watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    Watanzania bara na visiwani ombeni juu ya uchaguzi 2025

    Ndugu zangu watanzani kuna Mungu ktk Taifa la Tanzania ukiacha vyombo vya ulinzi na usalama na serikali pamoja na viongozi wake Mungu yupo. Mungu anazungumza na watanzania, Mungu anazungumza na watawala. Hakuna alie juwa siku moja nitakuwa kiongozi wa juu wa Taifa yote huja kwa rehema na neema...
  2. Pascal Mayalla

    Je Vyombo vya Habari Viliwatendea Haki Watanzania Kuwaelimisha Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa?. Mimi na PPR Yangu, Tulijitolea Vipindi 6 vya TV.

    Wanabodi, Makala yangu Gazeti la Nipashe la 24/11/2024 Vipindi 6 vya TV vya PPR Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. 1. Prog. 1 - Ufunguzi wa Waziri wa Habari, Jerry William Slaa - https://youtu.be/bTs3S76UuoY 2. Prog. 2 - Mada Kuu-1 -Wajibu wa Media kwenye Uchaguzi wa Serikali za...
  3. Fredwash

    Madaraja ya kipato kwa Watanzania: Je, unajua daraja lako?

    Katika mgawanyo wa vipato duniani kuna madaraja yanayoainisha makundi tofauti kutegemea na vipato vyao Kwa marekani hapa chini ni mchanganuo wa hayo madaraja kwa mwaka (Annually income classes) na makampuni huko US wanatumia sana haya madaraja kujua purchasing power za watu Daraja la chini...
  4. T

    Tetesi za uwepo wa Makanisa ya kitapeli na vile yanawatapeli Watanzania inatisha sana

    Ndugu zangu watanzania leo nakuja na habari yakutisha sana naandika hii habari kwa mwenye macho fungua macho ila upo trapped. Awali ya yote kabla yakuandika kile nataka kukiandika nataka kuseme Yupo Mungu wa kweli na Yesu anatawala sasa na hata milele. Amen Kile kinatokea ktk Tanzania kwa sasa...
  5. Raia mpya

    Watanzania tujitafakari

    Nimeona hii habari kuna mradi wa ujenzi chuo cha SUA na kama inavoonekana kwenye picha hapo mkandarasi kutoka china ndio kapewa tenda. Hivi tuwe wakweli jamani hivi mradi wa majengo kama huo kuna haja gani ya kuwapa wageni wakati wazawa wapo tele wenye uwezo? Hivi hili tatzo la ajira litaisha...
  6. L

    LGE2024 Asanteni Watanzania kwa kuendelea kuiamini CCM

    Ndugu zangu Watanzania, Chama cha Mapinduzi kinatoa shukurani za dhati kwa wanachama wake, wakereketwa,wafuasi na watanzania wote kwa ujumla wake kwa kukipigia kura nyingi za ndio na hivyo kukiwezesha kushinda kwa kishindo kikuu kilicho itetemesha Dunia nzima. Chama cha Mapinduzi kinaahidi...
  7. M

    Ni bora Vijana Watanzania tungepigania Maslahi ya nchi yetu sababu huko kwenye kushabikia mpira muda wote hatujapa tija ya kutosha kwenye maisha yetu

    Licha ya sisi vijana kushabikia Simba na Yanga muda wowote bado hutujafanikiwa kutambulika kimataifa kama nchi ya Nigeria na nchi zingine za Afrika Magharibi na Kaskazini wanaofanya vizuri kwenye Soccer na pia hata kwenye kupigania mustakabali wa maisha yao hawapo nyuma. Bora hata jirani zetu...
  8. sergio 5

    Azam ya Rachid Taoussi inaweza wa-surprise sana Watanzania

    Najua wengi Huwa tupo busy na simba na yanga Yanga wapo ovyo saivi ata kesho akipoteza na namungo sio surprise Simba hawaeleweki wanacheza Nini infact wachezaji wenye uhakika wa number ni CAMARA na CHASAMBI 😎 Ila Azam ukiwaangalia wanakimbiza mwizi kimya kimya tu Hapo bin Zayed hajacheza...
  9. The Sunk Cost Fallacy 2

    Ontario: Mahakama Kuu ya Canada Yatupilia Mbali Shauri la Wanaharakati Walioshitaki Barrick Kukiuka Haki za Binadamu Kwa kutumia Polisi North Mara.

    Mwenyekiti wa Makampuni ya Barrick amesema amefurahishwa na maamuzi ya Mahakamani ya kutupilia mbali Shauri lilopelekwa na Wanaharakati wa Tanzania ambao Walioshitaki kampuni hiyo Kwa kile kinachodaiwa Kukiuka Haki za binadamu kwenye mgodi wa North Mara Kwa kutumia Polisi. Kampuni ya Dhahabu...
  10. Wakusoma 12

    LGE2024 Jakaya Kikwete upo unaangalia tu siasa za ovyo wanafanyiwa Watanzania kweli? Demokrasia ipo wapi?

    Mimi ni Mtanzania ila nimeumizwa sana na hiki kilichofanyika Serikali za Mitaa. Inawezekana vipi ukatumia mabilioni ya pesa kwenye taifa masikini ili tu ufanye uchaguzi wa kiini macho? Kwanini hizo pesa usiwekeze kwa hili tatizo la ajira, elimu na afya? Sisi ni wazima kweli kiakili? Jakaya...
  11. S

    CHADEMA, ACT Wazalendo, wana nia nzuri sana na nchi yetu, tatizo liko kwa CCM na Watanzania, hivyo wanapaswa kubadili mbinu za kuinusuru Tanzania

    Bila kuwa mwanachama wa Chadema au ACT Wazalendo, nakiri kwamba Chadema, hawa kina Tundu Lissu, Zitto Kabwe, Mbowe, na wakati fulani kina Msigwa, Dr. Slaa, Mtikila, Mrema, Dr. Kaborou na wengine, siku zote wamekuwa na nia nzuri sana na nchi yetu. Sina shaka juu ya hilo. Sasa tatizo ni kwamba...
  12. Father of All

    Hivi kuna watanzania wanaoishi na kufanya biashara India?

    Kwa walivyo na roho mbaya, wabaguzi, na wenye roho ya korosho, je kuna wabongo wanaoishi na kufanya biashara India? Kama wapo, nao wanatesa kama magabacholi wanavyofanya nchini?African victims of racism in India share their stories
  13. Stephano Mgendanyi

    LGE2024 Balozi Nchimbi Ahitimisha Kampeni Akihamasisha Watanzania Kujitokeza Kupiga Kura

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Emmanuel John Nchimbi, amehitimisha kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa za CCM mkoani Dar es Salaam kwa kutoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kupiga kura siku ya Jumatano, tarehe 27 Novemba 2024, kuchagua viongozi, hususan...
  14. Z

    Watanzania wengi bado wanakiamini Chama cha Mapinduzi - CCM

    Watanzania wengi bado wanakiamini chama cha Mapinduzi CCM. Wanaamini kuwa CCM ndio chama pekee chenye uwezo wa kusimamia amani na utulivu wa nchi yetu. Hakuna chama chochote cha upinzani chenye uwezo huo. Nami naungana na watanzania wenzangu kukipa kura chama imara ccm, kesho tarehe 27/11/...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    Usikurupuke kutetea haki za Watanzania. Jiulize na ujiridhishe wanastahili kutetewa?

    Kwema Wakuu! Usije ukakurupuka huko baada ya kula zako Ugali matole, au mkande yako ya kisamvu ukaanza kujifanya mtetezi wa HAKI za Watanzania. Kabla hujafanya hivyo ni muhimu kujiuliza, je ninaoenda kuwatetea HAKI zao wanahaki ya kutetewa? Yaani wanastahili kutetewa? Mtu yeyote ambaye...
  16. Waufukweni

    LGE2024 Shamira Mshangama: Tusifanye makosa, Siasa ni maisha na CCM ndio Chama pekee kinachoweza kutatua kero za Watanzania

    Shamira Mshangama akiwaombea kura wagombea kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa wanaotokana na CCM katika mtaa wa Mbeza, kata ya Manundu Wilayani Korogwe Mji katika mkoa wa Tanga.
  17. Chizi Maarifa

    Usanii wa Mwigulu Nchemba ni wa kitoto sana. Kwamba haya ndo Watanzania wanataka?

    Huyu jamaa ni Dr. Ana usanii wa kitoto sana. Yaani hapa ndo anaonesha nini?katika miaka hii amechaguliwa anaonesha nini? Kuwa yeye ni mtu wa hali ya kawaida? Mbona watoto wao wanasoma shule za gharama sana na si hizi za telemka tukaze? Mbona miaka yote ananyoa sehemu za gharama sana na si hii...
  18. R

    Anaandika Advocate Jebra Kambore na kuelimisha Umma wa Watanzania

    c&p from Jebra Kambole on X Kuna watu wanadhani serikali haihusiki na kupigwa risasi kwa Mzee Kibao, Kutekwa kwa Soka, Kupigwa risasi sativa na mateso ya watu wengine! Serikali inahusika kwa namna zifuatazo; 1. Kwa Maneno (kuagiza au maelekezo) 2. Kwa Vitendo ( kufanya) 3. Kwa kutotimiza...
  19. Roving Journalist

    LGE2024 Dkt. Doto Biteko ahimiza Watanzania kupiga Kura Novemba 27, 2024 asema ni Haki ya Kikatiba

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amewahimiza Watanzania kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024. Dkt. Biteko ametoa rai hiyo leo Novemba 25,2024 akiwa mkoani Geita ambapo amesema uchaguzi huo ni muhimu hususan kwa ukuzaji wa demokrasia...
  20. kwa-muda

    Watanzania wengi tuna upungufu wa IQ

    Ukitaka kujua akili ta watanzania wengi ilivyo na shida, subiri foleni. Yani kuna foleni badala watu wakae kwenye line yao wanahamia kwenye line ya magari yanayoelekea uelekeo mwingine. Mwishowe foleni haiendi si kwa magari yanayokwenda wala kurudi. Sijui watanzania tuna shida gani. Kuna...
Back
Top Bottom