wenyewe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ryan riz

    Hawa Wabrazil wa Singida Big Starz si wa kitoto

    Hapa nawacheck naona ligi kuwa ngumu sana kule top 4. Wana nguvu speed, wepesi, control na namna ya ukokotaji wa mpira na zile press ni hatari.
  2. Teknocrat

    Sasa Nigeria wanatengeneza Football Games za timu zao kwenye Pro Evolution Soccer

    Tunasubiri IT wa kibongo watungengenezee za Simba na Yanga kwenye PS5 au X box Kazi kwenu.... https://www.reuters.com/lifestyle/sports/nigerian-soccer-joins-video-game-big-league-local-stars-get-avatars-2022-07-08/...
  3. N

    Sasa tuamue kutokuchuma janga ili tusilie wenyewe

    Kumekuwa na kilio majonzi na kelele kutoka kwa wananchi bara na visiwani juu ya jinsi gani ya kupata viongozi wazalendo wenye kusimamia rasilimali za watanzania ili ziweze kuwanufaisha wananchi. Tanzania ni nchi iliyobarikiwa kuwa na rasilimali nyingi ambazo zingeweza kuondoa maadui wanaoisumbua...
  4. X_INTELLIGENCE

    Tusimlaumu Rais tujilaumu sisi wenyewe {Tanzania nchi yangu}

    tusicho kijua ni kuwa Marais wengi sio Binaadam na sio Watu pia, ili uwe Binaadam ni lazima uwe na sifa za kibinaadam na ili uwe Mtu ni lazima uwe na sifa njema za Kiutu. ndio maana wagombea wa Urais ambao ni Watu na Binaadam watagombea Urais hadi kifo kinawachukua awafanikiwi ng'oo kukikalia...
  5. GENTAMYCINE

    Kawaondoeni Askari wenu wa MONUSCO huko Goma (Kivu) Congo DR kwani Wakongo Wenyewe hawawataki tena

    "Haiwezekani kila Siku Wakongo tunakufa hapa kwa Kushambuliwa na Waasi wa Mai Mai na hata wale wa M23 huku wengine Wakibakwa na Nyumba zetu Kubomolewa halafu Askari wa Kulinda Amani hawa wa MONUSCO wapo tu wanaangalia na hawatusaidii chochote. Wamekuja kutulinda Wakongo au Kukaa tu huku na...
  6. H

    Kumtegemea mtu kama Haji Manara ili mpira wetu usonge mbele ni kujitekenya wenyewe na kisha kucheka sana

    Kwa miaka ya hivi karibuni hapa nchi katika septa ya michezo kumekua na porojo sana kuliko uhalisia wa mwelekeo wa mchezo wetu wa mpira wa miguu tumekua, tukiweka nguvu kubwa katika kuwahamasisha washabiki na kuwaaminisha kuwa uwepo wao uwanjani na upigaji kelele ndio chanzo kutuletea ushindi...
  7. M

    Yanga tusitarajie makubwa toka kwa wachezaji wapya, huwezi kutenganisha mpira na ushirikina, wachezaji watapigana misumari

    Hili ni angalizo. Naona watu wameweka matumaini makubwa kwa wachezaji wanaosajiwa Yanga. Niwaambie kitu Africa mpira na ndumba ni mapacha wawili. Simba na yanga ni mara chache sana walisajili wachezaji wabovu,wengi walitoka huko wakiwa na kiwango cha juu leo wapo Kitayose,Ihefu sijui Namungo...
  8. MK254

    Ramani mpya baada ya ujio wa DRC ndani ya EAC, mshindwe wenyewe

    Sasa EAC tumetimia watu milioni 300, soko la watu wote hao na GDP ya bilioni 250 dola za Kimarekani, jameni watu tuchangamkieni hizi fursa, wa kulala waendelee na kusubiri maembe yadondoke, ila tuliozoea kupambana tuendelee mbele kwa mbele... Sema nimependa sana namna rais Uhuru amechakarika...
  9. RWANDES

    Majaribio ya treni ya umeme yafanyika

    Hii ndio iliyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivyo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakati.
  10. GENTAMYCINE

    Mlikuwa mnawindwa, hamkujua na mkajisahau hatimaye mmeingia wenyewe katika 18 zao hawawaachi

    TAARIFA KWA UMMA Tumepokea barua kutoka TCRA ikitutaka tujieleze kuhusiana na Habari tuliyoiandika ikihusisha Maandamano ya Wamaasai kuelekea Ubalozi wa Kenya wiki iliyopita,DARMPYA TV ONLINE inashtakiwa na TCRA kupotosha maandamano yale kwenye ukurasa wa Twitter wa Darmpy Blog. Chanzo...
  11. D

    Choo cha kukaa hakimalizi haja; Wamasai wa Loliondo wapewe pesa wajenge nyumba zao wenyewe kulinda asili yao

    Kila mtu ana asili yake! Na maendeleo ya mtu ili yawe na maana lazima yaguse asili ya mtu! Ukimtoa masai umasaini aje aishi masaki, hii siyo maendekeo kwake bali ni kashfa na ni kumuua (kumharibu kiasilia na lazima siku atarudi alikotoka) Mtu aliyezoea kunjunga haja yake polini ukimjengea choo...
  12. JanguKamaJangu

    Putin: Vikwazo wanavyotuwekea vitawaumiza wao wenyewe

    Licha ya kuwekewa vikwazo na mataifa ya Magharibi, Rais wa Urusi, Vladimir Putin akizungumza katika Kongamano Jijini St Petersburg amesema vikwazo hivyo ni vya ovyo na havina malengo, pia haviwezi kufanikiwa kuwarudisha nyuma. Amedai kuwa vizuizi hivyo vinawaumiza wale walioviweka, akidai kuwa...
  13. Komeo Lachuma

    Nchi za Afrika tunadharauliana wenyewe kwa wenyewe. Hii si sawa

    Miaka ya nyuma tumesaidia nchi nyingi sana katika harakati za Ukombozi. Kupinga Ubaguzi,Ukandamizaji ba Uonevu. Nchi nyingi. Tuna maeneo na mitaa mingi kwa Majina ya Wanaharakati na wakombozi wa Africa. Mitaa kama Nkrumah n.k na hata Shuleni nakumbuka kulikuwa na Mabweni kama Nkrumah, Samora...
  14. Kichwamoto

    Wanawake Mabonge zaidi ya ubonge wenyewe hawavibe lolote. Sana sana ukubwa wa hekaya la hadith.i

    Vibonge ziii! Hawa vibonge kisa vibration na miujazo wanajibutua huko road ila wakiingia parking hawana vibe Lolote. Namliza mtu weekend hii anakula mlenda hadi kero uvinza kajaa uji kila dakika chumvini huwezi kuzama na ukaibuka. Tuwe makini wala mlenda wana makusudi. Naendelea...
  15. E

    Mfumo wetu wa elimu hauwezi kuboreshwa na wasomi waliotokana na mfumo wenyewe

    Mfumo mbovu wa elimu unatoa wataalamu wabovu na ni vigumu kuchukua wataalamu hawa wabovu wakuboreshee mfumo wenyewe wa elimu uliowatengeneza. Wataishia kuhamisha hiki kule na kurudisha hiki huku lakini mwisho wa siku mtabaki palepale mkiwa na elimu ileile ila mpangilio tofauti. Elimu ni maarifa...
  16. MK254

    Makundi yote 24 yatoa masharti yao ya kuacha vita DRC, na wenyewe wamechoshwa na mugomvi, wanataka kurudia maisha ya kawaida

    Wapo tayari kurudi mashambani na kwenye familia zao, kimsingi wahakikishiwe usalama wao. ================= The latest peace bid for the Democratic Republic of Congo’s troubled eastern region appeared headed for a solid footing after 24 armed groups gathered in Nairobi to express their...
  17. Roving Journalist

    Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, Nape Nnauye: Inauma kuona tunateswa na rasilimali zetu wenyewe. Wanahabri tusaidie

    HOTUBA YA WAZIRI WA HABARI, MAWASILIANO NA TEKINOLOJIA YA HABARI MHE. NAPE NNAUYE (MB) AKIFUNGUA MAONYESHO YA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI NAYOFANYIKA JIJINI ARUSHA TAREHE 2 MEI, 2022 Mhe Said Mtanda, Mkuu wa Wilaya ya Arusha na mwakilishi wa Mkuu wa mkoa wa Arusha...
  18. NairobiWalker

    Wanapenda kusema ooh, Afrika Kusini ndugu zetu. Wasikie 'Wasauzi' wenyewe

    While they bootlick South Africans claiming they are their brothers and they helped them get independence, here is what South Africans feel. I always tell my Tanzanian brothers, a perceived favor cannot grant you friendship to someone. I don't see them mentioning Tanzanians. 🤣 🤣
  19. Nyendo

    Viongozi, Kabla ya kuongea na jamii kuweni na maamuzi ya pamoja ili kuepusha kupingana wenyewe

    Viongozi wetu mnafanya kazi kubwa sana katika kuhakikisha Jamii inafika au inapata kile ambacho inakusudia kupata kutoka kwa viongozi waliowachagua au kuwaweka madarakani. Katika kuhakikisha hili kumekuwa na mambo mbalimbali ambayo viongozi huja kwa raia na kuyatolea matamko au maagizo pamoja na...
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Siasa-muziki bado pengo la marehemu Komba halijazibwa sio CCM wenyewe wala sio CHADEMA

    Wakuu Kwema. Wiki iliyopita nilikuwa kwenye sherehe ya Harusi ambayo maharusi ni wanachama wa CHADEMA na CCM. MC akaitisha challenge baina ya CCM na CHADEMA kulingana na maharusi. Waliaanza CHADEMA, ikapigwa nyimbo mbili za CHADEMA. Wala hazikuwa na amshaamsha licha ya wafuasi na wanachama wa...
Back
Top Bottom