Mei 31 kila mwaka ni siku ya Tumbaku duniani, ni siku inayotumika kueleza madhara ya tumbaku duniani. Kwa mwaka huu Shirika la Afya Duniani imewekeza zaidi ya dola bilioni 9 katika miradi ya kupunguza matumizi ya tumbaku ambayo yanaua watu milioni 8 kila mwaka.
Ili kuwafikia vijana, Shirika la...
Ujerumani imekasirishwa na uamuzi wa rais wa Marekani Donald Trump wa kukata mahusiano na shirika la afya ulimwenguni WHO ikiielezea hatua hiyo kuwa na muvunja moyo na inayorudisha nyuma afya ya dunia.
"WHO inahitaji kufanyiwa mageuzi kama linataka kuleta maadiliko yoyote" aliandika Waziri wa...
Habari zenu wakuu!
Kwanza kabisa, baada ya Marekani kupitia rais Donald Trump kutangaza kusitisha rasmi mahusiano na Shirika la Afya Duniani WHO, kunaweza kuwa pigo kubwa kwa shirika hilo maana hapo baadaye ndani ya kila miaka miwili shirika litakuwa likizikosa dola za Kimarekani takribani...
Rais wa Marekani Bwana Donald Trump leo ametangaza nchi yake kujitoa rasmi shirika la afya Duniani.
Marekani huchangia 15% ya bajeti ya WHO na ndie mchangiaji mkubwa anayetegemewa.
Je, WHO itaweza kuishi bila mchango wa USA?
Je, ni wakati nchi zetu masikini kuanza kuchangia WHO?
VITA YA ‘WHO’ DHIDI YA RWANDA NA TAMADUNI YAO YA KUKUZA VISIMI KWA WANAWAKE.
Nchini Rwanda na Burundi na baadhi ya nchi kama Zimbabwe, kuna mila ya wanawake au wasichana kuchua visimi (Labia minora) kwa mtindo wa kikuvuta mbele ili kiwe kirefu. Mila hii ni maarufu na kubwa sana nchi Rwanda...
======
A video taken by an onlooker Monday evening shows a Minneapolis police officer keeping his knee on the neck of a motionless, moaning man at the foot of a squad car. The man, who was later identified as George Floyd, later died.
Tuesday afternoon, Minneapolis Police Chief Medaria...
Majaribio yanayofanyiwa dawa ya ugonjwa wa malaria Hydroxychloroquine ili kuona iwapo inaweza kutibu virusi vya corona yamesitishwa kutokana na hofu ya usalama wake, shirika la afya duniani WHO limesema.
Vipimo vilivyokuwa vikifanywa katika mataifa kadhaa vimesitishwa kwa muda kama hatua ya...
“Successful exchange with @DrTedros who commends #Madagascar’s efforts in the fight against #Covid19 and congratulates us for the discovery of #CovidOrganics."- President of Madagascar Andry Rajoelina
The president of Madagascar Andry Rajoelina has tweeted on Wednesday that the Director-General...
Mabibi na mabwana moja kwa moja kwenye mada. Itifaki yote imezingatiwa.
Shirika la afya Ulimwenguni (WHO), limekuwa likitoa tathmini, mapendekezo na kauli mbalimbali likionya na kushauri kwenye jitihada za kukabiliana na ugonjwa huu hatari.
Kwa bahati mbaya sana hapa nchini kwetu kumekuwa na...
Rais wa Marekani Donald Trump ambaye anakabiliwa na uchaguzi mkuu mwaka huu ambaye amekosolewa jinsi anavyotatua ugonjwa huo nchini Marekani , amelaumu China kwa kujaribu kuziba mlipuko huo na kuilaumu WHO kwa kushindwa kuiwajibisha China.
Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kwamba...
COVID-19: Madagascar quits WHO, calls on other African nations to do same
Madagascar President, Andry Rajoelina is calling on all African countries to quit the World Health Organization (WHO), saying Europe has bad faith towards Africa.
Andry Rajoelina says, Europe created these organizations...
Kwa level ambayo dunia imefikia kwa sasa sio rahisi kuamini kwamba hadi sasa dunia imeshindwa kupata dawa au njia sahihi ya kuthibiti kirusi cha Corona. Ikumbukwe kuwa jamii ya kirusi hiki kipo tangu siku nyingi kitu kinacholeta ukweli kwamba tayari wanasayansi walikwishafanyia utafiti siku...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetabiri kuwa idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona barani Afrika haitakuwa kubwa kama ilivyokadiriwa na kilele chake pia kitachelewa kufika katika nchi nyingi za bara hilo kutokana na hatua madhubuti zilizochukuliwa kuzuia kuenea kwa virusi hivyo.
Mkurugenzi...
Serikali ya Jamuhuri ya Burundi imewapa mpaka tarehe 15 May wawakilishi wa shirika la afya duniani wawe wameondoka katika mipaka ya nchi hiyo. Wanaopaswa kuondoka ni:
Dr Walter Kazadi
Professor Daniel Tarzy,
Dr Ruhana Mirindi Bisimwa
Dr Jean Pierre Mulunda
Govt of Burundi declares World Health...
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Afya Duniani ‘WHO’ amesema #CoronaVirus wanaweza wakaendelea kuwepo na kujiunga na virusi vingine vinavyoendelea kuua watu duniani
Amesema hafananishi virusi hivyo ila ni vyema kujua uhalisia, kwa kuwa hakuna anayeweza kutabiri siku ambayo ugonjwa huo unaweza...
*A nurse at a New York hospital treating coronavirus patients has called out the “negligent doctors” who she claims are “literally murdering” Black people.
In a shocking video shared on Facebook, the healthcare worker, identified by various media outlets as Nicole Sirotek, alleges patients are...
Akihojiwa na DW, waziri wa zamani wa mambo ya nje mheshimiwa Bernard Camilius Membe amesema katika awamu hii ya utawala wa Magufuli, diplomasia imeshuka mno.
Membe anaonya kwamba, tanzania awamu hii inajiendeshea mambo kivyakevyake nje ya utaratibu wa jumuia ya kimataifa.
Akoingelea suala la...
Korea Kusini, China na Ujerumani vimekumbwa na maambukizi mapya baada ya kuondoa katazo la kubaki ndani. Kutokana na sababu hiyo, Shirika la Afya Duniani imetoa muongozo wa kuondoa zuio la kubaki ndani
WHO imeshauri kuwa kabla ya kuondoa zuio nchi yapaswa kujiuliza kama gonjwa limeshadhibitiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.