Wanajeshi wawili wastaafu wa Marekan ambao walikuwa Nchini Ukraine wakipigana vita dhidi ya Urusi hawajulikani walipo na inahofiwa wametekwa na wanajeshi wa Urusi.
Alexander Drueke, 39, na Andy Huynh, 27 mara ya mwisho walionekana katika Mji wa Kharkiv, Juni 8, 2022. Familia za wahusika hao...