Baada ya DRC kujiunga EAC, imebidi mataifa kwenye jumuiya yafanye maamuzi ya kuwasaidia.
========
Kenya's President William Ruto (left) on November 2, 2022 inspects some of vehicles to be used by Kenya Defence Forces soldiers deploying to the DRC as part of the East Africa Community Regional...
Wanateseka kutoroka huku wakiburuza majeruhi wao, jameni aliyewaponza yuko Kremlin anapiga gongo la Vodka ametulia hana habari.
The Russians were seen evacuating around 150 wounded soldiers in Kherson and Luhansk, using the nearest crossings across the Dnipro River.
After suffering a string of...
Wanajeshi zaidi ya 5,000 waogopa kuzingirwa, waamua kutoka nduki, ni mojawapo wa miji ambayo walikua wamejichukulia, shughuli inaishia Crimea maana ndiko ilianzia...
Sijui mgambo wanywa gongo watafanya nini tofauti na hawa wanajeshi wanaokimbia mapambano.
Russia has withdrawn troops from the...
Hizo sideshows za kura sijui referendum wala nini hatuna muda navyo, ngoma ni ile ile, inaishia Crimea, mlete wanywa gongo watafyekwa tu
KYIV — Less than 24 hours after Russian President Vladimir Putin proudly proclaimed the illegal annexation of Ukraine’s Donetsk region, thousands of his...
Wanataka ionekane kama ambao walikimbia mapigano, sio kwamba waliuawa.
Wanatumia magari yenye tanuri ya moto wa kuchoma maiti hadi majivu
========
The Russian Ministry of Defence has been notoriously protective of data on the casualties suffered during Vladimir Putin's "special military...
Ruto amesema kwasababu Umoja wa Mataifa umetuma vikosi vyake kusaidia katika upatanishi wa amani na kupambana na waasi wa M23, kwa upande wa Kenya ikiwa ni sehemu ya EAC pia itajitolea kusaidia taifa hilo la Afrika ya Kati.
Alibainisha kuwa kila nchi ndani ya EAC, ambayo DRC ni sehemu yake kwa...
Putin ameamua kukusanya wanywa vodka mitaani wakapigane pale ambapo wanajeshi rasmi wa Urusi wameshindwa mpaka kutoroka mapambano......
Chaotic scenes have been shared on social media following Vladimir Putin's mobilization decree amid reports that the authorities are looking to draft far more...
Wanajeshi watatu wanadaiwa kuwashambulia Wananchi na kuua Wanawake wawili wasiokuwa na silaha katika Kijiji cha Andeck.
Wanaharakati wa kutetea Haki za Binadamu wanalaumu Jeshi la Cameroon kwa tukio hilo walilofanya wakati wakiwasaka washukiwa wanaoupinga utawala wa Serikali iliyopo madarakani...
Hali inazidi kuwa mbovu kwa Warusi kwenye nchi ya watu.....
Ukrainian forces sank a Russian barge transporting troops, equipment and weapons across the major river crossing, Ukraine’s Operational Command South said, according to Pravda Tuesday.
"Attempts to establish an alternative crossing...
Mwanachama wa kikosi cha mamluki wanaoitwa Wagner, ambao Putin anawatumia kupigana huko Ukraine, anaonekana hapa kwenye video akigombana na wanajeshi wa Urusi, kisha ghafla akapokea kichapo cha mbwa, watu wana hasira...
Videos posted to Telegram on Friday apparently show a Russian mercenary...
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Dkt. Stragomena Tax, ameliambia Bunge kuwa kwa sasa utaratibu wa miaka 6 utabakia kama ulivyo kutokana na misingi iliyowekwa kwa ajili ya kuwaandaa Askari hao kulinda nchi.
Dkt. Stragomena amesema Askari wapya wanaojiunga na Jeshi wanabakia kuwa...
Hali imebadilika mwanzo wa hii operation Urusi ndio wakiionya Ukrain wanajeshi wake kujisalimisha lakini baada ya miezi 7 sasa Rais wa Ukrean Zelensky amekuja na kauli hii yeye kuwaambia wanajeshi wa Urusi wajisalimishe na hii ni baada ya Ukrean kufanikiwa kurejesha maeneo yake karibu kilimita...
Wameambiwa wale ni ndugu na watoto wao wanaoteseka kule Ukraine kwenye vita...
Russian teachers have been asked to give up part of their salaries and donate it to Russian soldiers invading Ukraine.
A teacher at one of the schools told Important Stories they were given flyers to apply to...
Vita ikilipuka amiri Jeshi mkuu huwa ana kawaida kuwatembelea wapiganaji walio msitari wa mbele vitani kuongea nao na kuwatia moyo na kuwasikiliza
Raisi Zelensnkyy wa Ukraine amekuwa akiwatembelea mara kwa mara Askari wake walio mstari wa mbele na kupokelewa kwa shangwe na Askari wake
Putin...
Mapigano kati ya Armenia na Azerbaijan yamesababisha kuuawa kwa Wanajeshi hao, ambapo kwa Armenia waliouawa ni 49 wakati Azerbaijan ni 50.
Serikali zote mbili zimetupiana lawama juu ya mauaji hayo, Armenia ikidai miji yake kadhaa kwenye mpaka ilishambuliwa kwa makombora na ndipo wakajibu...
Walioachwa nyuma wakati wenzao walitoroka kwa magari, wameishia kuiba baskeli na kutoroka nazo ili tu waokoe maisha yao...vijana wa Ukraine wanaendelea kutembeza kichapo....
Russian soldiers abandoned by their units in the eastern Kharkiv region of Ukraine fled in disguises on bicycles...
Ni baadhi ya mitambo iliyotelekezwa hapo jana katika mashambulizi ya Wanajeshi wa Ukraine mpakani na Urusi ambapo Ukraine wamefanikiwa kuukombo mji wa Khakiv kwa mafanikio makubwa sana
Hadi aibu na huruma, wanajeshi walioparamia kwenye kifaru wadondoka kama gunia kisha kikaishia kugonga mti, jameni Putin aliingiza nchi yake kwenye aibu gani hii, Warusi nyumbani wanapotazama video kama hizi wanahisi vipi labda.....
The video, which was posted on the Calibre Obscura Twitter...
Rais wa mpito, Assimi Goita amesema anatazamia suluhu ya kidiplomasia itakayonufaisha pande zote mbili ili kuwaachia huru wanajeshi hao huku akiweka wazi kuwa Ivory Coast imewapa hifadhi wanasiasa wanaotafutwa na utawala wake.
Mnamo Julai 10, wanajeshi 49 Ivory Coast walizuiliwa katika uwanja...
Kuna namna Ukraine wameibuka kama ambao wamepagawa, fulu kujitoa mhanga aisei....mzuka hadi basi, hii imewashangaza Urusi mpaka wakapoteana, wakawa wanauawa kama nzige, imefikia hatua za kuagizwa wakimbie mapambano, wameacha silaha na kutoka nduki.
Vijana wanakomboa ardhi yao, bendera yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.