Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amewaonya wanafunzi walioko shuleni, vyuoni na taasisi nyingine za elimu kuacha na kutojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya, kwani kushiriki katika matumizi ya dawa hizo itasababisha nchi kupoteza nguvu kazi ambayo inategemewa katika...
Serikali tunaomba itusaidie MUHAS!
Sisi wanafunzi wa shahada ya kwanza ya sayansi ya tiba kwa njia ya vitendo hapa MUHAS tunaomba serikali au wizara husika iajiri wakufunzi wa kutufundisha maana idara yetu haina wakufunzi walioajiriwa na wanaotufundisha wanajitolea kutoka Hospitali ya Taifa...
Anonymous
Thread
kwanza
muhas
njia
sayansi
serikali
shahada
tiba
vitendo
wanafunzi
wizara
Katika zama hizi za kidijitali, inakuwaje mwanafunzi anakatazwa kumiliki na kutumia simu shuleni?
Simu imebeba maarifa yote ya dunia, ambayo mwanafunzi anapaswa kujifunza na kuyafahamu, lkn anakatazwa.
Nini kinaogopwa, 0 kwa gharama ya kuwanyima wanafunzi kupata maarifa?
"Tunaomba mtusaidie kunusuru maisha ya watoto wetu hii shule ni kama imegeuzwa Kambi ya mateso kwa watoto wetu".
Hii ni kauli ya mmoja wa wazazi wenye watoto katika shule ya sekondari Wali iliyopo wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro.
Shule hiyo inamilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha...
Just imagine hii ni karatasi ya mtihani wa "MOCK" uliofanyika mwaka huu mwezi May tu hapo, ila hata kabla ya wanafunzi hawajapewa "Marking Scheme" tayari answer sheet yake imeshafika Dar kutoka Mwanza.
Na mtihani wa Mock ni mtihani wa 2 wa uzito baada ya mtihani wa taifa. Binafsi siku...
Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A
Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.
Kwahyo kwenye qualifications za...
Hii hospitali kama serikali na uongozi hautachukua hatua za haraka watanzania wengi wataendelea kufa kwa uzembe wa madaktari wanafunzi ambao hawasimamiwi ipasavyo na wakuu wao kazi.
Nimeshuhudia mgonjwa wangu akiambiwa hana tatizo lolote la nyonga baada ya kumpeleka akiwa amepata ajali na...
KUKANUSHA TAARIFA YA KUKAMATWA KWA MWANDISHI DICKSON NG'HILY NA MKUU WA WILAYA YA UBUNGO
Kumekuwa na taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu Mkuu wa Wilaya ya Ubungo kumkamata mwandishi wa habari ambaye pia ni Mhariri wa biashara na Mkuu wa Kitengo cha Mtandaoni (digital) Ndugu...
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kudai kuwa kuna Wanafunzi wa Chuo cha DUCE (Dar es Salaam University College of Education) wamekuwa wakizungushwa kupata malipo yao ya “refund”, kwa kile alichoeleza kuwa Idara ya Fedha ya DUCE inawasumbua, ufafanuzi umetolewa na Chuo husika.
Mwanachama...
MANYARA TAYARI KUPOKEA WANAFUNZI KUTOKA PANDE ZOTE ZA NCHI
Nimewaelekeza viongozi husika kuzingatia utoaji wa huduma katika sekta hii ya elimu kwa kuzingatia ubora, maadili, taratibu, miongozo na sheria hasa katika shule hii mpya ya wasichana ya Mkoa Manyara.
"wazazi wote ambao watoto wenu...
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na darasa la 7 kusoma na kujiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya kitaifa baadae mwaka huu. Lakini imekuwa ni kawaida kwa shule za binafsi kukiuka utaratibu wa mapumziko(likizo)pindi shule zinapofungwa kwa kulazimisha wanafunzi kupumzika Kwa wiki moja...
Kuna kero ya mfumo wa Gesi kuvuja katika eneo la darajani Ubungo Interchange (Fly-over) ambapo mkondo wa bomba la gesi umepita imekuwa kero kwa wanafunzi hasa wa Chuo cha Maji na wafanyabiashara wa maeneo ya karibu.
Tunaomba Serikali ifanye uchunguzi juu ya suala hili
Anonymous
Thread
chuo
chuo cha maji
gesi
kero
maji
mfumo
ubungo
ubungo interchange
wanafunzi
Miaka ya huko nyuma kidogo watafiti mlituletea viazi karoti au viazi lishe, viazi hivi vilikuwa vya njano ndani na mlituambia vina ubora mkubwa kwenye lishe kuliko vilivyopo vya asili.
Lakini havikuchukua muda vikatoweka kwenye soko, baada ya kutoweka sijasikia mkijaribu kuvifufua, sijui sababu...
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba ameyasema hayo leo Juni 10, 2024 Bungeni
Pia soma:
~ Bodi ya Mikopo kuchelewesha fedha za kujikimu (Boom) kwa wanafunzi
~ Wanafunzi 150+ wa Chuo cha IFM hawajalipwa fedha zao za Boom kutoka Bodi ya Mkopo na uongozi upo kimya
~ Hali ni mbaya kwa wanafunzi UDSM...
Miaka ya nyuma, yaani 1995 na kurudi nyuma, elimu ya vyuo vya kati na vyuo vikuu vya serikali, iligharamiwa na serikali kwa asilimia 100. Miaka ya 1990, kufuatia utekelezaji wa mageuzi ya kiuchumi (“Structural Adjustment Programme”), mpango uliofadhiliwa na Benki ya Dunia (“World Bank - WB”) na...
KUBADILISHA TANZANIA TUITAKAYO.
Tanzania nchi Yangu iliyobarikiwa kila njanja,
Tanzania iliyo na Neema ya uoto asili,
Nchi iliyo na Watu Wenye afya ,Iliyobarikiwa Viongozi walioleta Amani na Chakula kwa Wanachi wake.
Napenda Kuongea na Nyie kupitia Jamii Forum,
Huenda mawazo Yangu yakawa Chachu...
Wanafunzi Chuo cha Elimu sehemu cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam nchini Tanzania (DUCE), wailaumu serikali
https://m.youtube.com/watch?v=0eDvfPF6Ys0
Mwanachuo bi. Nduguru aliyetokea Songea kusoma campus ya DUCE jijini Dar es Salaam akiongea huku akushangiliwa na wanafunzi hao wa kitivo cha...
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Aysharose Mattembe ametembelea Shule Maalum ya Wasichana Sekondari ya Solya na kuzungumza na Wanafunzi wa kike shuleni hapo na kuwapa zawadi ya taulo za kike na vifaa vya michezo
Mbunge Aysharose Mattembe amewatia moyo Wanafunzi wa kike wanaosoma katika...
Ushauri kwa Wanafunzi wa Kidato cha Tano na Wanaomaliza Kidato cha Nne
Kwanza kabisa, ninawapongeza wanafunzi wote ambao wamefanikiwa kumaliza kidato cha nne na kuchaguliwa kuendelea na masomo ya kidato cha tano, au wale waliopata nafasi katika vyuo mbalimbali. Safari yenu ya elimu ni muhimu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.