wengine

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PAZIA 3

    Ajira mpya wapata mishahala wengine bado

    Ni Jambo la kufurahisha, tayari baadhi ya watumishi serikalini,ajira mpya 2023 wamepata mishahara yao ndani ya mwezi wa sita baada ya kuripoti kwa wakati, japo wapo watumishi wengine wengi nao mchakato unaendelea. Kongole kwa serikali kwa kujua mazingira magumu ya watumishi wapya na kuwawaishia...
  2. GENTAMYCINE

    Wachezaji wa Kipekee wa Kigeni wa Simba SC ninaotaka wabaki ni hawa Wafuatao wengine waachwe upesi sana

    1. Chama 2. Inonga 3. Phiri 4. Sakho 5. Baleke Wasajiliwe wengine Saba (7) tu Wazuri kama hawa Watano (5) niliowataja hapa ili Kutimia Idadi ya Wachezaji wa Kigeni Kumi na Mbili (12) Wanaotakiwa ili Simba SC irejeshe Hadhi na Heshima yake.
  3. T

    Ni Watanzania wanaopinga na wengine kuukubali mkataba, mjadara usiwe ni Dini zinatofautina!

    Mali zote za nchi hii ni zetu sote watanzania bila kujali dini zetu Hakuna mwenye haki zaidi ya mwingine kwenye Mibaraka ya Mungu juu ya nchi yetu Tanganyika Tunaweza kutofautiana kwenye Imani, lakini hiyo haiondoi Utanzania wetu Hatuna nchi nyingine zaidi ya hii tuliyopo sasa, sote ni...
  4. MK254

    Changamoto la Wagner waliorudi nyumbani, wengine wanabaka watoto, hawaachi asili yao

    Ikumbukwe hawa walikua mahabusu kule magerezani, ila Urusi kwa kuishiwa mbinu ikawapa uhuru baada ya wao kuwahusisha kwenye vita, sasa wamerudi mitaani na kuanza kupiga matukio, kunao wanabaka watoto wadogo wa hata umri wa miaka 10, Urusi inapitisha sheria ya kuwahasi.... One brutal alleged...
  5. Erythrocyte

    Arusha: Watuhumiwa wa ugaidi waliosota gerezani kwa miaka 10 waachiwa huru

    Mahakama kuu kanda ya Arusha leo 16/06/2023 imewaachia huru watu 12 wakiwemo Mashehe waliosingiwa kesi ya Uongo ya Ugaidi. Walifunguliwa kesi No. 65 ya 2022 na kunyimwa dhamana, ambako wamewekwa selo kwa zaidi ya miaka 10. Tunamuomba Mwenyezi Mungu atoe haki kwa wote waliotunga unyama huu...
  6. Ivan Stepanov

    Je, hivi huwa wanawaza kama ambavyo sisi wengine tunawaza juu yao?

    Nimekuja kugundua kuwa yamkini Tunawaonea sana huruma watu ambao kwa namna moja au nyingine wala hawajal maisha yao kabisaa. Juz kati nikiwa naelekea Arusha nikawa nachek tv, nimekaa kwenye bas wameweka vidoeo ya Jux ile Sugar Dady, (mimi sio mpenz wa kuangalia hiz video za vijana wetu kwakua...
  7. Huihui2

    Jebra, Mtobesya na Wanasheria wengine, fungueni kesi dhidi ya Mkataba wa DP World

    Ni wazi Serikali ya Samia haina mpango wa kusikiliza maoni ya wananchi zaidi ya kufanya spinning na wasanii na wanasiasa. Kabla hatujaingia barabarani kama wananchi wa Sri Lanka, nashauri tufungue kesi ya kikatiba dhidi ya huo mkataba. Kuna wanasheria manguli kama Mtobesya, Jebra Kambole...
  8. D

    Amos Makalla amshambulia Freeman Mbowe mbele ya Rais Samia

    Picha: Kushoto ni Freeman Mbowe, Kulia ni Amosi Makalla Katika hatua ya kuonesha kujipendekeza kulikopitiliza, RC Amos Makalla amesema: "Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama...
  9. Street brain

    Ukifanikiwa wafanye wengine pia wafanikiwe kupitia wewe

    Jambo letu Haitoshi tu kuwa na mafanikio makubwa bali tumia nafasi hiyo kuwasaidia wengine kufanikiwa pia. Tunaelewa ili ufanikiwe ulipita vikwazo vingi, ulishinda mengi; tumia muda huu kuwa mwalimu wetu. Maendeleo ni kama bahari na hakuna bahari yenye kisiwa kimoja na kisiwa hakizuii kingine...
  10. F

    Mkanganyiko mkubwa bungeni: Wabunge wengine wanasema huu si mkataba, ni makubaliano ya awali tu, wengine wanasema ni msingi wa mikataba itakayofuata

    Nafuatilia bunge live saa hii. Ninachokiona ni mkanganyiko mkubwa wa hoja juu ya suala la bandari na "mkataba" na kampuni ya Dubai ya DPW. Nimegungua kuwa upo mkanganyiko mkubwa kati ya wabunge, huku wengine wakisema haya ni makubaliano ya awali kuhusu mikataba itakayofuata. Wapo wanaosema...
  11. sky soldier

    Tujivunie vyetu, waweke hapa wanateknolojia kutoka Tanzania unaowajua wanaoweza kuwa inspiration kwa wengine

    Kidogo kidogo tunanyata kwenye mambo ya Teknolojia, lakini hata pole pole ni mwendo. Najua hapa kwetu Tanzania kwenye suala zima la Teknolojia bado tupo nyuma lakini bado wapo wadau wanaopambana kwenye hii sekta na wanaweza kuwa inspiration. Uzi huu weka mtanzania yeyote unaemjua ambae...
  12. GENTAMYCINE

    Rais Ruto anasema hapati Usingizi kwakuwa Wakenya Wana Maisha magumu, je, Wengine inakuwaje Wanaupata na Kunenepeana hovyo?

    Katika Kuadhimisha Siku ya Madaraka huko nchini Kenya Rais Ruto kasema anakosa Usingizi akiwaza Kupanda kwa Gharama za Maisha kwa Wakenya na hali Ngumu ya Maisha. Chanzo: Gazeti la The Standard. Nami GENTAMYCINE Rais wa JamiiForums namjibu Rais Mwenzangu wa Kenya Ruto kuwa napata mno Usingizi...
  13. MK254

    Huku mapigano yakiendelea Belgorod, wengine waliamsha amsha Bryansk, Urusi ndani

    Mambo mengi muda mchache, mbele kwa mbele, ulimwaga unga wenzako wanamwaga mboga, Mrusi vita vimemkuta ndani, hawa ni Warusi walioamua kumuondolea Putin uzembe maana amesababisha maafa ya Warusi kwenye vita kule Ukraine, vita ambavyo havina tija kwa Urusi. Warusi wameuawa kwa maelfu pale...
  14. Mparee2

    FISTULA inatibika na kupona kabisa bila gharama/bure!

    Kuna hili tatizo linalopata wanawake wakati wa kujifungua hasa wale waliopata Uzazi pingamizi na kuwafanya washindwe kuzuia haja (kubwa na ndogo). Tatizo hilo linatibika na Kupona kabisa na huduma hii kwa sasa inatolewa bure kabisa. Kama mgojwa yupo kijijini na akawa hana nauli ya kwenda...
  15. Pang Fung Mi

    Wanaotumia mwiko wa mkongo na puturu wanatanua sufuria na sisi wengine tusiotumia hatutoshei tena kuivisha ugali kwenye hizo sufuria

    Naomba ujumbe huu ufike tuokoe vijana na mabinti, ndoa, na mahsiono hali ni mbaya sana.na sio fair kabisa. Upishi wa penzi na tendo ni Jambo asilia na ni vema libaki kuwa asilia. Matumizi ya mkongo, puturu na viagra huleta mifarakano na sintofahamu. Maisha ya sasa si ajabu kumkuta binti mdogo...
  16. Replica

    Tulia Akson: Kazi zote huwa za mfalme(Rais), wengine tunamsaidia

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ana imani mahakama itamsaidia Rais katika eneo la utoaji haki. Dr. Tulia amesema kuna watu hawaelewi kama mhimili wa mahakama nao unafanya kazi ya kumsaidia Rais. Dr. Tulia amesema anaamini watu huwa wanasoma vitabu vya dini, ambapo...
  17. Suzy Elias

    Kama ilivyokuwa kwa Membe kutokudhuria pia Bashiru, mke wa Magufuli na wengine wengi hawajahudhuria

    Membe hakupata kuhudhuria wala kumlilia Magufuli kwenye kifo chake jambo ambalo mke wa Magufuli naye hajafanya kuhusu kifo cha Membe. Ikumbukwe, wanazi wote wa upande wa Membe hawakuhudhuria ima ibada ama kuagwa kwa JPM vivyo hivyo wanazi wa JPM ukimwondoa (double agent Makonda)...
  18. sky soldier

    Duniani wawili wawili; Hawa ndio mastaa wanaofanana hapa Bongo

    1. Ally Kamwe na Privaldinho 2. Beka Flava na Mayele Ongeza na wako.
  19. John Gregory

    Simba wamekuwa wazururaji wengine wanakamatwa, Wananchi tuwe makini

    Napenda kutumia nafasi hii kuwaasa wananchi wachukue tahadhari kwani Simba wamekuwa wazururaji tena hawana lengo wala shughuli yoyote ya maana wanayofanya mjini na wakati mwingine wanaweza kuwadhuru bila sababu yoyote. Simba hao wenye hasira kali ambayo haijafahamika chanzo chake wamekuwa...
  20. Baba Rhobi

    Hii dunia wapo wanao ishi, wengine tunaishia tu

    Wakuu hii dunia kuna watu wanafaidi asee, hii pesa yaani mane,mavumba au madafu yanatunyima vingi sana. Cheki huu mjengo ambao ameureview Supercarblondie.
Back
Top Bottom