Kulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
according to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan.
gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …
Wadau hamjamboni nyote
Taarifa mpya kabisa juhudi zaendelea kutekeleza mpango wa Marekani kuhamisha Wapalestina kutoka gaza
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
Advertisement
Israel and US said in contact with Sudan, Somalia about resettling Gazans
Officials say approaches also made to...
Video za Wanaojiita Wapalestina zinasikitisha full Taqiyya yaai unasikiliza unaishia kucheka.. vijana hadi wazee so hawa jamaa nadhani wana chuki za Asili sababu ya wizi wa ardhi...
https://www.youtube.com/watch?v=YHROSSEMzmY
https://www.youtube.com/watch?v=Rx6yIeqvh8o...
Wadau hamjamboni nyote?
Lebanon imechoshwa na vita vya nchi nyingine
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
February 23, 2025
Lebanese president tells Iranian parliament speaker: Country is ‘tired of others’ wars’
Lebanese President Joseph Aoun tells Iranian Parliament Speaker Mohammad...
Hii habari hutaisikia ikipewa kipaombele au ikivuma,
Iko hivi, myahudi aitwae Mordechai Brafman huko Miami marekani amepewamiminia risasi wayahudi wawili akidhan ni wapalestina, baada ya majeruhi hao kupelekwa Hospitali, wali tweets wakisema ni anti-semitic attack na kumaliza kusema "Death to...
Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa.
Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu.
Mungu...
Mfalme Abdullah wa Jordan na Mwanawe Wamtembelea Trump Ikulu
Mfalme Abdullah wa Jordan na mwanawe wametembelea Ikulu ya White House kwa mazungumzo na Rais wa Marekani, Donald Trump. Mkutano huo uliangazia juhudi zinazoendelea za kubadilisha mwelekeo wa Mashariki ya Kati, hasa kuhusu uhamishaji...
Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kukata misaada kwa Egypt ikiwa hawatakubali kuwakaribisha Wapalestina kutoka Gaza.
Trump anataka Marekani inunue na kuimiliki Gaza.
Egypt ilipokea msaada wa dola bilioni 1.3 kutoka Marekani mwaka 2024 na dola bilioni 1.5 mwaka 2023, na kuifanya kuwa moja...
Hiyo inaitwa danganya toto, tunawahamisha Wapalestina Kwa Muda, wanaenda Saudia ili tuwajengee kagaza kazuuuuuuri katamuuu kana maghorofa ya kunesanesa ,viwanja vikali , kagaza kama Paris vile , alafu mtarudi baadae eehhh sawa Wapalestina 🤣🤣🤣
Hamrudi Ng'ooooo , ndo itakua imeishaa !!
The...
Watawapokea Wapalestina wa Gaza
Wa kwanza ni Abdel Fattah El-Sisi, rais wa Misri, na wa pili ni Abdullah II, mfalme wa Jordan
Hawa jamaa ni pro west na pro Israeli. Walipokea misaada ya kutosha toka Marekani sasa na wao ni wakati wa kulipa. Wametakiwa kuwapokea wana Gaza milioni 1.5 ili...
Hawa magaidi wawili wanapanga openly kua wawahamishe watu gaza ili wajenge wachukue wao eneo. Baada ya kuwaua, sasa wanataka kuwaondoa, ila ukweli ni kua watashindwa.
Na ni aibu hasa kwa wanaoshabikia haya yanayowakuta wapalestina.
May cowards get 10 times of suffering of Palestinians, may...
Kuna uwezekano Isreal na Marekani wakaivamia tena Gaza. Ninavyoandika, Trump anapanga kuwahamisha na kuwanyang'anya ardhi yao kwa maslahi binafsi na Netanyahu.
Je, ataweza au ndo mgogoro unaanza upya? Je tangu lini Trump akawaonea huruma wanadamu wenzake badala ya kuwaibia na kuwanyonya?
Eti...
Alipokua akiulizwa kuhusu kauli yake alioitoa kuhusu kuhamishwa kwa wapalestina walioko Gaza, aliendelea kisisitiza msimamo huo.
Muda utatuambia kua huyu mzee hamnazo kabisa, kama lengo lake ni kushirikiana na wazayuni awatoe wapalestina gaza, amechelewa sana na haiwezekani.
Haiwezekani mtu...
Nyie mliojikuta Miamba ya kutetea wapale-stina kiasi kwamba mlijikuta mpaka mnatukana watu kisa Palestina, lakini sasa shida hii ya vita imetokea kwa majirani zetu wa damu kabisa hapo DRC, lakini mtandaoni mpo kimya kama sio nyie mliokuwa kila siku mnaandika mabango Pray for Gaza, lakini Leo...
Katika kufafanua zaidi kuhusu kusitishwa kwa msaada wa Marekani chini ya utawala Trump Msemaji wa Ikulu ya Marekani akizungumza na vyombo vya habari amesema walipofanya ukaguzi wamekuta Gaza imepewa $million 50( takribani bilioni 100Tsh) kwa ajili ya kununua Condom.
Huu ni uzushi mkubwa sana...
Wanaukumbi.
⚡️🇪🇬BREAKING: Egypt’s Embassy in USA republishes the following as a response to Donald Trump:
Egypt’s stance is clear: it cannot be part of any solution that involves the transfer of Palestinians into Sinai. Such a move would trigger a second Nakba, an unimaginable tragedy for a...
Wadau hamjamboni nyote?
Rais trump atoka maagizo mazito ya kiutendaji kwa nchi za Jordan na misri
Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo:
January 26, 2025
By Agencies
Today, 4:32 am
US President Donald Trump says that Jordan and Egypt should take more Palestinians from Gaza, where...
Baadhi ya Wapalestina wamechoshwa na vitendo vinavyofanywa na hamas ikiwemo wao kukimbilia kwenye mahandaki na kuwaacha wapalestina wawe ngao pale Israel inapojibu mashambulizi, Pia chakula cha misaada kimekuwa kikiuzwa badala ya wapalestina kupewa bure
Hamas wamechapisha video ya onyo sambamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.