whatsapp

  1. Hyrax

    Napata shida sana na watu wanaoweka Dissapearing Message kwenye whatsapp zao

    Kwa wanawake akiniwekea hivyo najua hana mwanaume mmoja yaani ana mambo mengi anafanya huko kwa simu yake na hataki abambwe kama yeye ni malaya, Kwa wanaume akiweka hivyo red flag ya kwanza ni tapeli, mzinzi, mhuni, mwizi Ongeza nyingine...
  2. I

    Usaili kwa walimu uliokuwa ufanyike Oktoba mpaka Novemba wasitishwa mpaka hapo watakapotangaziwa tena

    Usaili wa walimu Umehairishwa mpaka hapo utakapotangazwa. Afya mpaka leo hakuna Pdf. Je, kipi kiko nyuma ya haya? 1. Serikali haina Hela. 2. Utumishi wamelemewa. . .
  3. G

    Group la WhatsApp, kwa walimu wa kemia na biologia kwa maandalizi ya usaili.

    Link hii hapa https://chat.whatsapp.com/K6A6IZtd9yBEWTpoyGZRHu
  4. ngara23

    Hakuna tija yoyote ya Makundi ya WhatsApp kwa watu uliosoma nao kitambo

    Tulimaliza Form four 2009 Hatuna mawasiliano yoyote baada ya shule Shuleni hatukuwa marafiki kivile Sasa mambo yamebadilika, tumekuwa wazazi, tuna majukumu mengine Mijadala ya magroup haya ni mwalimu Fulani alikuwa anachapa, tulitoroka nk Ambavyo Kwa Sasa havikusaidii Suala la michango Michango...
  5. M

    Msaada: Siwezi kupata access ya WhatsApp account yangu

    Habari wakuu, nimepata changamoto baada ya kuinstall whatsapp kutoka playstore. Na ni official application ila inaniandikia hivi. Sasa wakuu naombeni msaada wenu. Na hata nikienda kwenye hiyo website yao, nikipakua app inaniletea taarifa hiyo hiyo.
  6. M24 Headquarters-Kigali

    Mume kabamba WhatsApp message zangu kwenye simu ya mkewe

    1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi. 2...
  7. George Betram

    Unapata changamoto kutumia WhatsApp?

    WhatsApp sijui wana shida gani na mimi? Mwanzo nilikuwa natumia Iphone, shemeji/wifi yenu akaninyang'anya akanipa simu yake aliyokuwa anatumia, simu yake aliyonipa nitumie ni aina ya Oppo, nilivyoinstall WhatsApp kwenye hii simu nilitumia kama wiki moja hivi, baada ya hapo wakaanza kufungia...
  8. I am Groot

    WHATSAPP TEXTS: Huwa unachukulia vipi ile situation ya mtu anaku-blue tick alafu hajibu wala kureact chochote?

    Kuna watu kitendo hiki kinawaumiza sana. Wengine wala hawajali. Wewe huwa unachukuliaje mtu akikufanyia hivi?
  9. Gemini AI

    Nigeria: WhatsApp na Facebook zapigwa faini ya Tsh. Bilioni 583.8 kwa kukiuka Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Serikali imeitoza kampuni ya META faini ya Dola za Marekani Milioni 220 (takriban Tsh. Bilioni 583.8) ikiwa ni baada Mitandao ya WhatsApp na Facebook kukutwa na makosa ya ukiukwaji wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi na Haki za Wateja Taarifa ya Tume ya Ushindani na Ulinzi wa Haki za Walaji...
  10. covid 19

    Kuna masheikh wengine wananongwa sana eti sheikh wetu amenitoa kwenye group la whatsapp la kugawa nyama siku ya Eid

    Sasa najiuliza kosa langu ni nini yani group nipo na ni mchangiaji mzuri tu wa mada mbalimbali ila aliona sijui namzidi umaarufu leo nimefika sehemu yenye wi-fi nataka kuuliza kama nyama imeshaanza kuja msikitini nakutana na sms ya admin removed you sasa kwanini asingenitoa toka muda yaani...
  11. Cassnzoba

    Wakuu naombeni mtu anayetumia gb whatsapp mpka leo anisaidie

    Salamu wakuu Naomba kama kuna mtu anatumia gb whatsapp mpka leo anipatie link humu niidownload maana nikitumia ya kawaida naambiwa download the official whatsapp ijapokua ni ile ya kutoka play store
  12. Advocate_Silayo

    Update mpya Application ya WhatsApp

    WhatsApp imeanzisha utaratibu wa kutuma sauti (voice note) ambayo mtumiwaji ataweza kuisikiliza mara moja tu (listen once) kama ambavyo ilivyo kwenye picha (view once). Ni maendeleo mazuri ya kiteknolojia lakini nadhani inaweza kutumiwa kama chombo cha kumtukana mtu mwingine kwa maneno na...
  13. mahroof

    Msaada: Simu used ya Huawei inanipata changamoto ya What'sApp

    Msaada wakuu Simu yangu ni huawei ni used from china Simu ina changamoto ya whatsap, nikisajiri number baada ya week inaanza kuandika kama nilivyo ambatanisha hapo chini Msaada jamani tangu nimeanza kutumia whatsap sijawahi kutumia whatsap ambazo siyo official
  14. Nyamwi255

    Nmana gani naweza kusoma ama kirejesha deleted message kwa Whatsapp?

    Kichwa chajieleza vizuri, naomba mnisaidie ni kwa nmana gani naweza kusoma ama kirejesha deleted message kwa Whatsapp ikiwa natumia Whatsapp ya kawaida tofatu na gb Whatsapp, fm WhatsApp n.k Kama Kuna App ya kurudisha deleted message basi naomba kufahamishwa. Ova.
  15. Cecil J

    Nimepigwa Ban mbili za whatsApp ndani ya siku mbili

    ...
  16. BICHWA KOMWE -

    Nashindwa ku-verify WhatsApp

    Wajuzi msaada. Nimepakua WhatsApp lakini mtandao unagoma ku-verify. Nimeshindwa kupata verification code kwa sms wala kwa call. Msaada! Mbinu mbadala. Tunakosa hela jamani!
  17. jangos

    WhatsApp wamekuwaje?

    Habari, Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaada.
  18. tamsana

    Tangu jana nashindwa kupakua kwenye WhatsApp file aina ya word, pdf na excel

    Wataalam habari ya majukumu. When i want to download pdf, word and excel files i get the pop up message "WhatsApp download failed. Please try again later". Nimetafuta na kujaribu tutorial youtube na google bila mafanikio. Hatua ya mwisho kabisa nime reinstall app lakini bado changamoto iko pale...
  19. KikulachoChako

    Kero na changamoto za kwenye magroup ya WhatsApp

    Habari za mida hiii wadau. Maendeleo ya kiteknolojia yameleta unafuu wa maisha na kuyafurahia maisha hasa kwenye mawasiliano. Lakini maendeleo hayo kwa upande mwingine yameleta usumbufu na kero hasa yakikutana ndugu zetu ambao hawana nidhamu kwenye kutumia. Kumekuwa na makundi ya kupiga soga...
  20. Yuda Eskareote

    Msaada: Nimefungiwa Whatsapp account yangu

    Habari wanajamvi Ninaomba Msaada juu ya kufunguliwa Kwa account yangu ya whatsapp iliyofungiwa burned Natumia whatsapp messenger Pelee na sikufanya chochote Kama forwarding SMS wala majibizano na mtu inaandika hivi Msaada tafadhari
Back
Top Bottom