Ni siku ya Jana katika mechi ya Ankagurcu vs rizespor. Aliongeza mda mrefu na kusababisha wapinzani kusawazisha.
Maamuzi yenye ukakasi na wanayolalamikiwa sana marefa huenda yakaleta madhara kama haya Tanzania.
Inasemekana wengine Huwa Wana beti.
Viongozi wa dini dua na sala zao zimeambatana zaidi na wana chama tawala. Na hata hao chama tawala siyo wote isipokuwa wale tu wenye madaraka. Ukishirikiana nao kisha ukapokonywa madaraka na wao wanakuacha na kuambatana na mteule mpya.
Maeneo mengi viongozi wa dini wanapokwekwenda kutoa huduma...
HAKUNA TOFAUTI KATI YA CCM NA WAPINZANI, NI WALEWALE" MWABUKUSI
Upinzani na CCM hawana tofauti, kitendo cha kutaka kuingia kwenye uchaguzi bila katiba mpya ni kwa sababu ya maslahi binafsi na sio maslahi ya Taifa, ndio maana kuna chawa wa chama tawala na huku upinzani nako kuna machawa huku...
Habari zenu wanaJF wenzangu,
Wakati Rais wa awamu ya tano mheshimiwa John P. Magufuli anaingia madarakani, miongoni mwa vitu vya kwanza kabisa alivyovifanya katika uongozi wake ni kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa akiamini kwamba mikutano hiyo ilichangia uzorotaji wa kuleta maendeleo...
Maana sisi ndio tulipaswa kupambana ili dhuluma , ufisadi na uonevu wa CCM uwekwe wazi.
Lakini tumebako kubug'aaa tu.
Leo hii wananachi wanataka kuona wazembe, mafisadi na wapigaji wanawajibishwa hadharani.
Alafu eti tuanze kuropoka na kupinga. Tutajichafua kwa wananchi.
Itoshe kusema Kimya kina mshindo.
Katika ujumla wake, upinzani nchini umepoaza sana, tena sana..
Vipi?
Ni kishindo cha Makonda?
Au ni mipango tu?
Ni ukata wa fedha au pumzi?
Hoja, dira na uelekeo ni kiza kinene?
Hamuelewani? Hamuaminiani ?
Mnavurugana na kugawanyika?
Wafuasi wanauliza...
Kinachokwenda kutokea CCM, ni kuwajengea imani wote waliokuwa na hasira juu ya kutukanwa na kubagazwa kwa aliyekuwa kipenzi cha Watanzania wengi hayati John Pombe Magufuli
Mabadiriko yanayofanywa na CCM, ni mpango madhubuti ya kuinasa tena kanda ya ziwa kisiasa na kuendelea kuwa mtaji wao...
Kuna wakati ujinga wa wapinzani, hujianika peupe kiasi cha nyeti za kuku mbele za upepo wa kisulisuli. Nijuacho ni hiki!
Anguko lolote la CCM, ni sherehe kwa wapinzani, iweje sasa wachukizwe na namna ya matamko ya Mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda?
Mpinzani unataka Paul Makonda afanye siasa...
Leo hii CCM hawajibu hoja za wapinzani(Labda ni nyepesi) wako bize "Kuijibu" serikali ya awamu ya tano.
Kwa sasa mpinzani mkubwa wa CCM ni serikali ya awamu ya tano, na kidogo wanaharakati. Hawana muda kabisa na hoja za wapinzani.
Upinzani umekuwa nyanya kiasi hicho hadi CCM wanatafuta...
Ninakifahamu vizuri Chama Cha Mapinduzi na kila ninaposikia kinaelezwa tofauti na ninavyokifahamu hususani na wapinzani nawaza mengi sana lakini mwishowe nahitimisha mawazo yangu kwa kusema ni suala la muda kabla hawajaufahamu ukweli.
Ninatambua U CCM sio falsafa ya kila mtu na waliobahatika...
Maspika waliogombea na TULIA Ackson wanatoka bara la Afrika. Nchi wanazotoka na hata mshawasha wa wapiga kura umekaa kwa nchi za ulimwengu wa kwanza zaidi.
Lakini pia bunge hili halina impact yoyote kiuchumi kwani mchango wake siyo mkubwa katika Taifa moja moja.
Sheria hii lengo lake ni kutoa kibali cha kuwakamata watu wa kuitwa "wachochezi" pindi mitandao kama Twitter inapokuwa haiingiliki kwa mitandao ya simu ndani ya nchi, hali hii ikitokea jua ya kwamba chochote utachoposti mtandao usioingilika ni ushahidi tosha umetumia VPN.
Ila kwa wengine vpn...
Unadhania Watanzania ni wajinga wanafurahia kuishi kwenye umaskini huku Taifa lao ni rasilimali za kutosha kuondoa umasikini?
Unadhania siasa ni kuzuga na kupumbaza watu?
Unadhania siasa ni kufanya collusion na watawala ili unufaike?
Japokuwa unadhania CHADEMA ni private property lakini ni...
Tunakwamishwa na vibaraka wachumia matumbo yao kupitia siasa.
Inatakiwa kuwatambua mapema na kuwakataa kwa manufaa ya ukombozi wa Mtanzania.
Wametufanya sisi kama Mazumbukuku bana.
Huu ni ukweli ambao wengi hawapendi kuusikia, hata Mods humu hawaupendi. CCM ni chama pekee cha siasa ambacho hakiwezi kunyooshewa kidole cha udini. CUF ilikuwa na nguvu sana, lakini kila mtu aliona kupitia safu yake ya juu kilivyoegemea dini fulani. CDM kilikuwa na nguvu, na hata leo kina nguvu...
Ccm inajaribu kuiambukiza nchi siasa za kisanii sana, yaani eti unamwambia mtu asifanye siasa hadi mwaka wa uchaguzi!? Sijawahi kamwe kuelewa mantiki ya jambo hilo.
Nijuavyo mimi siasa ni maisha. watu wanaishi kwa hiyo. Mfano rahisi ni mataifa yaliyoendelea ambapo unakuja mara tu unapoisha...
Upinzani sasa hivi wanasema Samia ameshindwa uongozi na ni kiongozi mbaya kuwahi kutokea.
Yaani ni mbaya kuliko hata Magufuli waliyekuwa wanadai ni kiongozi mbaya zaidi.
Tundu Lissu mara kadhaa amesikika akimsifu Magufuli kwa uzalendo wake na kusema ataenda Chato kumwambia jinsi CCM na...
Kwa kuanza kabisa mi ni CCM ambaye uwa siyumbi kwa ninalo amini,
Moja naamini katika free mind, naamini katika kutofautiana kwa Hoja
Mama nakusihi epuka mambo haya
1. Usipende kusikiliza ushauri wa waliokuzunguka, Tafuta mbinu za kupata taarifa ikibidi ntaiwasilisha kwa njia ya Fetacth Budge...
Kinachomtokea Wilbroad Slaa ni matokeo ya usaliti mkubwa alioufanya, alikuwa katibu mkuu wa Chadema; aliendesha harakati nzito za chama .aliongoza maandamano makubwa kule Arusha vijana wakapigwa risasi wakafa akashiriki kuwazika, majeneza Yao yalipambwa kwa bendera za chama.
Wewe ulitoa hotuba...
Eleweni hili na ikiwezekana msipoteze muda kuweka Wagombea akina Lissu na Msigwa sijui na yule wa Tarime au Mbowe mwenyewe.
Labda mkatafute mgombea kutoka CCM, tutawaazima hata yeyote mnaemtaka ili angalau mthubutu lakini kwa wapinzani hawa nao wajua majina yao hakuna mwenye uwezo wa kushika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.