Aidha, Sh.74,084,700 za wakulima wa pamba waliokuwa wamedhulumiwa malipo yao na Vyama vya Ushirika vya Msingi (Amcos) katika wilaya za Magu na Sengerema, zimerejeshwa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini hapa, Mkuu wa Takukuru mkoa wa Mwanza, Emmnuel Stenga, alisema Sh. milioni...