Kushinda uchaguzi ni moja na kuwavuta kwako watu wengi wezekanavyo ili wawe upande wako wao na familia zao wakupe kura.
CHADEMA tumeiona ikiponda kuanzia Askari, wafanyakazi wa tume, viongozi wa dini, wenye magari wanaobeba wana CCM kwenda mikutanoni nk hao wote ni wapiga kura ambao CHADEMA...
Hello JF,
At least mdahalo unawapima Wagombea nafasi hivyo kumsaidia ama kumjulisha mpiga kura yupi anafaa kwa maoni yake.
Sasa hatuelewi hili la kutumia wasanii, lina lengo gani haswaa?
Tunaomba chaguzi zijazo mdahalo uwepo/uongezwe kwenye protokoli za kampeni za Uchaguzi.
Na kutumia...
Msikilizeni huyu kijana.
Baadhi ya wasanii walikuwa wakifanya mambo machafu.
Mambo yasiyoendana na maadili ya Watanzania.
CCM iwe makini katika kuchagua wasanii wa kufanya kampeni.
=======
Kila baada ya miaka mitano ukichagua hovyohovyo itakugharimu wewe, mke wako, mdogo wako, mama yako...
Chama cha Mapinduzi kimesema kuwa kinafuatilia kwa ukaribu na kuhakikisha wasanii watatu ambao ni Luludiva, Belle9 na Bonge la Nyau ambao wamepata ajali hii leo wakati wakitokea mkoani Iringa wanapata matibabu haraka.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho. Humphrey Polepole kupitia ukurasa...
Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kimepokea kwa mshtuko taarifa ya ajali mbaya iliyowahusisha Wasanii Belle 9 na Bonge la nyau.
Polepole amewatakia uponyaji wa haraka na kwamba chama kinafuatilia kwa karibu tukio na chanzo cha ajali hiyo.
Source Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
===...
Vivutio vya watu ni vingi, kama ubwabwa ni rushwa basi na wasanii ni rushwa kwasababu wanashawishi mahudhurio. Basi pigeni vita matumizi ya wasanii kwenye mikutano ya kampeni.
Badala yake wagombea wapige nyimbo zao za kichama kama vile CCM MBELE KWA MBELEEE... CHADEMA CHADEMA PEOPLES POWER.... nk
Musa alikwenda na Meseji Moja tu kwa Farao, nayo ni "Let my people Go". Farao akashupaza shingo, akaangalia majeshi yake akaona hakuna mfalme kama yeye duniani.
Akaangalia wachawi wake, akasema yeyote atakeyukuja kwa hawa magwiji hatofua dafu.
Lakini sote tunafahamu mwisho wa kilichotokea...
Leo kishindo cha awamu ya tano kitakuwepo uwanja wa Sabasaba Kambarage ambapo mgombea wa CCM, Dkt. John Pombe Mafufuli atakuwa jukwaani kunadi sera zake.
Dkt. Magufuli: Miaka 5 haitoshi, nipimeni kwa miaka 10
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
Leo sikuwa nataka kuandika chochote lakini baada ya kusikiliza wimbo wa AllY Kiba hasa kipande chenye maneno "WATEMA BIG G KWA KARANGA ZA KUONJESHWA"
Nimetafakari sana sana nikakumbuka visa vichache sana. Hapo nyuma wasanii walinyimwa kufanya shows mbali mbali kwa sababu mbali mbali...
Kampeni zinaendelea na leo Chama cha ACT-Wazalendo wanazindua kampeni zao Lindi, wagombea wote kwa upande wa Jamhuri na Zanzibar wameshawasili uwanjani na kwa sasa kikundi cha burudani kutoka Lindi kinatoa burudani ya utangulizi. Tuwe pamoja kujuzana yatakayojiri.
=====
Maalim Seif: Nasema...
Ni wasanii wa bongo freva ambao ukiachilia mbali mond, kiba, konde. Wana wafuasi wengi Sana kwenye mitandao ya kijamii.
Hiyo inaashilia ukubwa wao na ni kiashirio cha kwamba wanakubalika sana mtaani.
Pia ni wasanii ambao hawategemei kiki au promo yeyote ile ili wasogeze muziki wao.
Kutokana...
Wasalaam,
Kuna mambo mengine yanahitaji kufikiri kwa upana hasa kipindi hiki tunapoelelea katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani. Nimefatilia uzinduzi wa kampeni za CCM pale uwanja wa Jamhuri Dodoma, nimeangalia nyuso za wasanii waliotumbuiza katika tamasha lile la CCM na kuona wengi...
Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Ndg. Godbless Lema amelalamika kuwa CCM inawahujumu kwa kuandaa mechi ya Simba bila kiingilio na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu mkutano wa mgombea urais wa CHADEMA Ndg. Tundu Lissu.
Hata hivyo Lema ameapa kuwa leo ndio CCM watajua kwamba CHADEMA ni...
Wakati CCM ikiangaika kukusanya wasanii kwenye mikutano vyama vingine vimeamua kujipima vinakubalika vipi bila kuwa na wasanii na bila kubeba wananchi kwenye malori.
Je. Kwa Hali hii mkakati wa ccm kubeba watu kwenye malori na kutumia wasanii unawasaidia kujua wanakubalika vipi au unawasaidia...
Sasa nimeamini Vichaa waliopo Hospitali ya Mirembe ni FAKE INSANE na VIONGOZI na WANASIASA na WASANII ndio VICHAA kabisa. Hao ndio walipaswa kwenda Hospitali ya Mirembe.
1. Sheria za Nchi zimekuwa zikipindishwa bila sababu yoyote.
2. Askari wakitisha watu kisa UASKARI wao.
3. Mafisadi...
Nini kimeifanya CCM iachane na idea ya Dr.Bashiru ya kutokutumia wasanii?
Tena alidai ujumbe katika nyimbo za kina Diamond, Harmonize, Ali Kiba, Zuchu, Dula Makabila, etc haziwachomi MABEBERU.
Hebu msikilizeni alichokisema hapa.
Kuna viongozi wana mvuto wa asilia kwa watu (charismatic leaders). Hawa viongozi wana sifa zifuatazo:-
Characteristics of Charismatic Leader
1. Confident.. Charismatic leaders ooze confidence; there is no doubt about that.
2. Compassionate.. Compassion is a characteristic that embodies all...
Tumeshuhudia wasanii wote wenye majina makubwa wasiopungua 200, wakishiriki kwa pamoja kwenye tamasha lililoandaliwa na CCM, katika uwanja wa Uhuru hapo jana, kwa kile kiliichoitwa tamasha kubwa kabisa la kimuziki, kwa wasanii hao wote wanaodaiwa kuwa ni mashabiki wakubwa na wanaiunga mkono CCM...
Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake!
"Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda"
Kilichofuatia...
Nitakuwa nakupatia update. Wasanii wote Tanzania kwa moyo wa upendo walitunga nyimbo kuhusu serikali ya CCM.
Wapo katika kufanya mazoezi ya nyimbo zitakazotumika kwenye kampeni ya chama kikubwa barani Afrika CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.