yuko wapi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Biashara United nje mashindano ya CAF. Hatarini kufungiwa, Mlezi yuko wapi? Jasho la Simba lapotea bure

    mlezi anaweza kutafuta milioni 15 fastafasta kwenye mechi vs simba(hata kama ni za wauza magodoro) ila kwenye issue muhimu akihojiwa anakuambia siwezi toa hela zangu za mshahara sasa pre match meeting huko benghazi libya imemalizika , Baadaye AHLY TRIPOLI wanaingiza team uwanjani watakaguliwa...
  2. R

    Biashara United wamekwama tena kifedha. Mkuu wa mkoa yuko wapi?

    Biashara United inakabiliwa na changamoto ya nauli kwenda kwenye mechi ya marudiano na hata pesa za waamuzi ilikuwa changamoto, Yule mkuu wa mkoa Yuko wapi au anahaidi mechi ya Simba
  3. Kamanda mwenzetu Joyce Mukya yuko wapi? Ni mmoja wa makada waliolamba viti maalum kiaina. Anatakiwa atoe neno kipindi hiki kigumu

    Alikuwa mmoja wa viti maalumu waliongia kwa nguvu maalumu bungeni. Sasa hivi dhahama imeikumba chama chetu. Basi anatakiwa kama kada mwandamizi aonekane mbele ya umma. Atoe neno maana kama chama tunahitaji faraja.
  4. Yuko wapi mkaka/mdada aliekuwa anakupenda sana kipindi hicho ukamkataa and viceversa

    Habarini ndugu zangu, hongereni na poleni kwa majukumu yetu ya kila siku. Bila kupoteza muda, katika maisha kuna kipindi tunajikuta tunapendwa na wenzetu wa jinsia tofauti, hivyo wanatumia approaches mbalimbali kuweza kutupata. Lakini, yote ya yote tunaishia kuwachomolea mbali kwa sababu ambazo...
  5. F

    Yuko wapi Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango?

    Ni muda kidogo huyu Makamu wetu wa Rais Dr. Philip Isdor Mpango hajasikika! Huyu ni Mchumi japo mimi binafsi sina imani na aina ya uchumi anaosimamia ( uchumi wa kijamaa). Inavyoonekana huyu Makamu wetu wa Rais Dr.Mpango ana mchango mkubwa sana katika kupatikana kwa mchumi mwingine katika...
  6. Rais Wa JMTZ saivi yuko wapi, Dar au Dom!? Special Thread..

    Wataalam wa AVIATION INDUSTRY watipigie hesabu... Yani How!?? Bomberdier au Dreamliner linapaa juu .. Hovyohovyo.. Tupeni bili..kodi.... Je!? Ni kodi za mafukara ndo zaMrusha mama!?? Lakini ile ndege ya Rais iko wapi!? TuloambiwA hata tule nyasi..!!!?
  7. N

    #COVID19 Rais Samia anaridhishwa na yanayoendelea sasa kati ya Serikali na Askofu Gwajima?

    Sasa hivi ni siku za hivi karibuni ni kama vile Taifa lipo kwenye sintofahamu. Taifa limegawanyika kati ya Team Gwajima na Team Gwajima. Mambo yamekuwa mvurugano kila leo ni vijembe mara katibu wa CCM nae kaingiamo mule mule Gwajima anapeleka watu mputa mputa Sasa hivi na IGP Sirro kaingia...
  8. F

    Yuko wapi msanii Jos Mtambo?

    Shabiki wake nimem miss sana. Nimekumbuka wimbo wake wa darasa huru Wasanii wa zamani walikuwa na ngoma kali sana ila pesa wengi hawakupata. Walipata ma promota tu
  9. Rais Magufuli amteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi nchini Uingereza

    ASHA Rose Migiro, aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), muda wowote kuanzia sasa, atatangazwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza. Taarifa za ndani kutoka katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa zinaeleza kuwa, jina la Dk...
  10. F

    Mbunge Aida Khenani yuko wapi?

    Tangu CHADEMA wameanza kampeni zao za Chadema digitali hadi ya Katiba Mpya huyu Mheshimiwa sijamsikia. Viongozi na wanachama wenzake wanawekwa ndani lakini yuko kimya. Mwenyekiti wake anafunguliwa mashtaka ya ugaidi bado yuko kimya. Lakini wakati haya yanaendelea anafungua mashindano ya Aida...
  11. Alietudanganya kuwa CHADEMA ni nguvu ya umma yuko wapi?

    Pamoja na yote yanayotokea kwa mwenyekiti na chama kwa ujumla, lakini maisha mtaani yanaendelea kama kawa hakuna dalili ya kuyumbishwa. Nguvu ya umma yuko nayo Zuma tu peke yake.
  12. Yuko wapi Kangi Lugola aka Mabendera?

    Kimyaaaa.
  13. Yuko wapi gwiji wa hoja Return of Undertaker?

    Kiukweli kuna wadau wa hapa jf ambao ukiwakosa kwa muda mrefu lazima ujiulize. Huyu Return Of Undertaker amepotelea wapi?
  14. Yuko wapi yule "Mwanaharakati Huru", Cyprian Musiba?

    Habari Wana jamvi. Ni muda sasa umepita, sijamsikia jamaa huyu anayejiita mwanaharakati, ndugu Cyprian Musiba. Mara ya mwisho nilimsikia kama sikosei miezi minne iliyopita. Yawezekana, wasiojulikana wametokomea naye au harakati zake zilikuwa za mtu mmoja na sio masuala yanayogusa jamii...
  15. R

    Mwanahabari Huru yuko wapi?

    Alikuwa mhabarishaji mwema hapa JF, siku nyingi simuoni kuandika hapa JF, yuko wapi jamani?
  16. Yuko wapi Mbunge wa Newala mjini, Kapteni Mkuchika?

    Aliwahi kuwa waziri wa utawala bora awamu hii nikasikia amepangiwa kazi maalumu... Sijamuona kwenye uapisho pia sijabahatika kumuona Bungeni yuko wapi Mbunge wangu?
  17. K

    Yuko wapi Askofu Kakobe?

    Anaitwa askofu Kakobe, nina siku nyingi sijamsikia tangu pale alipounga mkono juhudi za mwendazake.
  18. Yuko wapi Mtemi mwingine wa kupambana na Mbowe?

    YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!? Leo 15:15hrs 14/05/2021 Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala...
  19. Yuko wapi sasa?

    Aliye niblue tick WhatsApp akani mute hadi status, akaweka dislike kwenye bio. Yuko wapi sasa? Hakunijibu sms nilivyo mu DM instagram wala nilivyo mu PM kwenye social network zingine. Yuko wapi sasa? Aliye niblock kwenye simu ili nilimpigia au kutuma sms zisimufikie. Yuko wapi sasa?.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…