wapo

The Washington Post (also known as the Post and, informally, WaPo) is an American daily newspaper published in Washington, D.C. It is the most-widely circulated newspaper within the Washington metropolitan area, and has a large national audience. Daily broadsheet editions are printed for D.C., Maryland, and Virginia.
The newspaper has won 69 Pulitzer Prizes, the second-most of any publication (after The New York Times). Post journalists have also received 18 Nieman Fellowships and 368 White House News Photographers Association awards. The paper is well known for its political reporting and is one of the few remaining American newspapers to operate foreign bureaus.
The Post was founded in 1877. In its early years, it went through several owners and struggled both financially and editorially. Financier Eugene Meyer purchased it out of bankruptcy in 1933 and revived its health and reputation, work continued by his successors Katherine and Phil Graham (Meyer's daughter and son-in-law), who bought out several rival publications. The Post's 1971 printing of the Pentagon Papers helped spur opposition to the Vietnam War. Subsequently, in the best-known episode in the newspaper's history, reporters Bob Woodward and Carl Bernstein led the American press's investigation into what became known as the Watergate scandal, which resulted in the 1974 resignation of President Richard Nixon. The advent of the internet expanded the Post's national and international reach. In October 2013, the Graham family sold the newspaper to Nash Holdings, a holding company established by Jeff Bezos, for $250 million.

View More On Wikipedia.org
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Hakuna Mwanamke anayekosa mume wa kumuoa, Ila wapo wanaume wanaokosa wake wa kuwaoa!

    HAKUNA MWANAMKE ANAYEKOSA MUME WA KUOLEWA NAYE. Anaandika, Robert Heriel Kuna uvumi unaoendelea katika jamii zetu za kiafrika kuwa mwanamke akifika umri Fulani anakuwa katika Mazingira magumu ya kuolewa Jambo ambalo sio kweli. Mwanamke anaweza kuolewa katika umri wowote hata akiwa kabibi, Ila...
  2. Nafaka

    Uber hawajaondoka wapo

    Kwa habari sa uhakika nilizonazo, Uber hawajafunga virago. Huenda wameelewana na serikali bado wapo wanaendelea kupiga kazi. Mshana Jr
  3. Binadamu Mtakatifu

    Kuna wanaume humu wapo kuvamia members wapya wanaodhani ni Wasichana

    Mhhh! ni masikitiko makubwa sana kwa wanajamvi tena mwanaume na akili zako timamu unakaa kuvizia ID mpya yenye kajina ambako unafikiri atakuwa msichana. Huo ni ulimbukeni na mwachage hiyo tabia kabisa nyie ndio mnao fanya watu waone JF ni kama badoo kuja na kuja mnataka muombe tunda. Kuna...
  4. M

    Zitto na chama chake wametufumbua macho,serikali ya CCM iliua na kuteka watu. Baadhi ya waliohusika wapo hai wafikishwe kortini

    Naona huko twita anapost bila hata kuficha kitu. Anadai kuwa Akina Ben, Azory na wengine wengi ni wahanga. Kwa hiyo kama ndio hivi wahusika watakuwepo mitaani huu ndio wakati wa kuwapeleka kortin.
  5. Sheffer95

    Wanaojali, na wakarimu bado wapo kwenye ulimwengu huu uliojaa wenye chuki, na wabinafsi

    Leo nimekaa nimetafakari sana jambo na kuona bado tunaweza kurudisha tabia njema, ukarimu na ustaarabu ambao ndio ilikuwa sifa kubwa ya sisi watanzania ikitutofautisha na watu wa nchi nyingine Kila uchwao changamoto ya ajali za barabarani imekuwa kubwa sana kila leo tunapoteza ndugu, jamaa na...
  6. JanguKamaJangu

    Marekani: Auawa kwa kuumwa na nyoka anaowafuga nyumbani kwake kwa siri, Polisi wakuta nyoka 124

    Mwanaume mmoja katika maeneo ya Maryland huko Marekani amekutwa amekufa baada ya kung’atwa na nyoka aliokuwa akiwafuga. Polisi wamesema kuwa wamekuta mwili wa mwamba huyo ukiwa chini huku kukiwa na nyoka zaidi ya 100 wenye sumu na wasio na sumu katika nyumba yake ambapo mwili ulipopimwa...
  7. Kabinti ka ludilo

    Maofisa ustawi wa Jamii 268 ngazi ya kata, wapo katika kata gani?

    Wakuu, Mimi nauliza hao maafisa ustawi wapo katika kata ipi. Maana nina uzoefu wa wilaya kama Kyela, Ludewa, Njombe, na Mufindi, zote hazina Afisa ustawi wa jamii hata mmoja ngazi ya kata. Je wapo wapi hao maafisa ustawi ngazi ya kata?
  8. BigTall

    Zitto Kabwe: Watu wapo huru kwa sasa, hawaogopi kuzungumza

    Kiongozi wa ACT WAZALENDO, Zitto Kabwe alikuwa kwenye kipindi cha Tv ndani ya Clouds TV asubuhi ya leo Aprili 11, 2022 amezungumza mambo mengi ya kisiasa, haya ni baadhi ya yale aliyozungumza kwenye interview yake hiyo: Amesema mazingira ya kisiasa Nchini Tanzania yamebadilika na kuna uhuru...
  9. K

    Inakuwaje baadhi ya wanawake wapo tayari kumwacha mwanaume anayempenda kisa fedha baadaye anarudi na kutaka muwe wapenzi kisirisiri?

    Nilisha simuliwa story hizi nyingi za mwanamke kumwacha ampendaye kisa kampata mwengine mwenye hela. Nina wanangu wa wawili wote mainjinia, mmoja nilijuana naye Mchikichini kwenye mapindi, mwengine tulijuana kwenye projects moja ambayo ilikuwa tempo ya kama mwaka mmoja. Huyu mwana niliyejuana...
  10. May Day

    Hivi wapo wanaofanikiwa kupata wenza makini (serious) mitandaoni?

    Kwa siku za karibuni kwenye mitandao mbali mbali kumeshamiri maombi ya kuhitaji Wenza...natamani kujua kama kuna utafiti umefanyika kujua mafanikio ya mfumo huu. Maombi haya yamekuwa yakiambatishwa na vigezo lukuki huku vingi ya hivyo ni ngumu hata kupatikana kwa Mtu mmoja. Pia...
  11. kagoshima

    Hivi ni kwanini wacheza kareti wengi Bongo wako rafu, wanavuta bhangi, hawana maisha, ni vijana ambao wapo wapo tu?

    Nimecheza michezo ya martial arts shorinji karate kuanzia nipo High school Kibaha sec. Hapa nilikuwa nakutana na vijana wengi walio hatua mbalimbali umahili wa michezo ya karate ila wengi wao ni jobless na wanavuta sana bhangi. Nikiwa likizo nyumbani bado nilitembelea dojo mbali mbali na...
  12. Expensive life

    Ushauri muhimu kwa Diamond Platnumz

    Kwako Diamond... Mimi shabiki yako kindakindaki nimekuwa nikizipenda kazi zako toka kamwambie, ila now days unaimba utopolo sikupangii cha kuimba ila naamini muziki mzuri ndio umefanya upo hapo ulipo. Huu wimbo ulioutoa jana ni utopolo mtupu wimbo mzima umejaa gigi gagaa kga kge gagaa gagaa...
  13. John Haramba

    Simba hatuna mashabiki wa kulialia, hao wapo huko..

    “Simba sasa hivi hatuna mashabiki lialia Kwa sababu simba hatuliilii lakini tuna mashabiki wa kufurahia, Lialia timu nyingine hizo zenye maisha magumu,” kauli ya Ahmed Ally, Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba.
  14. sky soldier

    Wanaume wengi wa kizungu wana pisi kali za kiafrika lakini wanaume wa kiafrika wapo na kina bibi / wanawake wa kawaida wa kizungu

    Kiukweli huwa nashindwa kung'amua hili jambo. Unaweza kukuta mzungu wa kawaida kabisa anaweza kutoka na pisi kali ya kiafrika lakini mwanaume wa kiafrika ambaye yupo vizuri tu atajisifia ku date hata na bibi wa kizungu ilimradi ka date na mzungu. Yani kwa lugha rahisi mzungu anaweza kumpata...
  15. MK254

    Rwandair hujaribu sana, siku zote wapo kwenye kumi bora Afrika, licha ya kainchi kenyewe saizi ya mkoa

    Hapa inabidi kuwasifia Wanyarwanda, kainchi kadogo mithili ya mkoa lakini kanalambisha vumbi majitu makubwa Afrika, Rwandair imeshikilia namba saba, huku Kenya Airways ikiwa namba tatu, Ethiopia wameongoza. =================== Skytrax has revealed the World's Top 100 Airlines for 2021 and...
  16. samurai

    Tuache kuvumilia wazembe, wajinga na wapumbavu makazini, wapo watanzania wengi uraiani hawana ajira

    Kama kichwa kinavyojieleza Ni ujinga na upumbavu kuendelea kulea wazembe, wajinga, wapumbavu, wezi nk huko makazini huku mtaani kuna malaki ya vijana kwa wazee hawana ajira. Ni wakati wa Serikali, taasisi zake, na mashirika yote yaliopo Tanzania kulibeba hili na kutolea wazembe, wajinga na...
  17. I

    Hivi nikifungua digital marketing agency hapa Dar es Salaam, clients wapo?

    Habarini wakuu Mimi ni mjuzi mzuri wa masuala ya digital marketing haswaa. Ila nimekua nikijikita kwenye ishu nyingine kwa muda mrefu sasa ukiachana na hizi mambo za marketing. Sasa nimeona ni muda muafaka wa mimi kutumia ujuzi huu nilionao kuniingizia kipato zaidi. Je nikifungua digital...
  18. Subira the princess

    CCM ni watawala na si viongozi, wapo madarakani kwa maslahi yao

    Wasalaam. Nitafafanua kwa ufupi Uongozi ni mamlaka au karama ya kuwaonyesha watu njia kwa vitendo na kipaumbele chake huwa watu, lakini mtawala(CCM) huangalia vitu na si watu, hugusa maslahi yake na si watu, hushughulila na leo wala si kesho. Mtawala huiga na kukarabati hana uwezo wa kubuni...
  19. M

    Wanaofanya sherehe za madarasa mapya wakati wapo kwenye msiba wa kufelisha nawashangaa

    Miaka ya hivi karibuni viongozi wa umma wameingiwa na tabia ya kusifu na kushangilia hovyo. Kupitia mitandao ya kijamii tunashuhudia wakurugenzi na wakuu wa wilaya wakijisifia ujenzi wa madarasa kana kwamba nikitu ambacho hakikua kinawezekana. Hao hao viongozi wameandamwa na msiba wa shule za...
  20. LIKUD

    Wanaume marijali wote wapo jela kwa kesi za ubakaji

    Hili ni tusi la kiutu uzima. Ingawa dada huyu alikuwa anaongea kama utani lakini she was making alot of sense. Ni hivi tulikuwa kwenye kikao cha harusi bar. Akapita jamaa AKASEMA anauza Dawa ya nguvu za kiume... Licha ya kujibiwa kwamba we are not interested but akawa anaendelea kujinadi...
Back
Top Bottom