william ruto

William Kipchirchir Samoei Arap Ruto (born 21 December 1966) is a Kenyan politician. Currently, he is the Deputy President of Kenya, a position he has held since 2013. He served as the Acting President of Kenya between 6 and 8 October 2014 when President Uhuru Kenyatta was at the International Criminal Court (ICC), in the Hague, Netherlands. He previously served in various ministerial positions, including the Ministries of Home Affairs, Agriculture, and Higher Education Science and Technology. He was the Secretary General of the Kenya Africa National Union (KANU), the former ruling political party, and the MP for Eldoret North Constituency between December 1997 and January 2013. He won the seat in the 1997 elections after defeating Reuben Chesire. He was appointed to the position of Assistant Minister in the Office of the President by President Daniel arap Moi in 1998. He was promoted to be Minister for Home Affairs in August 2002. Ruto has also previously served as the Chairman of the Parliamentary Select Committee on Constitutional Reform in the 9th Parliament.
On 4 March 2013, he became the first Deputy President of Kenya, when he and Uhuru Kenyatta were declared winners of the 2013 Kenyan general election. The duo ran on a Jubilee Alliance ticket. The Jubilee Alliance was a coalition of his United Republican Party (URP) and Kenyatta's The National Alliance.
Ruto was among the list of people who were indicted to stand trial at the ICC for their involvement in Kenya's 2007/2008 political violence. However, the ICC case was faced with challenges especially concerning withdrawal of key prosecution witnesses. In April 2016, the Court dropped charges against Ruto.In the August 2017 General Elections, Uhuru and Ruto were declared victors after garnering 54% of the total votes cast. However, the Supreme Court of Kenya nullified the election and a fresh election was held in October 2017. The opposition boycotted the fresh election and Uhuru and Ruto were re-elected with 98% of the total votes cast. The Supreme Court upheld the results of this second election.In December 2018, Ruto graduated from the University of Nairobi (UoN) with a on environmental quality of riparian ecosystems: A case study of Saiwa Swamp watershed, Western Kenya.

View More On Wikipedia.org
  1. W

    Ruto aahidi wanafunzi wa Nairobi mashine inayoweza kutengeneza chapati milioni 1 kwa siku

    Sijui ni vigezo gani tunatumia kuchagua viongozi wetu Afrika. Kwa nchi kama Kenya mabayo imetajwa kuwa mojawapo ya nchi zenye ukame mkubwa barani Africa jambo linalopelekea uhaba wa maji na wana matatizo makubwa kama mfumuko wa bei za vitu na kodi kubwa kwa Wananchi wake imagine Rais anasema...
  2. Mindyou

    Kanisa lililopewa Milioni 100 na Rais Ruto laandamwa vikali na wanasheria

    Wakuu, Siku kadhaa baada ya Rais William Ruto kutoa mchango wa shilingi milioni 20 kwa kanisa moja jijini Nairobi na kuahidi milioni 100, hisia kali zimeibuka nchini Kenya. Hivi sasa, Wakenya wanne wakilitaka kanisa hilo kuwasilisha kwa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) shilingi...
  3. U

    Raila Odinga Leo amekaribishwa kwa furaha na heshima kubwa na rais William Ruto ikulu ya Nairobi

    Rais William Ruto ametangaza kuwa atashirikiana na Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga, ili kufanikisha ajenda za maendeleo za serikali. Akimpokea Raila Odinga katika Ikulu ya Mombasa siku ya Jumatatu, baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha Uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC), Rais...
  4. Mindyou

    Ikulu pamoja na Ofisi ya Naibu Rais wa Kenya zapokea nyongeza ya Kshs Bilioni 5 (Tshs Bilioni 99) kwa ajili ya usafiri, burudani na mishahara

    Wakuu, Itoshe kusema kwa tabia za kiafrika zinafanana. Ikulu ya Kenya, Ofisi ya Naibu Rais na Ofisi ya Mkuu wa Baraza la Mawaziri, zimeongezewa KSh5 bilioni (takriban TSh99 bilioni) za ziada kwa ajili ya safari, burudani, na malipo ya mishahara. Kwa mujibu wa bajeti ya nyongeza...
  5. J

    Rais Ruto aitisha kikao cha Mabalozi Ikulu ya Kenya, awaambia hali ya Congo ni tete sana

    Baada ya kumaliza Kikao cha Pamoja EAC na SADC jijini DSM Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki Rais Ruto ameongea na Mabalozi wa nchi zote duniani na kuwaelezea yanayoendelea Congo Ruto amesema Hali ya Congo ni Tete sana Source: Citizen TV
  6. ChoiceVariable

    Video: Msafara wa Rais Ruto akiwa Kenya

    My Take: Wale wa Katiba Mpya wanaitwa huku watupe majibu.
  7. Waufukweni

    Rais William Ruto: Nyie endeleeni kuniita "Kasongo" tu!

    Rais wa Kenya, William Ruto, amesema hana shida na baadhi ya Wakenya wanaomuita "Kasongo," jina la wimbo maarufu, ambalo limekuwa likitumika kama utani kwa baadhi ya watu wanaomwona kama mtu wa kawaida licha ya nafasi yake ya juu serikalini. Pia, Soma; - Rais William Ruto ameorodheshwa kama...
  8. Waufukweni

    Rais William Ruto ameorodheshwa kama kiongozi wa pili fisadi zaidi duniani kulingana na (OCCRP)

    Rais William Ruto ameorodheshwa kama kiongozi wa pili fisadi zaidi duniani kulingana na "Organized Crime and Corruption Reporting Project" (OCCRP). Nafasi ya kwanza imechukuliwa na rais wa 19 wa Syria's Bashar al-Assad kulingana na OCCRP. "Zaidi ya watu 40,000 walimteua Rais wa Kenya William...
  9. Father of All

    Je ni kweli kuwa kuna askari wa Tanzania wanaosaidia serikali habithi ya William Ruto kuwateka wakenya kama walivyozoea kufanya Tanzania?

    Kuna habari kuwa Gen Z wa Kenya wana mpango wa kukinukisha tena. Katika kusikiliza habari baada ya kutekwa kwa mchoraji vibonzo vinavyompinga Ruto aitwaye Kibet Bull, wamesema kuna watekaji toka nchi jirani. Kumbuka. Wakati wa maandamano ya Gen Z kulizuka shutuma kuwa askari polisi wa Tanzania...
  10. Waufukweni

    Katibu Mkuu COTU, Francis Atwoli: William Ruto atakuwa Rais katika uchaguzi wa 2027 kufikia saa 4 asubuhi

    Katibu Mkuu wa Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi (COTU), Francis Atwoli, amesema kuwa itakuwa vigumu kumshinda Rais William Ruto katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027 nchini Kenya. Akiwa mgeni katika kipindi cha JKL Show usiku wa Jumatano, Atwoli alieleza kuwa hakuna mgombea anayeonekana kuwa na...
  11. kwa-muda

    Kenya kama kuna kosa kubwa walilofanya ni kumchagua Ruto kuwa rais

    Naona anataka matokeo ya vituo yasiwe yanarushwa moja kwa moja papo hapo. Haya yatakuwa maandilizi kwa ajili ya wizi wa kura uchaguzi ujao.
  12. Mtoa Taarifa

    Gachagua adaiwa kuanza mazungumzo ya kuungana na Upinzani ili kupambana na Ruto mwaka 2027, asema Gen Z ndio silaha yao

    Kalonzo and Gachagua’s camps are reportedly meeting in secret to devise a formula to defeat Ruto in 2027. For Gachagua, winning a duel with Ruto would be sweet revenge against the President. Wiper Leader Kalonzo Musyoka and Deputy President Rigathi Gachagua. FILE A political marriage between...
  13. W

    Ruto awasilisha pingamizi dhidi ya Mahakama Kuu kusitisha Gachagua kuvuliwa Madaraka

    Kupitia wakili Adrian Kamotho, Rais William Ruto amewasilisha pingamizi la awali dhidi ya ombi la kusitisha kumwondoa Naibu Rais, Rigathi Gachagua madarakani, akidai kuwa mahakama haina mamlaka ya kusikiliza na kuamua kesi hiyo, na akieleza kuwa ni matumizi mabaya ya taratibu za kisheria. Soma...
  14. The Sheriff

    Gachagua: Ruto aliniondolea ulinzi nikiwa hospitali. Sikujua anaweza kuwa mkatili kiasi hicho; kitakachonitokea atawajibika

    Naibu Rais aliyeondolewa madarakani, Rigathi Gachagua, amethibitisha kuwa maafisa wake wa usalama waliondolewa alipokuwa amelazwa hospitalini Alhamisi, Oktoba 17. Akizungumza na vyombo vya habari alipokuwa akitoka Hospitali ya Karen jijini Nairobi, Gachagua alimshutumu Rais William Ruto kwa...
  15. Mpigania uhuru wa pili

    Maajabu ya Afrika ni pale kiongozi anachaguliwa halafu yuko bize kuwatafutia kazi wananchi wake nje ya nchi

    Afrika ni bara lenye vibweka sana imagine watu wanamchagua mtu kuwa Rais wa nchi halafu yuko bize kuwatafuatia wananchi wake kazi abroad na anafanya hivyo bila hata kuwa na chembe ya aibu. Kuna muda nikiwaangalia viongozi wa Afrika unaonea huruma wananchi maskini ambao ni wahanga wa kudanganywa...
  16. Kingsmann

    Rais Ruto anavyopita njia ya Uhuru kwa Gachagua

    Ni kama historia inakwenda kujirudia kwenye siasa za Kenya. Ilianza kwa Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake, William Ruto kiasi cha kuharibu mambo kuanzia ofisini, kwenye kampeni na hata baada ya uchaguzi uliomuweka Dk Ruto madarakani. Kwa sasa ni zamu ya Ruto tena na Naibu Rais wake, Rigathi...
  17. K

    Ruto anaenda New York kuleta wawekezaji Rais Samia anaikimbia Chadema yuko Ruvuma

    Kuna mazuri mengi sana ya demokrasia pamoja na kupigwa watu wanaishi pamoja kwa raha na kujali nchi. Raisi wetu imebidi amtume Majaliwa kwasababu ya kuogopa maandamano huko NY. Mwenzake mfano Ruto wiki chache zimepita ameshaingia mkataba tena na German ambao tuna uhusiano nao wa kupeleka...
  18. W

    Rais Ruto adai hana taarifa zozote kuhusu watu waliotekwa nchini Kenya

    Akizunguza Agosti 29, 2024 katika kikao na Wananchi, Kisumu Rais Ruto amesema hana taarifa ya mtu yeyote aliyeripotiwa kutekwa na vyombo vya usalama vya nchi wakati au baada ya maandamano ya hivi karibuni ya kupinga serikali kote nchini. Aidha amehimiza wananchi ambao ndugu au marafiki zao...
  19. Lady Whistledown

    Mwanaharakati afichua Miradi Mfu na Hewa ya Rais Ruto

    Mwanaharakati afichua Miradi Hewa ya Rais Ruto Wakili na Mwanaharakati wa Uwajibikaji, Morara Kebaso alianzisha ziara ya kitaifa ili kukagua Maendeleo ya Miradi iliyoanzishwa na Rais William Ruto Lengo likiwa ni kuthibitisha hali halisi ikiwemo utendaji kazi wa Miradi ambayo Rais amezindua...
  20. Teko Modise

    Rais Ruto anafanya ziara ya kuwatembelea wakenya majumbani kwao

    Rais Ruto anaendelea na ziara yake ya kuwatembelea Wakenya majumbani mwao. Leo alikuwa Kisii na kama kawaida ameinza siku kwa kupata chai ya maziwa na Mkate akiwa na wenyeji wake. Ingekuwa bongo, tungeambiwa hao wote pichani ni TISS
Back
Top Bottom