Machi 18, 2024, shauri la Rushwa na Uhujumu Uchumi Na. 7060/2024, lilifunguliwa mbele ya Mhe. Atupye Benson Fungo ambaye ni Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Mbogwe dhidi ya:-
1. Ambakisye Amani Mfwango ambaye ni Mwalimu Mkuu;
2. Beatrice David Musiba ambaye ni Mwalimu wa Kawaida wote wa...