1Samwel 17.Daudi akamwambia Sauli,Asizimie moyo mtu yoyote kwa ajili ya huyu(Goliathi),`Mimi mtumishi wako nitakwenda kupigana na mfilisti huyu.Sauli akamwambia Daudi, Huwezi wewe kumwendea mfilisti huyu upigane naye,Maana wewe u kijana tu,Nahuyu ni mtu wa vita tangu ujana wake(cv).Daudi...