wasanii

  1. YEHODAYA

    Uchaguzi 2020 CHADEMA kinavyozidi kupoteza kura, kimekuwa kikiwaponda wasanii wanaoburudisha kampeni za CCM wakati ni wapiga kura

    Kushinda uchaguzi ni moja na kuwavuta kwako watu wengi wezekanavyo ili wawe upande wako wao na familia zao wakupe kura. CHADEMA tumeiona ikiponda kuanzia Askari, wafanyakazi wa tume, viongozi wa dini, wenye magari wanaobeba wana CCM kwenda mikutanoni nk hao wote ni wapiga kura ambao CHADEMA...
  2. Rebeca 83

    Uchaguzi 2020 Mdahalo yes, kutumia wasanii ni NO!

    Hello JF, At least mdahalo unawapima Wagombea nafasi hivyo kumsaidia ama kumjulisha mpiga kura yupi anafaa kwa maoni yake. Sasa hatuelewi hili la kutumia wasanii, lina lengo gani haswaa? Tunaomba chaguzi zijazo mdahalo uwepo/uongezwe kwenye protokoli za kampeni za Uchaguzi. Na kutumia...
  3. J

    Uchaguzi 2020 Mtanzania amka: Wasanii kazi yao ni usanii, Kampeni za Uchaguzi Mkuu si usanii, hatuhitaji maigizo wala kukatiwa mauno!

    Msikilizeni huyu kijana. Baadhi ya wasanii walikuwa wakifanya mambo machafu. Mambo yasiyoendana na maadili ya Watanzania. CCM iwe makini katika kuchagua wasanii wa kufanya kampeni. ======= Kila baada ya miaka mitano ukichagua hovyohovyo itakugharimu wewe, mke wako, mdogo wako, mama yako...
  4. T

    Polepole atangaza CCM kusimamia matibabu ya Wasanii waliopata ajali

    Chama cha Mapinduzi kimesema kuwa kinafuatilia kwa ukaribu na kuhakikisha wasanii watatu ambao ni Luludiva, Belle9 na Bonge la Nyau ambao wamepata ajali hii leo wakati wakitokea mkoani Iringa wanapata matibabu haraka. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho. Humphrey Polepole kupitia ukurasa...
  5. J

    CCM yapokea kwa mshtuko taarifa ya ajali mbaya ya Wasanii Belle 9 na Bonge la Nyau, yawatakia uponyaji wa haraka!

    Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kimepokea kwa mshtuko taarifa ya ajali mbaya iliyowahusisha Wasanii Belle 9 na Bonge la nyau. Polepole amewatakia uponyaji wa haraka na kwamba chama kinafuatilia kwa karibu tukio na chanzo cha ajali hiyo. Source Ayo tv Maendeleo hayana vyama! ===...
  6. T

    Uchaguzi 2020 TAKUKURU pigeni marufuku wasanii kwenye kampeni, msiishie kwenye ubwabwa

    Vivutio vya watu ni vingi, kama ubwabwa ni rushwa basi na wasanii ni rushwa kwasababu wanashawishi mahudhurio. Basi pigeni vita matumizi ya wasanii kwenye mikutano ya kampeni. Badala yake wagombea wapige nyimbo zao za kichama kama vile CCM MBELE KWA MBELEEE... CHADEMA CHADEMA PEOPLES POWER.... nk
  7. M

    Uchaguzi 2020 Wasanii wa Magufuli ni kama wachawi wa Farao, kamwe hawatofua dafu

    Musa alikwenda na Meseji Moja tu kwa Farao, nayo ni "Let my people Go". Farao akashupaza shingo, akaangalia majeshi yake akaona hakuna mfalme kama yeye duniani. Akaangalia wachawi wake, akasema yeyote atakeyukuja kwa hawa magwiji hatofua dafu. Lakini sote tunafahamu mwisho wa kilichotokea...
  8. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Uwanja wa Kambarage Shinyanga: Dkt. Magufuli asema Miaka 5 haitoshi, mpimeni kwa miaka 10

    Leo kishindo cha awamu ya tano kitakuwepo uwanja wa Sabasaba Kambarage ambapo mgombea wa CCM, Dkt. John Pombe Mafufuli atakuwa jukwaani kunadi sera zake. Dkt. Magufuli: Miaka 5 haitoshi, nipimeni kwa miaka 10 MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
  9. K

    Wasanii na Waandishi wa Habari watema Big G kwa karanga za kuonjeshwa

    Leo sikuwa nataka kuandika chochote lakini baada ya kusikiliza wimbo wa AllY Kiba hasa kipande chenye maneno "WATEMA BIG G KWA KARANGA ZA KUONJESHWA" Nimetafakari sana sana nikakumbuka visa vichache sana. Hapo nyuma wasanii walinyimwa kufanya shows mbali mbali kwa sababu mbali mbali...
  10. C

    Uchaguzi 2020 Kutoka Lindi: Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za Chama cha ACT-Wazalendo

    Kampeni zinaendelea na leo Chama cha ACT-Wazalendo wanazindua kampeni zao Lindi, wagombea wote kwa upande wa Jamhuri na Zanzibar wameshawasili uwanjani na kwa sasa kikundi cha burudani kutoka Lindi kinatoa burudani ya utangulizi. Tuwe pamoja kujuzana yatakayojiri. ===== Maalim Seif: Nasema...
  11. kidochi og

    Aslay na Mario nawakubali sana, pamoja na ustaa wao wanaishi maisha ya kawaida sana

    Ni wasanii wa bongo freva ambao ukiachilia mbali mond, kiba, konde. Wana wafuasi wengi Sana kwenye mitandao ya kijamii. Hiyo inaashilia ukubwa wao na ni kiashirio cha kwamba wanakubalika sana mtaani. Pia ni wasanii ambao hawategemei kiki au promo yeyote ile ili wasogeze muziki wao. Kutokana...
  12. Subira the princess

    Tafakuri: Je, wasanii Watanzania wanaipenda CCM au ni njaa inawasumbua?

    Wasalaam, Kuna mambo mengine yanahitaji kufikiri kwa upana hasa kipindi hiki tunapoelelea katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Nimefatilia uzinduzi wa kampeni za CCM pale uwanja wa Jamhuri Dodoma, nimeangalia nyuso za wasanii waliotumbuiza katika tamasha lile la CCM na kuona wengi...
  13. J

    Uchaguzi 2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

    Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Ndg. Godbless Lema amelalamika kuwa CCM inawahujumu kwa kuandaa mechi ya Simba bila kiingilio na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu mkutano wa mgombea urais wa CHADEMA Ndg. Tundu Lissu. Hata hivyo Lema ameapa kuwa leo ndio CCM watajua kwamba CHADEMA ni...
  14. K

    Uchaguzi 2020 Kwa mwitikio uliopo kwenye mikutano ya upinzani, bado tunaamini wananchi wanahitaji kuhamasishwa na wasanii?

    Wakati CCM ikiangaika kukusanya wasanii kwenye mikutano vyama vingine vimeamua kujipima vinakubalika vipi bila kuwa na wasanii na bila kubeba wananchi kwenye malori. Je. Kwa Hali hii mkakati wa ccm kubeba watu kwenye malori na kutumia wasanii unawasaidia kujua wanakubalika vipi au unawasaidia...
  15. Civilian Coin

    Kumbe Viongozi, Wasanii na Wanasiasa ndiyo waliopaswa kwenda Hospitali ya Vichaa Mirembe-Dodoma

    Sasa nimeamini Vichaa waliopo Hospitali ya Mirembe ni FAKE INSANE na VIONGOZI na WANASIASA na WASANII ndio VICHAA kabisa. Hao ndio walipaswa kwenda Hospitali ya Mirembe. 1. Sheria za Nchi zimekuwa zikipindishwa bila sababu yoyote. 2. Askari wakitisha watu kisa UASKARI wao. 3. Mafisadi...
  16. J

    Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru aliwahi kusema CCM haitatumia tena wasanii. TOT na Vijana Jazz wanatosha. Je, amebadili gia angani? CCM wametishwa na "Ni-Yeye"?

    Nini kimeifanya CCM iachane na idea ya Dr.Bashiru ya kutokutumia wasanii? Tena alidai ujumbe katika nyimbo za kina Diamond, Harmonize, Ali Kiba, Zuchu, Dula Makabila, etc haziwachomi MABEBERU. Hebu msikilizeni alichokisema hapa.
  17. S

    Uchaguzi 2020 Bila wasanii Magufuli hapati hata watu 100. Wafuate nini?

    Kuna viongozi wana mvuto wa asilia kwa watu (charismatic leaders). Hawa viongozi wana sifa zifuatazo:- Characteristics of Charismatic Leader 1. Confident.. Charismatic leaders ooze confidence; there is no doubt about that. 2. Compassionate.. Compassion is a characteristic that embodies all...
  18. Mystery

    Je, Wasanii wa nchi hii wanatumiwa na watawala wetu kama askari wa kukodiwa?

    Tumeshuhudia wasanii wote wenye majina makubwa wasiopungua 200, wakishiriki kwa pamoja kwenye tamasha lililoandaliwa na CCM, katika uwanja wa Uhuru hapo jana, kwa kile kiliichoitwa tamasha kubwa kabisa la kimuziki, kwa wasanii hao wote wanaodaiwa kuwa ni mashabiki wakubwa na wanaiunga mkono CCM...
  19. G Sam

    Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

    Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake! "Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda" Kilichofuatia...
  20. Venus Star

    Kutoka uwanja wa Uhuru: Tamasha la CCM linalojumuisha wasanii Tanzania

    Nitakuwa nakupatia update. Wasanii wote Tanzania kwa moyo wa upendo walitunga nyimbo kuhusu serikali ya CCM. Wapo katika kufanya mazoezi ya nyimbo zitakazotumika kwenye kampeni ya chama kikubwa barani Afrika CCM.
Back
Top Bottom