wasiojulikana

  1. JanguKamaJangu

    Mwanaume akatwa nyeti na watu wasiojulikana

    Mkazi wa Kijiji cha Orkine, wilayani Kiteto mkoani Manyara, Nanaa Mepukori (54) amelazwa katika hospitali ya wilaya hiyo baada ya kujeruhiwa kwa kukatwa sehemu zake za siri na watu wasiojulikana. Tukio la mwanaume huyo kukatwa nyeti lilitokea Juni 28, 2022 usiku ambapo inadaiwa kuwa alikuwa...
  2. T

    Maxence Melo: 2017 niliwahi kufuatwa na watu wasiojulikana ila Balozi wa Umoja wa Ulaya akaninusuru!

    Akihojiwa kwenye kipindi cha kinagaubaga ndugu Maxence Melo amesema walikuja watu wasiofahamika wakitaka kumchukua ili wakamhoji kwanini amefanya mahojiano na Balozi wa Umoja wa Ulaya, lakini Balozi aliwakatalia katakata akisema hamuwezi kumchukua nikiwa naye mimi. Kweli nchi ilikuwa ngumu sana...
  3. JanguKamaJangu

    Mwandishi wa Habari wa Wasafi Media - Arusha, Potte Mmanga adaiwa kuchukuliwa na watu wasiojulikana

    Mwandishi wa habari wa Wasafi Media Arusha, Potte Mmanga anadaiwa kukamatwa mchana huu nyuma ya Chuo cha Technical College na watu waliojitambulisha kwake kama askari polisi wakidai wanampeleka ofisi ya RCO kwa mahojiano. Ofisi ya RCO Arusha imesema haina taarifa za kukamatwa kwake. Chanzo...
  4. B

    Kwa Imani yangu naamini kila mwezi kuna mtu kutoka Kundi la waloitwa WASIOJULIKANA anaaga Dunia

    Wasiojulikana walifanya ukatili mkubwa sana juu ya binadamu; ghafla mtandao wao ukakosa wakuwaunga mkono na may be hata ahadi walizopewa zikayeyuka. Mwenyenzi Mungu aliumba mwanadamu lakini akumkabidhi mwanadamu Haki na mamlaka ya kuuwa wengine. Mamlaka ya kisiasa iliyokosa baraka za Mungu...
  5. Pascal Mayalla

    Karma Sio Mchezo!, Hatimaye 'Wasiojulikana' Hawa!, Waanza Kutajana!. Asiyejulikana Mmoja Awataja Wenzake!. Do We Have, a Hopeless Police Force?

    Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Kwa Maslahi ya Taifa, Leo Kwa Maslahi ya Taifa ni uwezo wa Jeshi letu la polisi ku deal na hawa watu wanaitwa *wasiojulikana", maana sasa ni kama wanaanza kutajana kiaina!. Naomba kuanza bandiko hili Kwa msisitizo, nimeuliza swali, "...
  6. JanguKamaJangu

    Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

    Picha: Dkt. Willbrod Slaa Mwanasiasa Willbrod Peter Slaa amefanya mahojiano na kuzungumza mambo mengi kuhusu siasa, mahojiano haya ni mwendelezo ya interview aliyofanya wiki iliyopita. TAARIFA YA CAG INAPOTOSHWA “Kuna upotoshwaji kwenye taarifa ya CAG, nadhani Zito Kabwe angelisaidia sana...
  7. BigTall

    Wasiojulikana wamtisha Maguire kuwa aondoke Man United ndani ya saa 72 au auliwe

    Beki wa Manchester United, Harry Maguire alipewa vitisho kutoka kwa watu wasiojulikana walipomwambia wanampa saa 72 ajiondoe klabuni hapo au asubiri kifo kwa kulipuliwa na bomu. Ujumbe huo ulitumwa kwake kwa njia ya barua pepe wakati akiwa mazoezini baada ya United kufungwa mabao 4-0 na...
  8. S

    Tetesi: Inadaiwa Wakili Peter Madeleka amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa Serena Hotel

    Wakili Peter Madeleka adaiwa kutekwa na watu wasiojulikana muda mfupi baada ya kutoka katika Hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam Jioni hii. ---- Hilda Newton kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya Wakili Peter Madeleka amekamatwa muda huu Serena Hotel Dar Es Salaam na askari...
  9. Suley2019

    Kenya: Wasiojulikana wazidi kuua, miili ya wawili yapatikana, idadi ya waliouawa wafikia 29

    Miili miwili kati ya mitatu ya watu iliyopatikana juzi Ijumaa ilikutwa ikielea katika Mto Yala Nchini Kenya. Mmoja ulikutwa umetobolewa macho huku ukiwa umekunjwa na kitambaa katika mdomo, mwingine ukiwa umezungushiwa nailoni juu ya kichwa na kufunika uso. OCPD Charles Chacha wa Yala...
  10. P

    Maoni yangu: Mbowe kuwa na kesi ya kujibu ni fursa ya kujua zaidi wasiojulikana wanafanyaje kazi

    Binafsi naona kitendo cha mahakama kuamua kuwa Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu Kwanza ni maumivu makubwa ya kisaikolojia na kimwili Kwa wahusika Kwa kukosa Uhuru na kushindwa kuendesha maisha Yao walivyozoea, lakini upande wa pili ni fursa Kwa Wana wa nchi hii kujua ni jinsi gani Siri Kali...
  11. M

    Wasiojulikana Mikononi mwa Dkt. Christopher na Kilawa

    Wakuu .. Tukubaliane tu bila kupepesa macho. Ukweli mchungu hii Miamba miwili Dr@Christopher Cylilo na Kaka mkubwa kilawa Shindo wameishi maisha ya sekeseke Sana kipindi Cha Awamu ya 5. Huwa kila nikikumbuka Hawa jamaa walivyopambana na wasiojulikana wanaojulikana huwa nacheka Sana...
  12. JF Member

    Kesi za mauaji na kupotea kwa watu vimeshamiri. Serikali chukueni hatua

    Kama wewe ni mfuatiliaji wa taarifa za habari utagundua kwamba kati ya December 2021 na January 2022 kunaongezeko kubwa sana la mauwaji linaendelea hapa nchini na serikali iko kimya kabisa kama vile haijui. Mauwaji yamekithiri sana kila kona ya nchi. Kuna keshi ya watu kutekwa na kunyofolewa...
  13. Idugunde

    Mauaji yazidi kutikisa nchini; Maiti tatu za wanawake zaokotwa kando ya mto jijini Mwanza

    Hii imekuwa too much maana kila siku ni mauaji kwenda mbele. Maiti za wanawake watatu zimeokotwa huko Mwanza. Maiti za wanawake watatu zaokotwa kando ya mto. ----- Wanawake watatu wanaokadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 18 hadi 30 wameuawa na watu wasiojulikana na miili yao kukutwa pembezoni...
  14. Kamanda Asiyechoka

    Zitto Kabwe nae ahojiwe na polisi ili genge la wasiojulikana lijulikane, waliompiga Lissu risasi na waliompoteza Ben watajulikana.

    Kama kuna raia mwema alimtonya Zitto juu ya kuchoma shamba lake na nyumba yake kuwa ulikuwa mpango wa lile kundi la wasiojulikana basi sasa ndio kipindi muafaka cha kuwaumbua hawa watu Zitto naye ahojiwe kama Askofu Mwingira ili aweke mambo hadharani maana tuhuma.zao zinafanana kabisa. Huu...
  15. RWANDES

    Dodoma: Watu wasiojulikana wavunja na kuingia nyumbani kwa Humphrey Polepole na kuiba

    Habari iliyopo kwa sasa ni kwamba nyumba ya mbunge mheshimiwa Polepole mkoani Dodoma imevamiwa na watu wasiojulikana wameharibu mali za thamani na kuacha ujumbe mzito wa kuwa aache kuichafua serikali ya sasa ===== WATU WASIOJULIKANA WAVAMIA NYUMBANI KWA MBUNGE HUMPHREY POLEPOLE, Watu...
  16. Sam Gidori

    Australia: Sheria itakayoiwajibisha mitandao ya kijamii kwa watumiaji wasiojulikana kutungwa

    Serikali ya Australia imepanga kutunga sheria itakayolazimu mitandao ya kijamii kuonesha utambulisho wa watumiaji wasiotumia majina halisi watakaochapisha maudhui yenye kuudhi, au kulazimu mitandao hiyo kulipa faini kama fidia kwa madhara yatakayotokana na maudhui hayo ikiwa watashindwa kutoa...
  17. K

    Kwa yanayoendelea nchini bado tunajiuliza wasiojulikana ni akina nani?

    Ukiona binadamu wanavyoshuhudia mahakamani kwa kuandika stori zisizo na muunganiko huitaji kuuliza wasiojuikana ni wakina Nani, nadhani ikiwa mtu anaweza kuja adharani akasimama nakusema ulifanya hivi na hukufanya basi mtu huyo ana chuki na ana roho ya kukua. Wapo watu wanarithi laana za wazazi...
  18. B

    CCM jitengeni na kundi la Wasiojulikana

    Kabla ya vyama sisi sote ni watanzania. Moja ya imani za CCM ni kuwa binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja. Tumefikaje huku kwenye kuuwana, kutekana, kutesana, kupotezana, kubambikiziana kesi na yote yenye ukakasi huu? Ilikuwaje kina Sabaya wakatambulika kama vijana wazalendo...
  19. MAHANJU

    Kupitia hii kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA wasiojulikana ndio wanajulikana hivyo?

    Kupitia hii kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na wenzake 3, ninajifunza mengi sana. Sasa kumbe waliokua wabishi na wasiovumilia mateso haya waliyoyatoa kina Goodluck kuna watu walikua wanadanja na kutupwa? Kwanini wasiojulikana tusiseme kua ni hawa wa kina Goodluck? Hii kesi ni Mungu...
  20. chizcom

    Wasiojulikana, wanajulikana ila ndiyo tumebaki kuwatazama tu

    katika kesi inayoendeleea kuhusu shutuma ya ugaidi na mengine, kila siku tunazidi kufahamu mambo mengi na zaidi! kesi hii imetusaidia kujua : Muongoza wa polisi PGO : Wasiojulikana : Ubambikaji wa kesi : Ubabe unaofanywa na tawala au watu tawala : Mapungufu ya utawala na kuzima wanaharakati...
Back
Top Bottom