Kwa tech gurus wote kwenye jukwaa hili, title ya uzi yahusika.
Naombeni namna ya ku-watch/download WhatsApp Video call (outgoing).
Urgently naihitaji video husika ila haipatikani kwenye storage. Naishia kuona video call 'history' tu ya tarehe husika.
N.B: Nahitaji video husika urgently for...
Habari ndugu zangu,
Nina shida Whatsapp yangu ilifungiwa kwasababu nilikua natumia GB whatsapp. Nikawasiliana nao kwa njia ya Email account ikafunguliwa.
Nikatumia whatsapp official kwa muda wa miezi mitatu ikaja kukataa tena inaleta ujumbe huu hali yakuwa natumia Official whatsapp..
WhatsApp imeanza kufanya majaribio ya kuongeza urefu wa video ambayo mtu anaweza kuweka katika sehemu ya WhatsApp Status.
WhatsApp imeanza kuweka limit ya dakika 1 (sekunde 60) katika video za WhatsApp Status. Kwa kawaida limit yake ni sekunde 30!
Majaribio haya yameanza kwa watumiaji wa Android.
Msajili wa Jumuiya za Kiraia kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Emmanuel Kihampa amesema kuwa Serikali haisajili 'groups' za WhatsApp isipokuwa wanasajili jumuiya mbalimbali ambazo sio za kidini ambazo zipo kwenye jamii.
Anasema kuwa zoezi la usajili ambalo linaanzia kwenye Mkoa wa Dar es...
Msajili wa Jumuiya za Kiraia katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Emmanuel Kihampa, amesema kampeni ya usajili wa jumuiya zisizo za kidini iliyoanza mkoani Dar es Salaam, inahusisha vyama au vikundi vikiwamo vinavyoendeshwa kwa njia ya mtandao wa WhatsApp.
Amesisitiza kuwa ni muhimu vyama...
aibu
amavubi gfsonwin
fedha
hata
hii
king'asti asprin
kujitolea
kutoka
makundi
malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli
serikali
serikali ya tanzania
sheria
tanzania
upumbavu
usajili makundi whatsappwhatsapp
WHATSAPP BOT
Ulimwengu wa Sasa matumizi makubwa ni ya artificial intelligence (robot) now Whatsapp Kuna robot maarufu kama Whatsapp bot.
BOT FEATURES
🤖 Auto View Status
👉Hii utaview status ata ukiwa offline tena just now😁
🤖Always Online
👉hii muda wote utaonekana active online ata Kam...
App ya WhatsApp GB ina raha yake.
Ilikuwa na feature nyingi nyingi sana. Na mara kwa mara wanatoa update inavutia sana.
Sasa majuzi nilishuhudia watu wakitakiwa ku download official WhatsApp app mm najua ni njama tu.
Ile ilikuwa inaruhusu kuona kama mtu alituma kitu akakifuta wewe unaona na...
Kuna taarifa nyingi za uongo mitandaoni, sijui meseji za WhatsApp zitasomwa na watu, sijui nini na nini!
Ngoja niwaambie jambo moja. Zuckerberg sio fala, hakuna mtu anayeweza kuingilia mawasiliano ya mtu mwingine. Hii mitandao ipo imara sana labda uhack, na mara nyingi kuhack hutumika Facebook...
Tutashare mbinu za kujikwamua na ban humu, kumbuka hii ni cat/ mouse game kwa hiyo sio kila mbinu itafanikiwa kwako.
Fanya backup!
Baadhi ya hizi njia zitapoteza chat msg/ picha etc so kama ni muhimu kwako fanya backup unvayojua wewe kabla ya kujaribu lolote.
Tahadhari na factory reset...
facebook
habari
haya
hii
kijamii
kuhusu
mabadiliko
mabadiliko ya sheria
makundi sogozi
mapya
meta
mitandao
mitandao ya kijamii
mtandao
sheria
sheria ya mitandao
taarifa
ukweli
whatsapp
Wakuu Namba yangu imefungiwa kutumia WhatsApp business.
Kuna taarifa nyingi za muhimu sana nazihitaji kutoka kule WhatsApp Business.
Naomba msaada kwa anayejua namna ya kufanya ili namba yangu iweze kuruhusiwa kutumia tena WhatsApp Business.
Ahsanteni
Simba ilipozindua WhatsApp channel yake, hadi CEO Imani Kajura akafanya press conference kuhusu uzinduzi huu. Binafsi na wengi wetu tuliona hii siyo issue kubwa kihivyo na tulikwazika pale ilipoorodheshwa kwenye Mkutano Mkuu kama ni moja ya mafanikio ya klabu msimu huu.
Pamoja na yote hayo yote...
Ukikutana na tangazo la nafasi za kazi, tangazo la biashara au tangazo la fursa yoyote ya kifedha na mwishowe unaambiwa njoo Whatsapp hapo kuna harufu ya utapeli kwa 96% -100%.
Ni hayo tu. Ogopa neno njoo Whatsapp!
Wakuu habarini
Nimetumia WhatsApp Gb muda mrefu sasa. Moja ya simu yangu imeomba nitafute official app kwenye playstore. Kabla ya hapo WhatsApp gb nilipatika kwa kudowload through akp kwenye search engine particularly chrome
Je, ninkwamba gb whatsapp inatuagaaga au? Wajuzi msaada hapo?
Habari wakuu nimekuja kwenu kuomba msaada wa AI CHAT BOT ambayo inafanya kazi WhatsApp.
Chat bot ambayo unaweza kuitumia ndani ya WhatsApp kama zile chat bot ambazo ziko kule telegram, kama unajua kuunda chat bot ya AI unavyoweza kuitumia WhatsApp naombeni msaada wenu wenu wakuu ila isiwe ya...
Habarini watu wa Mungu,nina tatizo hili kwenye account yangu ya WhatsApp business.
Nimejaribu kuwaomba waifungue sioni response yao, msaada tafadhali naombeni.
Wakuu mganga ajigangi nimepata hii shida kila nikisajili namba yangu whatsapp au kusajilia namba yangu kisha nibadilishe kwenye hii namba
Huu ujumbe nimeteseka sana nao na hapo natumia official whatsapp japo kwenye kimeo changu nimeinstall custom rom ya lineage os
Shida ni kwamba namba zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.