yesu

  1. The Mongolian Savage

    Mwaka mpya wa 2007 tulimkabidhi Yesu kila kitu na maombi yetu kujibiwa ipasavyo

    Yeereeeeeh! Wadau mnaendeleaje! Huyu mwamba mchungaji ni wa kipekee. Kanisa lake simple tu la mabati huko Meru milimani enzi hizo. Kuukaribisha mwaka mpya 2007 mwamba alitupanga nakutuambia shida zote mtaziacha nyuma 2006 na mwaka wa 2007 nawaakikishia njia zenu zote Yesu atazifagia...
  2. K

    Mbunge Mchafu: Wanaume Tanzania wanajadili zaidi Simba na Yanga kuliko afya zao

    Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Hawa Mchafu amedai baadhi ya wanaume wa Tanzania wanatumia nguvu kubwa kujadili habari za timu za Simba na Yanga zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, kuliko hata kujadili afya zao. Hawa amesema kama nguvu hiyo ingetumika kujadili masuala ya afya ikiwemo kupima...
  3. Doctor Mama Amon

    Uzinduzi wa ripoti ya utendaji wa mamlaka za maji Dodoma: Bwana asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo na Asalam Aleikum za nini?

    Kuna matangazo mbashara kupitia TBC1. Ni uzinduzi wa ripoti ya utendaji wa mamlaka za maji na usafi wa mazingira kwa mwaka 2019/2020. Ni tukio zuri. Watendaji wote wa RUWASA kutoka nchi nzima wapo hapa Nafuatilia. Tatizo: wengi wanaosimama salamu ni Bwana Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo, Asalam...
  4. J

    Mbatia: Nampongeza Rais Samia kwa ubunifu, salamu za Asalam Aleykum, Bwana Yesu asifiwe na Mwanakondoo zililigawa Taifa

    Mwenyekiti wa Nccr mageuzi amempongeza Rais Samia kwa kubuni salamu mpya ya taifa ya " Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania " Mbatia amesema salamu za kidini za asalam aleykum Bwana Yesu asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo na Mwanakondoo ameshinda tumfuate zilikuwa zinaligawa taifa...
  5. Da Vinci XV

    PARIS JACKSON: Mtoto wa MICHAEL JACKSON kwenye FILAMU yake ya YESU wa Kike

    Wasaalam wakuu Hivi tunakwenda wapi na DUNIA yetu Mwaka uliopita kulizuka habari juu Paris Jackson, binti wa Fundi wa pop marehemu Michael Jackson, anahusika katika filmu mpya ambayo yeye atacheza kama ,Yesu Kristo kama mwanamke msagaji katika filamu hiyo mpya ya Habit Habit, pia itachezwa...
  6. Red Giant

    Filamu ya Yesu kwa kilugha inachekesha sana

    Hii kwa kisukuma.
  7. The Mongolian Savage

    Tusidharau kauli yote tunamwachia Mungu

    Watu waliwadhihaki sana waliokuwa wanaonewa kwa kusema YOTE TUNAMWACHIA MUNGU. Nakuwatukana eti watanzania ni wajinga na kamwe hawatakombolewa kwa kusema yote tunamwachia Mungu. Vilio vingi sana vilisikika watu walipobomolewa nyumba zao na kusema YOTE TUNAMWACHIA MUNGU. Waliobambikiziwa kesi...
  8. J

    Askofu Malasusa: Hayati Magufuli alikuwa ni Kiongozi wa kipekee, hata Yesu alihubiri Injili kwa miaka mitatu tu!

    Askofu Malasusa wa DMP amesema kinachoangaliwa siyo wingi bali ubora wa kazi uliyoifanya hapa duniani na kwamba hayati Magufuli amehudumu kwa muda mfupi kama Rais lakini kazi zake ni nyingi na bora. Hayati Magufuli alikuwa ni Kiongozi wa kipekee barani Afrika. Askofu Malasusa amesema hayo...
  9. I am Groot

    Polisi Tanzania: Hatutegemei kuona sherehe za Pasaka wakati Nchi bado ipo kwenye maombolezo

    Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. ==== Ndugu wanahabari, kama mnavyojua bado taifa letu lipo katika siku 21...
  10. Z

    Kiswahili kimetekwa! Asalaam aleykum na Bwana yesu asifiwe

    Kama kuna wakati kiswahili kimejishushia hadhi kimataifa, ni kipindi hiki kwa kuwa na salaam ya utata. Nilimuonea huruma Palamagamba Kabudi akihutubia wageni waalikwa wa nchini na wa-kimataifa wakiuga mwili wa marehemu Mh JPM, huku akianza kwa kuwasalimia " Asalaam aleykum na baadae Bwana yesu...
  11. J

    Familia moja yapoteza watu 5 waliokufa uwanja Uhuru, kamanda Mambosasa kutoa taarifa Jumanne

    Familia moja inayoishi eneo la Kimara imepoteza watu 5 yaani mama na watoto wake wanne waliokufa kwa kukanyagwa uwanja wa uhuru wakati wa kumuaga hayati Magufuli Kamanda Mambosasa wa kanda maalumu ya Dar es salaam amesema atatoa taarifa kamili ya yaliyojiri kama kuna vifo na majeruhi siku ya...
  12. hamis77

    Ushahidi wa Daniel Yesu alizaliwa mwaka 4BC na kusulubiwa 31AD

    UNABII WA DANIEL UNAONESHA VZR ATABATIZWA,KUUWAWA KATIKA MIAKA 27B.C NA 31B.C, HIVO UTAWEZA KUJUA PIA ALIZALIWA LINI Danieli 9:25 “Basi ujue na kufahamu, ya kuwa amri ya kutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu hata zamani zake masihi aliye mkuu; kutakuwa na majuma saba; na katika majuma sitini...
  13. YEHODAYA

    Viongozi wa dini msipende kusikiliza makutano, mkisikiliza makutano mtaishia kumsulubisha Yesu kama Ponsio Pilato alivyofanya. Msikilizeni Mungu

    Baadhi ya viongozi wa dini wameanza kujitumbukiza kwenye kusikiliza makutano wanasema nini yaani watu wengi wanasema nini ili kutafuta sifa kwa makutano.Hii kitu imepelekea wao kutelekeza wito wa Mungu walioitiwa kwenye kazi zao za kichungaji na kiaskofu nk Ponsio Pilato alikuwa msomi na...
  14. The Genius

    Humphrey Polepole ahubiri kuwa 2042 ndiyo mwisho wa Dunia na kurudi Yesu mara ya pili

    Katibu Mwenezi wa CCM, Hamfrey Polepole amesema mwisho wa dunia ni mwaka 2042. Akizungumza katika kipindi cha Sunday Worship cha WasafiTV amesema Yesu atarudi mwaka 2035 kulichukua kanisa (wateule wake) na kukaa nao mawinguni kwa miaka 7 hadi mwaka 2042 atakaposhuka kuihukumu dunia. Lakini...
  15. Infantry Soldier

    Kwanini Polisi walishindwa kuifichia aibu familia ya Mzee David Makerege? Yesu aliwaambia "asiye na dhambi miongoni mwenu awe wa kwanza kumtupia jiwe"

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums. Kwanza kabisa ninaomba kuanza kwa kunukuu maneno machache ya waziri wa mambo ya nje mzee wetu professor Palamagamba Kabudi. Pia kabla ya yote ikumbukwe ninaandika haya nikiwa sina "vested interest" undugu, ujamaa wala urafiki na...
  16. Da Vinci XV

    CHRISTMASS ni ya kina Pope Julius I au ni yetu sisi na Yesu wetu?

    wasaalam, wakuu Ninaandika haya huku , nikijua nitapingwa zaidi kuliko kuungwa mkono. Naandika huku nikitaraji pia dhihaka na kashfa kuliko majadaliano yenye mapenzi mema Naandika sio kwa vile naelewa athari za upagani katika dini na madhehebu yetu Naandika kwa sababu naelewa ,maafa ya...
  17. sky soldier

    Trump aweka wazi "Hata uwe hali gani bado unahitaji msaada wa bosi ambae ni Yesu"

    Hakuna rais anaechezewa Rafu mbaya sana kama Trump, Ila cha kushangaza ni Kwamba Rais huyu huibuka kidedea na kuwaacha wengi midomo wazi ni vipi na kawezaje kuhimili mishale mingi kiasi hiki. Siri ni Moja Tu, Trump Anamtanguliza sana mungu ambae ni Mwema mwenye rehema, Asiepatwa na usingizi waa...
  18. M

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu mikoa ya Kigoma na Kagera

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu Jana ameingia Kigoma kwa kishindo kikuu. Alilakiwa na Maelfu Elfu ya watu waliojipanga majiani huku wakitandika mikeka chini shujaa huyo wa karne hii apite juu yake. Akihutubia umati mkubwa unaokadiriwa kuwa na watu zaidi ya Elfu 30 katika...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Falsafa za Yesu ni ngumu sana kwenye siasa

    Wakuu Nimejaribu kufikiria baadhi ya falsafa za Yesu wa Nazareth katika uwanja wa Siasa, Nimegundua ni ngumu mno, na hazitekelezeki kwa wengi wetu. Embu fikiria falsafa hii " Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi" Yesu wa Galilaya " Akunyang'anyaye mshipi, muachie na joho" Yesu wa...
  20. The Mongolian Savage

    Bila Yesu Rais wa Belarus angeshapinduliwa zamani

    Mzuka WanaJF! Nilishaletaga uzi humu kipindi cha nyuma kuhusu Belarus na Rais wao Alexander Lukashenko. Huyu mtu Ni Yesu AnamLinda. Ni mkristo wa Orthodox anayemuamini Mungu na hataki uppuuz. Alishapewaga offer ya Belarus kuingia EU akilegeza msimamo akamuambia Angela Merkel na EU go to hell...
Back
Top Bottom