wanajeshi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MK254

    Urusi yaanza kutumia helikopta kusaka wanajeshi wake waliotoroka mapambano

    Idadi kubwa ya wanajeshi wa Urusi wameona hamna tija ya kufia kwenye nchi ya watu, wameanza kutoroka huku wakifukuziwa na helkopta. ======= Russia has deployed helicopters and weapons in the occupied Ukrainian Kherson region in an effort to round up soldiers who had deserted their positions...
  2. MK254

    Urusi ifanye jitihada za kuokoa hawa wanajeshi 10,000 hatutaki kuona mauaji ya kimbari

    Kwenye juhudi za kuokoa miji yao, Ukraine wameishia kuzingira wanajeshi 10,000 wa Urusi. ======== Two days after punching through Russian defenses outside the city of Kharkiv, Ukrainian forces have fought all the way to Kupyansk, a critical node in Russia’s supply lines in Kharkiv Oblast in...
  3. MK254

    Wanajeshi wa Urusi waanza kutelekeza ngome zao Kharkiv, huku Ukraine wakiingia ndani

    Hali imekua sio, hawaoni umuhimu wa kufia kwenye nchi ya watu..... Russian troops are reportedly abandoning their positions in Kharkiv amid reports of a Ukrainian counteroffensive in the currently occupied region. Military analyst Rob Lee shared what he called a "pessimistic" account from a...
  4. JanguKamaJangu

    Mali yawaachia Wanajeshi watatu wa Ivory Coast, 46 bado wapo kizuizini

    Wanawake watatu kati ya Wanajeshi 49 raia wa Ivory Coast wameachiwa huru kutoka katika mamlaka za Mali huku wengine wakiendelea kushikiliwa. Wanawake hao wamerejea Ivory Coast ikwa ni wiki 7 tangu waliposhikiliwa. Kundi hilo la Wanajeshi lilishikiliwa tangu Julai 10, 2022 baada ya Mali kudai...
  5. 5

    Wanajeshi wa Ukraine wauwa wavamizi 201 askari kutoka Urusi

    The Ukrainian military has killed 201 Russian invaders and destroyed 12 T-72 tanks, 18 armored and motor vehicles and six ammunition depots on the southern axis over the past 24 hours. Ukraine’s Operational Command South said this in a Facebook post, Ukrinform reports. “The situation in our...
  6. BigTall

    Zaidi ya Wanajeshi 200 wafariki Dunia wakiwa mazoezini Sudan Kusini

    Zaidi ya Wanajeshi 200 wamefariki Dunia wakati wa mazoezi wakiwa katika kambi 18 za Sudan Kusini kabla ya kuhitimu mafunzo Makamu wa Rais wa Kwanza, Riek Machar amesema sababu kubwa ni hali hewa,magonjwa kwani hakukuwa na dawa, njaa kwani chakula kilikuwa hakipatikani, ambapo waliofariki...
  7. S

    Urusi imewaua wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 560 walipojaribu kuishambulia Kherson

    Aisee, hii ni kufuru sasa! Majeshi ya Ukraine yamejaribu kushambulia majeshi ya Urusi huko Kherson, matokeo yake Zelensky kapoteza wanajeshi zaidi ya 560, vifaru 26, armoured vehicles 32 na ndege mbili aina ya Su-25. =====
  8. MK254

    Wanajeshi wa Urusi walipukiwa na mabomu yao wenyewe

    Siku zote ukiwa dhalimu lazima yakukute..... Russian troops were blown up by their own mines while responding to a fake call from pro-Ukrainian partisans early Monday morning, according to Mariupol officials. The deaths come after more than six months of fighting as Ukraine continues to defend...
  9. MK254

    Putin mpaka anatamani kutumia hawa wanajeshi wa Korea Kaskini licha ya njaa yao na unyonge

    Kwa sasa Urusi inaomba msaada wa wanajeshi kutokea popote, hadi wanafuata hawa wa Korea Kaskazini, sema itabidi kwanza walishwe chakula kama miezi miwili ndio waingie kwenye mapambano North Korea offering 100,000 troops to help defeat Ukraine, Russian state media says...
  10. BARD AI

    Urusi: Rais Putin aagiza wanajeshi wapya 137,000 kuajiriwa

    Leo Agosti 25, 2022 Putin ametia saini amri ya kuongeza ukubwa Jeshi kutoka Wanajeshi Milioni 1.9 hadi Milioni 2.04 ikiwa ni miezi 6 tangu kuanza Vita baina yake na Ukraine. Kwa mujibu wa agizo lililotolewa leo kupitia Wizara ya Sheria, ongezeko hilo linajumuisha ajira mpya za Wanajeshi 137,000...
  11. MK254

    Wanajeshi wa Urusi wamekuwa frustrated hadi wanapiga mabomu kwenye mashamba ya ngano

    Warusi wana hasira kwa kutamaushwa na vita ambavyo vinawagharimu sana, mpaka wanapiga mabomu kwenye mashamba sasa..... Nearly 600 hectares of various sorts of grain have burned down as a result of Russian attacks in the Zaporizhzhia region on Tuesday. "During yesterday’s Russian missile...
  12. MK254

    Baadhi ya wanajeshi wa Urusi wanajijeruhi kwa risasi miguuni ili waondolewe kwenye mapambano

    Imekua kawaida kila panapotokea pambano, baadhi yao kwa uwoga wa kupambana wanajipiga risasi kwenye miguu ili waondolewe kwenye vita na kulipwa. Wengi hawapigani kizalendo maana huu ugomvi hawaelewi tija yake, hawaoni sababu kwanini wafie humo. ================ A Russian paratrooper who fought...
  13. JanguKamaJangu

    China kupeleka wanajeshi wake Urusi kwa ajili ya mazoezi ya kijeshi

    China inatarajia kutuma baadhi ya Wanajeshi wake kwenda Urusi kwa ajili ya kufanya mazoezi ya pamoja ya Kijeshi kuanzia Agosti 30 hadi Septemba 5, 2022. Mazoezi hayo pia yatahusisha Wanajeshi kutoka Nchi za India, Belarus, Mongolia, Tajikistan na nyingine kadhaa. Aidha, China imekuwa ikiiunga...
  14. Pearce

    Wanajeshi wa Urusi waanza kimbia Kherson

    Russia rasmi na utawala wa vibaraka wao waamua kuondoka mapema Kherson mara baada ya kukosa usambazaji wa Siraha baada ya vituo vya karibu vya kuhifadhi kulipuliwa. Huku kikosi cha Anga ambacho kingeweza toa sapoti kipindi cha kuzuia uvamizi kuungua kwa moto wa Sigara ulioteketeza ndege zaidi...
  15. Lady Whistledown

    Wanajeshi wa Burkina Faso wanadaiwa kuua Raia takriban 40

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini humo yamelishutumu jeshi kwa kuwaua zaidi ya watu 40 kaskazini mwa nchi hiyo na kusema kuwa kumekuwa na visa vingi vya utekaji nyara na vifo vinavyohusishwa na Wanajeshi hao Katika matukio tofauti miili ya watu inadaiwa kukutwa barabarani kati ya...
  16. Lady Whistledown

    Mali: Wanajeshi wa Ivory Coast washtakiwa kwa kuharibu Usalama wa Taifa

    Wanajeshi 49 wa Ivory Coast waliokuwa wamezuiliwa kwa zaidi ya mwezi mmoja nchini #Mali baada ya kushutumiwa kuwa mamluki, wamefunguliwa mashtaka ya kujaribu kuharibu usalama wa taifa na kuwekwa rumande. Ivory Coast imekanusha shtaka la shughuli za mamluki na imekuwa ikitoa wito wa kuachiliwa...
  17. JanguKamaJangu

    Wanajeshi 42 wa Mali wauawa katika shambulizi

    Mashambulizi yaliyofanywa na ndege isiyo na rubani na mizinga yameua Wanajeshi 42 Nchini Mali katika shambulizi la Waasi Nchini humo. Serikali ya Mali imesema katika shambulizi hilo lililotokea katika Mji wa Tessit Wanajeshi 22 walijeruhiwa. Mara ya mwisho Mali kupata pigo kubwa kama hilo ni...
  18. Diversity

    China yahitimisha zoezi la kushambulia bahari, wanajeshi kurudi makambini

    China carried out its largest-ever military exercises around Taiwan following a controversial visit to Taipei by US House Speaker Nancy Pelosi. Pelosi was the most senior US official to visit Taiwan in 25 years, angering China, which sees Taiwan as part of its territory. What did China say...
  19. MK254

    China yahimitisha zoezi la kushambulia bahari, wanajeshi kurudi makambini

    Mikwara imeisha, wamesubiriwa wafanye kweli ila ndio kama hivyo USA alishaingia mkataba kuigusa Taiwan umeigusa USA. Sasa Wachina wanageuza baada kupiga bahari mabomu...... China carried out its largest-ever military exercises around Taiwan following a controversial visit to Taipei by US House...
  20. JanguKamaJangu

    Mali: UN yasema waliohusika mauaji ya raia 33 ni Wanajeshi wa Mali na Mgambo wa Urusi

    Imebainika kuwa Jeshi la Mali na "Askari Wazungu’ ambao inadaiwa ni Wanamgambo wa Kundi la Wagner la Urusi ndio waliohusika na mauaji ya raia 33, ambapo kati yao 29 wakiwa ni raia wa Mauritania na Wanne wa Mali. Hayo yamebainika katika ripoti ya Umoja wa Mataifa (UN) iliyoelezea kilichotokea...
Back
Top Bottom