wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. nipo online

    Makambako na Dodoma wapi chimbo sahihi la kubeba mzigo wa nguo za mitumba?

    Tafadhalini wakuu nisaidieni hapa kwa sasa nipo iringa lengo nikajumue kwa bei nafuu hapa iringa gharama kubwa. Asanteni.
  2. Balqior

    Hivi mwigizaji anayeitwa bwana jumbe aliishiaga wapi?

    Habarini, Miaka iliopita channel ten kuna muugizaji mmoja alikuwa akijulikana kama bwana jumbe, nahisi alikuwa pia kwenye matangazo ya foreplan clinic ya dokta mwaka. Bwana jumbe kiumri ni mtu wa makamo, alikuwa anaigiza kama mwanaume player, kuna scene yake moja alinifurahisha, yani...
  3. P

    Hiki kibaiskeli kinapatikana wapi?

    Wadau naomba kujua hiki kibaiskeli au kipikipiki au kimwendo kasi hata sijui kinaitwaje ila nadhan kinafahamika machoni mwetu si kigeni kiviile. Naomba kujua kwa hapa bongo kinauzwa wapi na bei yake ikoje either kiwe used au kipya
  4. Paul dybala

    Askari wa Usalama barabarani mko wapi?

    Kwanini jeshi la polisi hamzishuhulikii daladala zinazosimana katikati ya barabara kwenye kushusha ama kupakia abiria? Ninyi polisi mmelizika kuchua viaftano tano ndio mmeshalizika kila dalalada isimame hata sehemu zisizo salama na kusababisha foleni ambayo huleta kero kwa watumiaji wengine wa...
  5. Ikaria

    Mfahamu Mwalimu Mohammed Abduba Dida aliyefungwa kwa kutoa vitisho kwa mtu

    Je unakumbuka mgombea wa zamani wa Urais wa Kenya, Mohammed Abduba Dida (49)? Dida anatumikia kifungo cha miaka saba katika jimbo la Illinois nchini Marekani kwa makosa la kumfuatilia mtu na kutuma vitisho. Dida amekuwa akitumikia kifungo chake katika kituo cha kurekebisha tabia cha Big Muddy...
  6. Career Mastery Hub

    Kama mwalimu nisome wapi ili nijiandae na mtiani wa usaili (aptitude test)?

    Leo nataka kujibu swali hili kwa kuzingatia uzoefu na usaili unaoendeshwa na mataifa mengine katika kada ya elimu. Kwanza, walimu wengi wanaojiandaa kwa mitihani ya usaili wa Sekretarieti ya Ajira wamekuwa na maswali mengi kuhusu mada zitakazojumuishwa kwenye mtihani wa maandishi (Written...
  7. C

    Wapi naweza kupata Kadi za CHADEMA?

    Nataka kujiunga na Chama cha Demokrasia na Makamanda. Kadi zinapatikana wapi?
  8. EricMan

    Hivi akili za huyu dereva zipo wapi?

    Dereva kama huyu mpaka sasa utakuta hajachukuliwa hatua. Uyo wa lori kidogo angemchapa makofi ndio maana akatulia zake hapo hapo.
  9. complex31

    Interchange ya MWENGE na MOROCCO imepotelea wapi?

    Habari, Kwa watumiaji wa barabara ya Bagamoyo, Ali Hassan Mwinyi pamoja na viunga vyake vya Sam Nujoma kuna ujenzi unaendelea wa BRT phase ya 4. Awamu iliyopita bwana Humphrey PolePole alisema kua kuna Interchange zitajengwa Makutano ya Bagamoyo na Sam Nujoma Road (Mwenge) Makutano ya Ali...
  10. M

    Viongozi wa Dini nyingine mpo wapi kukemea maovu yanayoendelea?

    Kumekuwa na Mambo mengi ya ovyo hapa Nchini. Viongozi wengi wa Dini wamejitokeza hadharani kukemea maovu hayo, lakini kuna viongozi wa Dini nyingine wapo kimya kana kwamba hawayaoni yanayoendelea. Naomba hawa viongozi wa Dini nyingine waliokaa kimya watuambie, wapo upande gani? Je, wanahusika...
  11. Pdidy

    Aliekuwa dc alitakiww kuhojiwa.. porini n wapi

    Abcdefghij
  12. R

    Wapi naweza napata original boot za Salomon?

    Habari wakuu, ni wapi Tanzania hii naweza kupata viatu / boots za Salomon original, kuna vya mtumba madukani, ni original kabisa lakini shida vinakuwa vimechakaa. Nataka kiatu kipya.
  13. T

    Wapi napata kaunda suti maridadi?

    Wapi napata kaunda suti matata? Nahitaji kuivaa kesho, nina tukio la kushtukiza. tf.
  14. chakula cha watoto

    Wapi nikatafute maisha kati ya Botswana, Mauritius,Namibia au Sychelles?

    Bongo sitaki tena nataka nikimbie, naombeni ushauri kati ya hizo nchi wapi angalau nikienda sifi njaa nikipambana kati y'a Botswana, Mauritius, Namibia au Sychelles au South Africa Au Morocco na nchi nyingine ongezea. Bongo sitaki, Naombeni pia kama kuna wenyeji kwenye hizo nchi wanitafute PM...
  15. SAYVILLE

    Simba ipo Msimbazi Yanga wapo wapi?

    Simba ndiyo timu pekee ya ligi kuu Tanzania ambayo makao yake makuu yapo eneo ambalo jina la eneo limebebwa na jina la klabu hiyo, tena zaidi ni eneo hot kibiashara na kiuchumi. Najiuliza hawa wengine wako wapiii? Ninavyojua mimi, Jangwani ni maarufu zaidi kwa ile shule maarufu ya wanawake...
  16. BARDIZBAH

    Mtaji wa milioni 1 nikajitafute wapi wakuu?

    Kwasasa nipo Morogoro. Nina milioni moja napanga nikizalishe niingize chochote kitu, maisha yasonge. Nawaza kwenda Dar nikauze mkaa.
  17. S

    Januari Makamba yuko wapi?

    Yuko wapi Mbunge wa Bumbuli, Januari Makamba tangu atumbuliwe uwaziri hajaonekana hadharani kuanzia jimboni hayupo wala bungeni hayupo Je Januari Makamba yuko wapi?
  18. trojan92

    Mchumba wa kuoa unampata wapi hasa?

    Wadau mimi nina swali hapa. Wapi ni sehemu sahihi haswa ya kukutana na mchumba wa kuoa? Wengi wanasema sehemu ya ibada, je nyie wana jamii Forum mwaona wapi ni pazuri kukutana na mchumba wa kuanza nae mahusiano na baadae ndoa?
  19. Comrade Ally Maftah

    Peodoh Pacome Zozuzoua kiungo mshambuliaji wa klabu bingwa ya soka Young Africans

    PACOME NI NANI, AMETOKEA WAPI, NA ANA SIFA ZIPI ZINAZOMFANYA KIWIKA KATIKA SOKA LA TANZANIA Na Comrade Ally Maftah PACOME WA MCHONGO Peodoh Pacome Zozuzoua kiungo mshambuliaji wa klabu bingwa ya soka Young African ( YANGA ) amezaliwa katika mji wa Abidjan Autonomous pale Cote D Ivore ( Ivory...
  20. OKW BOBAN SUNZU

    Mkakati wa J.Makamba kuokoka ili agombee urais uliishia wapi?

    Kuna wakati bro alikuwa na mkakati wa kuokoka ili apate sifa za kugombea urais. Ikumbukwe kwamba CCM kuna utamaduni usio rasmi, kwamba awamu hii rais akiwa mkristo basi awamu ijayo ni muislamu. Sasa baada ya Samia kuingia ikaonekana itakuwa ngumu 2030 kuingia Rais muislamu tena. Ndio hapo...
Back
Top Bottom