wasiojulikana

  1. Mzukulu

    Hivi Serikali ikimuamini huyu mwamba wa huko Mtwara hawezi kusaidia kuwaangamiza wasiojulikana na hata kutupa kinga thabiti ya janga la Corona?

    Mkazi Mmoja huko Mkoani Mtwara amewashangaza na hadi leo Kuwaacha Hoi Wananchi huko baada ya Kuanzisha Duka lake la Kuuza Bidhaa mbalimbali tokea Miezi Minne iliyopita ila huwa halifungi kabisa huku ikifika Usiku analiacha hivyo hivyo na kwenda zake Kulala eneo lingine lakini hakuna chochote...
  2. Return Of Undertaker

    Issa Shivji: watu wasiojulikana hawatajulikana kwa sababu wanajulikana asiyejulikana sio mtu ni jitu

    Sio Kila Anayekuja Kukupa Pole Ukiwa Mgonjwa/Msibani Anamaanisha Wengine Wanakuwa Wamekuja Kujionea Matokeo ya Kazi Walioifanya Gizani.
  3. Mzukulu

    Sitaki kuamini kwamba Genge la Wasiojulikana lipo ndani ya TISS. Ila ni kwanini TISS imenyamaza na inaendelea Kuyanyamazia haya Matukio?

    Kama nitakuwa nakosea Wabobezi na Wajuvi zaidi mtanirejebisha na nitawashukuruni sana tu. Nijuavyo Mzukulu ni kwamba kama kuna Idara au Taasisi ambayo ipo nchini Tanzania na ina uwezo mkubwa mno wa Kunusa kila baya, kuliwahi na hata ikiwezekana kulikabili Kimedani kwa ama kushirikiana na Jeshi...
  4. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Bunge tengueni sheria ya mitandao taifa lisiadhirike na wasiojulikana!!!

    Za mida tena wakuu! Kuna sheria ya mitandao ilitungwa kwa pupa na Bunge letu hili ili kutuziba midomo tusiripoti taarifa za kuikosoa serikali ya mtakatifu!mfalme!asiekosea! Malaika!mungu wa tz! Rais wa milele na mzalendo wa kule Chato! Sasa kwa kuwa maji hayazuiliki kwa mikono wala huwezi...
  5. Chagu wa Malunde

    Chadema kutumia watu wasiojulikana kutukana viongozi sio ustaarabu wa kisiasa

    Ustaarabu ni jambo la muhimu kwenye maisha ya kila siku. Iwe ni maisha ya kawaida au kisiasa. Hakuna ubishi kuwa serikali ya CCM chini ya JPM inakubalika kwa wananchi. Hii ni kwa sababu imeweza kufanya kazi kubwa ya kutekekeza ilani ya uchaguzi vizuri. Sasa ninyi Chadema mmekosa mahala ambapo...
  6. Etwege

    Dkt. Mollel: CHADEMA walipanga njama za kumpiga risasi Lissu

    Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA kutoka jimbo la Siha jana ametema nyongo bungeni baada ya kuelezea namna viongozi wa CHADEMA walivyopanga njama za kumuuwa Lisu kwa kumpiga risasi na amesema kama wanabisha siku ikifika ataweka ushahidi wote hadharani! Report ya Dkt Mollel sasa inaweza kujibu swali...
  7. Return Of Undertaker

    Kimara, Dar: Polisi wawakamata kwa uzururaji Daktari chriscyrilo na Daktari Shindo Kilawa

    Watu waliojitambulisha kuwa ni Askari polisi (bila kuonesha vitambulisho) wakiwa na silaha za moto wamewakamata madaktari wawili, Dr. Chriss Cyrilo (kushoto) na Dr. Shindo Kilawa (kulia) wakiwa maeneo ya Mbezi jijini Dar usiku huu. Watu hao hawakutaja sababu za kuwakamata, zaidi ya kutumia...
  8. S

    Tunawashukuru sana Marekani kwa kukikata meno kikosi cha Wasiojulikana!

    Marekani walijua kabisa kwamba kulikuwa na kikosi kilichobatizwa jina la "Wasiojulikana" hapa nchini, kikosi ambacho kilijikita katika kuteka watu na hata kuua. Na Marekani waliona wazi kwamba wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana walikuwa ni kutoka vyama vya upinzani pamoja na waandishi wa...
  9. Erythrocyte

    Unyama: Diwani wa CHADEMA Mbeya Mjini anusurika kuuawa na watu wasiojulikana, apigwa panga la utosi, hakuna uchunguzi

    Hapa ndio mahali ambapo Nchi yetu na siasa zetu zilipofikia. Tunamshukuru Mungu kwa kumlinda Mh Ibra dhidi ya wahalifu wanaolindwa ambao walimvamia alipotoka kwenye mgahawa kuelekea nyumbani kwake . Mungu ibariki Chadema ===== Ibrahim John Mwampwani diwani wa kata ya Isyesye Jijini Mbeya...
  10. Abdalah Abdulrahman

    Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana

    Khofu hutumika kama mbinu ya kuwanyamazisha watu, kuwapora haki zao, kuwalazimisha kufanya mambo yenye maslahi na anayejenga khofu na pengine kupunguza uwezo wa kufikiri kwa yule anayetiwa khofu. Khofu ikizidi kwa yule anayekhofishwa huongeza ujasiri na humfanya kufanya mambo makubwa kuliko...
  11. mike2k

    Je, kumiliki silaha ni suluhisho dhidi ya watekaji wasiojulikana?

    Katika pita pita zangu za twitter kuna mdau katoa solution dhidi ya watekaji ambao tumewapa jina la watu wasiojulikana. Anashauri kuwa wakati wa kuwa na silaha katika shughuli za harakati za kisiasa ni huu.ili wakitokea hao watekaji wapate kashkashi. Je ni suluhisho?
  12. Mystery

    Je watu wasiojulikana wana "connection" na vyombo vya dola?

    Kumekuwa na matukio mfululizo ya watu kutekwa, na watu tunaoaminishwa na serikali yetu iliyoko madarakani kuwa watu hao ni watu wasiojulikana, matukio ambayo yameongezeka sana katika utawala huu wa awamu ya tano, matukio ambayo hapo siku za nyuma hayakuwepo. Swali kubwa tunalojiuliza wananchi...
  13. L

    Najaribu kuwaza kwa sauti kwanini wanaotekwa na watu wasiojulikana na wanaokamatwa na dola wanatumia mbinu na mazingira yale yale!

    Ukifuatilia kwa karibu mbinu za watekaji au ukamataji wa raia ya wasiojulikana na dola zinafanana kwa kiasi fulani. Tofauti kubwa wasiojulikana wakiteka raia hawarudi lakini dola ikiteka au kamata raia atafikishwa mahakamani siku ya 2 au 3!! Lakini mbinu na mazingira ya ukamataji au utekaji wa...
  14. S

    "Wasiojulikana" wamepunguzwa kasi au ndio tuseme siku hizi kimeeleweka?

    Miaka kama miwili iliyopita kasi za kikundi cha "Wasiojulikana" ilikuwa ya juu ajabu. Kulikuwa na tetesi nyingi kuhusu nani hasa walikuwa nyuma ya hiki kikundi, na mengi sana yalisemwa. Kwa wengi ilikuwa ni vigumu kuamini kuwa kikundi cha "Wasiojulikana" kilikuwa hakina uhusiano na serikali kwa...
  15. B

    Matibabu ya Lissu: Wasiojulikana na maswali yasiyojibika

    Nimekosa usingizi nikaamua nianzishe thread hii. Tujiulize, hivi Spika Ndugai anaposema Tundu Lissu hawezi kuhudumiwa na bunge katika matibabu yake kwa sababu alikiuka taratibu za kwenda kutibiwa nje, ana msingi gani katika hoja yake, ikiwa: - Baada ya Tundu Lissu kupigwa risasi na kufikishwa...
  16. ubongokid

    2017 Mwaka wa watu wasiojulikana

    Asalaam Alleykum: Mwaka 2017 ulikuwa na mbwembwe nyingi sana. Moja wapo ya mbwembwe hizo ni zile za watu wasiojulikana ambao walipiga vita za madawa ya kulevya wakashindwa, wakavamia Clouds na kutisha watu, wakamiminia Tundu Lissu risasi na mambo mengi ambayo yalilitia doa nchi yetu kama vile...
Back
Top Bottom