suluhisho hili hapa

    Najua watu wengi sana hutumia internet katika mishe za hapa na pale,binafsi ni wale watu wanaoishi mjini kwa kutegemea internet kwa sana, pamoja na mengine ninayofanya ila nina mengi makubwa nayafanya kupitia internet. Nimeshatumia internet mbali mbali za makampuni makubwa na madogo, na baadhi...
  17. M

    Wakazi wa Mbezi wanaumia sana wakikumbuka ahadi ya Hayati Magufuli

    Siku Hayati John Pombe Joseph Magufuli anazindua Stand kuu ya Mabasi iliyopo Mbezi Louis katika mambo aliyowaahidi wakazi wa Mbezi na Kibamba ni pamoja na Kujenga barabara za Mpiji na Makabe kwa kiwango cha lami. Siku hiyo aliongea kwa kumaanisha kuwa utekelezaji wake ungeanza mapema tu...
  18. Lady Whistledown

    Wakazi wa Kagera walalamikia ongezeko la nauli za MV Victoria

    Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Kagera, wamelalamikia ongezeko la Tsh. 2445 hadi Tsh. 10,000 la nauli za Meli ya New MV. Victoria kuanzia leo Julai 4 kwa mujibu wa mwongozo wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) Inaelezwa kuwa nauli za daraja uchumi iliyokuwa TSh.16, 000 kwa mtu mzima imekuwa...
  19. Nyuki Mdogo

    60% ya wakazi wa Dar ni wezi, hawana kazi za kueleweka na wazururaji

    Na huo ndio ukweli. 60% Ya watu wanaoishi Dar (watu wazima tu ukitoa watoto) Hawana kazi za kueleweka, kazi za kuwaweka busy masaa 10 kwa siku, ndio maana tukio likitokea mtaani ghafla unakuta watu wanajaa ghafla wengi sana na wanakaa hata saa nzima wakishangaa na kupiga umbea Hayo hayo...
  20. Monica Mgeni

    Tazama shangwe la Wakazi wa Handeni baada ya kupokea wageni

    Wakazi wa Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga wameonesha kufurahia ujio wa wageni waliohamiawilayani humo kutokea Ngorongoro. Pamoja na kutaja faida kadhaa wameeleza pia kuwa, ujio wao umeanza kukuza Mnada wa Nderema kwamba utakuwa ni moja ya mnada kubwa Afrika Mashariki. Tayari Serikali imeanza...
Back
Top Bottom