Habari wadau,
Ukiambiwa mjini starehe gharama usikodoe macho.
Kama ilivoada jana nilitoka out peke yangu nikaenda kidimbwi kumalizia weekend.Nilitoka kwangu mida ya saaa tatu usiku nikafika nikakaa maeneo ya kaunta nilimkuta mshikaji mmoja na madem wawili wanakula kilaji.Mwamba alikunywa...
Amani imetoweka kabisa.
Mita chache toka napokaa wamejenga ukumbi wa kufanya sherehe yaani ikifika ile jumamosi basi amani inatoweka ni kelele mtindo mmoja.
Huyu mama wa serikali za mitaa nilikua namheshimu sana lakini kwakweli amenikera kuendekeza hili jambo.
Hatulali makelele mtindo mmoja...
Jumapili moja nilikuepo kwenye mgahawa mmoja hapa Dar, kiukweli ni mgahawa wenye hadhi kidogo (upo classic) mgahawa una ukuta wa kioo, ndani kiyoyozi plus tv Pana flat screen. Nilivokua nje ya mgahawa mara akaingia mdada mmoja mzuri kweli nikasema dooh.
Mungu ni fundi ile nimeingia ndani mdada...
Igweeeeeeeee!!!
RIP WARUMI! (Mimi na wewe tulikuwa na tofauti zetu za hapa na pale but all Ina all you were a good man, young and vibrant! You will be much missed! Haswaa vi chambo vyako! )
Im back from around the world! Kabla hamjapanic nimerudi na Vuuu tu! Nothing to show picha tu! So...
I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy
I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy
All around in my home town
They're trying to track me down
They say they want to bring me in guilty
For the killing of a deputy
For the life of a deputy, but I say
I shot the sheriff, but I...
intermittent explosive disorder ilimtafuna vilivyo, udogo wake hakuufaidi sababu ya maradhi hayo, hakuna aliependa kumkalia karibu bila sababu,
Watoto wenzie walimtenga, wazazi wake wakamshindwa pia, Lindy Lewis akapelekwa hospitali ya watu waliothirika na ugonjwa kama wake, huko pia alishindwa...
Jumapili ndio narudi zangu Dar nliwamisi sana washakaji wangu wa Dar, tukutane mnadani Kibamba Chama.
Kwa sasa bado nipo Dodoma hapa Rainbow soon ntakua Bambalaga tupe location
Upo wapi saivi
Unafanya nini
Tutamanishe vibe la hapo bila kusaha kapicha
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.