Jambazi akasema "wote laleni chini pesa ni za serikali na maisha ni ya kwenu", wote wakalala
chini (HII INAITWA DHANA ...YA USHAWISHI - kubadilisha njia ya kawaida ya kufikiria)
••• •••
Kuna dada kwa woga akawa amelala chini kimitego, Jambazi akamwambia, "dada hebu kuwa na adabu chukua kanga...