wanandoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyankurungu2020

    Wanandoa wengi huchepuka siku ya Jumamosi wanapohudhuria sherehe

    Jumamosi wanandoa wengi husingizia kwenda kuhudhuria sherehe za ndoa Kitchen party na birthday party. Huko wanakoenda kuhudhuria hujikuta wanafanya mambo ya ajabu na aibu kabisa.
  2. Action and Reaction

    Mungu anachukia wanandoa kuachana

    Siku za leo neno kuachana kwenye ndoa kimekuwa kitu cha kawaida sana na isitoshe mpaka baadhi ya watumishi wa Mungu kuhalalisha kabisa na kuruhusu hili swala. Kwa kwale linaniumiza moyo sana. Sasa ndugu zangu Mungu hapendi hali hiyo pamoja na watumishi wake kuruhusu iwe kwa talaka au pasipo...
  3. ndege JOHN

    Wanandoa waliooana 1946 Sasa wanasherehekea miaka 75 ya ndoa Yao

    Ulysses umri 94 na Lorraine Dawson mwenye miaka 92 wote wa huko west Virginia wanasema ndoa yao hiyo ya miaka 75 ilikuwa na furaha na changamoto nyingi, wakati wanasherehekea anniversary hio mume alivaa magwanda ya kijeshi aliyopigana nayo Vita kuu ya pili ya dunia na ndio mavazi ambayo aliyavaa...
  4. E

    Ni wanandoa, lakini siku hizi hawapendani kama zamani

    Wamekuwa ni watu wenye visirani na ugomvi kila iitwapo leo-usiku, hasa hasa mwanamke, amekuwa ni mtu wa kwanza kumsema mumewe kwa majirani hasa kwenye vikao vya hisa na vyama! Naomba tu kufahamu sababu ambazo zinapelekea wanandoa wengi kubadili mienendo yao na kupunguza upendo baina yao siku...
  5. mshale21

    Ubakaji kwa wenza walio katika ndoa ina maana gani?

    Wakuu, ni matumaini yangu kuwa hatujambo wote! Yawezekana nikawa mgeni, lakini ninastaajabu Sana ninaposikia eti mtu yupo katika ndoa na anabakwa na mwenza wake waliojenga ndoa pamoja! Niliziona taarifa katika tovuti ya BBC, zikimwelezea mwanaume mmoja ambaye alikuwa akielezea kwa maskitiko...
  6. Deejay nasmile

    Mtoto wa nje ya ndoa anaweza kurithi mali ya mama yake aliyefariki akiwa ndoani na baba mwingine ikiwa baba ndio aliwakuta mtoto na mama?

    Wakuu naomba kuuliza hili swali? Mtoto wa nje ya ndoa anaweza kurithi mali ya mama yake aliyefariki akiwa ndoani na baba mwingine? Ikiwa baba ndio aliwakuta mtoto na mama wanajitegemea Iko hivi wakuu Ikiwa mama anaishi na mtoto wake baada ya baba mtoto kufariki, wakawa na maisha yao ya...
  7. BabaMorgan

    Je, ni sahihi kwa wapendanao ( wanandoa & wapenzi ) kutumia video za ngono kama muongozo wawapo faragha?

    Andiko hili ni mjadala wa wakubwa kama upo chini ya miaka 18 tafuta andiko linalokufaa. Pesa ni nzuri ila ngono ni tamu. Mimi Baba Morgan ni miongoni mwa wachache tunaoamini kuwa video za ngono zilikuja kwa nia njema ya kututoa tongo tongo juu ya maswala mazima yahusianayo na tendo la ndoa kama...
  8. BASIASI

    Wanandoa kama mna mapepo nendeni mkaombewe msitese ndugu

    Ndugu wapendwa, Naomba ombi hili kwa ajiliya wanandoa Kama una mwenza unamwona ana mapepo yanamtesa Wapo wanateseka na majini mahaba. Wapo wanandoa wanateseka na roho za wizi. Ndani kwa NDAN Wapo wanateseka na rohiza uzinzuli kutokana. Na kutubuu imefika Mmoja kaamua twende hivyohvyo...
  9. H

    Hivi ni nyie hawa hawa wanandoa au ni wengine?

    Salaam. Happy saba saba day, Twende kwenye topic, Nimekuwa nikikutana na clips nyingi kwenye youtube channels za ma MC's wa shughuli za harusi na kushudia vile watu wanakiwa wanasherehekea kuingia katika ndoa, promises kibao na mambo kedekede, inshort huonesha kwamba kwamba wako smart couple...
  10. Jstar1

    Umiliki wa mali kwa wanandoa

    Naombeni kuuliza kuhusu umiliki wa mali kwa wanandoa endapo watatengana, mfano, Mke kama amekuta mmewe tiari kuna mali anamiliki mfano, nyumba je ikitokea mmetengana na hamkua na watoto mke atapata asilimia ngapi ya nyumba au mali na je kipi kitaprove kua hii mali kaikuta au wataoanisha cheti...
  11. Nduka Original

    Kuna tatizo kubwa sana kwenye ndoa sasa hivi, kwani tatizo la wanandoa kutokuwa waaminifu ni kubwa mno

    Kuna tatizo kubwa sana kwenye ndoa sasa hivi kwani tatizo la wanandoa kutokuwa waaminifu ni kubwa mno. Unakuta Mume na Mke wote wanatoka nje ya ndoa. Mimi kama mwanamume nakiri kabisa tatizo kubwa lina anzia kwa wanaume kwa factors nyingi ila mimi nitaomba tujadili factor moja tu na ndo maana...
  12. T

    Nimekutana na Wanandoa wenye tarehe ya kuzaliwa inayofanana

    Siku kadhaa zilizopita, kuna wanandoa wawili walikuja kupata huduma ofisi ninayofanyia kazi. Katika huduma hiyo kuna fomu walitakiwa kujaza kila mmoja, na kulikuwa na k kipengele cha kuzaja tarehe ya kuzaliwa. Baada ya kuzipitia fomu hizo, nilipofika kwenye kipengele cha tarehe ya kuzaliwa...
  13. wakwatito

    Faida 17 za kufanya mapenzi salama

    1. Hulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo Wanawake ambao hufika kilele (orgasm) angalau mara mbili kwa wiki kila wanapojamiana, wana uwezekano mdogo sana (30% tu) wa kupata maradhi ya moyo tofauti na wale wasiofikia kilele. Hii ni kwa vile homoni ya endorphin inayotolewa wakati wa kujamiana...
  14. Mshana Jr

    Mada maalum kwa wanandoa

    Ni siku nyingine tena imepita, tumerudi salama majumbani mwetu, kuungana tena na wapendwa wetu, familia na watoto pia. Baadhi yetu hatujarejea, tuko mishe na viti virefu, baadhi tuna sababu za msingi na nyumbani wanafahamu na tumewapa taarifa, wanatusubiri watupokee kwa upendo, kwa furaha kwa...
Back
Top Bottom